ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Ni kweli mkuu hizi songi nimezijua sababu ya mshua aliporudi kutoka majuu miaka ya 90 akaja nazo nyingi. Ndio mana nazijua sana songi za wakali wa zamani
Cheza yake tu ni unique..surual zake modal flan ivi...yupo flexible ktk uchezaji..
akiweka na sauti yake full burudan
Ni vzur kama una kumbukumbu zake