Richard chilongani
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 324
- 112
Mark MwandosyaaaLandmark si ni Saul Henry Amon yule wa SHAmon amabaye sasa ni MP!!!!
Philipo nape ni mzigo mwepesi kwetu sis, na kama ni mzito basi kwako we we ccmMzee ameacha kumbukumbu mbaya sana kwetu. Sio kwa yale aliyoyafanya kwa nchi yake bali kiumbe alichoacha kwenye familia yake. Ametuachia mtoto mwenye kiburi, kiziwi, mipasho, vuvuzela ambaye amekuwa mzigo kwa taifa ambalo baba huyu alikuwa kioo! Kama tatizo sio malezi yake basi ni hujuma na ushawishi wa mafisadi ndio vilimzidi nguuu mwanae.
Tutaendelea kumwombea mzee wetu huyu wakati tukiendelea kupambana na mafisadi waliomwaribu mwanae ili angalau afuate yale mema na mazuri aliyoyafanya baba'ake kwa nchi yetu.
R. I. P mzee Nnauye!
Samahani sana wanafamilia wa mzee Nnauye, pamoja na wanajamvi wenzangu. Nina swali nataka kueleweshwa kidogo. Kuuliza si ujinga. Hivi huyu Marehemu Mzee wetu alikuwa dini gani?
Picha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la Nape silioni katika members wa familia ya Nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
Lipo rudia kusoma ama la unamakengezaPicha hapo juu nimeitoa michuzi blog, mbona jina la Nape silioni katika members wa familia ya Nnauye? Naomba maelezo kwa wadau wenye taarifa sahihi
Alikuwa muislam kabisa sema tatizo ni njia ya kupata elimu ndio akabadilisha jina... hata Nape na muislam pia... NB 90% ya WAMAKONDE NI WAISLAMUJamani familia ya moses Nauye ni wakristo hata majina ya watoto wake baadhi ni wakristo kama joseph na winnie wakwe zake wote ni wakristo ila mke wake na baadhi ya watoto ni waislam . Ila mzee moses kwa asili ni mkristo
Dua yako imejibiwa mkuuMzee ameacha kumbukumbu mbaya sana kwetu. Sio kwa yale aliyoyafanya kwa nchi yake bali kiumbe alichoacha kwenye familia yake. Ametuachia mtoto mwenye kiburi, kiziwi, mipasho, vuvuzela ambaye amekuwa mzigo kwa taifa ambalo baba huyu alikuwa kioo! Kama tatizo sio malezi yake basi ni hujuma na ushawishi wa mafisadi ndio vilimzidi nguuu mwanae.
Tutaendelea kumwombea mzee wetu huyu wakati tukiendelea kupambana na mafisadi waliomwaribu mwanae ili angalau afuate yale mema na mazuri aliyoyafanya baba'ake kwa nchi yetu.
R. I. P mzee Nnauye!
propaganda![]()
Kidogo napata shida ktk suala la familia ya Mh. Nape 'Mosses' Nnauye.
Kwanza kabisa hili jina la Mosses huwa halitumiwi na waislamu, waislamu hutumia Mussa, lkn pia hapa ktk kumbukumbu ya mzee Nnauye jina la Nape halipo.
Pia kulikuwa na tetesi kuhusu originality ya Nape cyo mzee Nauye sasa cjui km kuna ukweli au laa.
UHALALI HUONDOKA PALE UNAPO WAFICHA KWA HUYO MKEO!Nnauye ...alikuwa na watoto karibu 20..,nalifahamu hili kwa kuwa msiba wake nilishiriki vilivyo kwenye maandalizi..Yake pale nyumbani kwa mzee makamba ....
Mwanaisha hakuwa mwanamke pekee wa mzee Nnaauye....ambaye alikuwa charismatic na ladies choice.....sijui ni waziri gani wa enzi za mwalimu ,mwanamke...wasichana makada wa enzi hizo ambao walikuwa "hawamhui" brig gen.Nnauye ....alikuwa simply wa wote.....hata wenzake enzi za walimu walikuwa wakimtania waziri wa wanawake.....and would make Nyerere lough....that something they have in common with KIkwete ....ila tofauti ni kuwa KIkwete amejitahidi kuishika familia Yake pamoja .....na ameweza kuwaorodhesha wengi wa watoto wake chini ya mama mmoja .....amedeclare Ana mke mmoja na watoto zaidi ya nane ....that was good.....
Na Ana uwezo wa kuendelea kuwaandikisha chini ya mama mmoja .....hii itasaidia familia Yake miaka ijayo kuondokana na aibu ya watoto wa mke wake kutaka kujiona bora ....kuliko watoto wingine....
May be we can share na members wanawake ...kwanini hawapendi watoto wa wenzao?.....kwetu sisi wanaume watoto wote ni halal.....hakuna haramu...kwani hujui atakaye kusitiri ni yupi...
khaaa!mara Mwandosya,mara Marope sasa tena Peter Haule!!!!! nani ndo sahihi??????Nape ni mtoto wa baba yangu mkubwa.
Ambaye ni mwalimu mstaafu sasa.
Anaishi gongo la mboto huko.
As far as I know Nape ni mkristo na mngoni.
Ukoo wao ni akina HAULE.
Baba yake anaitwa Peter Haule.
weka picha yake mkuu japo tulinganishe tuWaonao sema ni wa mwandosya wana speculate tu.
Fact ni Kwamba niliyemsema mimi ndie.
Hata hiyo Guts ya kumkabili EL aliyekuwa na nguvu za kutisha ndani ya CCM tosha kumdhirisha Nape kuwa jasiri bila kujali matokeo kama yalikua hasi au chanya kwa Nape mwenyewe au makundi hasimu ktk chama au serikali kwa ujumla, lakini kumkabili EL alivyokuwa ndani ya CCM na zingatia wakati huo alikiwa Waziri mkuu ilipasa kujitoa muhanga kweli kweli na ni jukumu ambalo hata JK mwenyewe alikuwa analikwepa kiaina ndio maana alkuwa anawashikizia watu jasiri kama akina Nape.sielewi ujasiri wa Nape unatoka wapi! Nape alianza kusikika wakati akijiandaa kugombea uenyekiti wa UVCCM alipopigia kelele ushiriki mbovu wa EL kwenye ujenzi wa ghorofa la umoja wa vijana.
Kila mwenye akili timamu alijua Nepi anatumika kunufaisha kundi fulani hasimu kwa EL ktk mradi huo wa jengo la vijana. Baadae akadakia singo ya Slaa ya mafisadi ndan ya Mume wa KAFU.
Jk alipokurupuka na dhana ya kusadikika ya kujivua gamba na yeye Nepi akakurupuka kuzunguka nayo lakini kwa kuhakikisha anamkata makali EL. Sasa ujasiri wake ni upi wakati anafanya shughuli zake kwa misingi ya chuki na kukomoana akinufaisha makundi flan ya wanaotaka urais?
si kweli, muislam! "BRIGEDIA GENERALI ALHAJI MUSSA(MOSES) NNAUYE "Mkiristo.
Siungi mkono hoja kwamba Mzee marehemu Col. Mosses Nnauye anapaswa kukumbukwa hata kuliko Mwl Nyerere, lakini Mzee Nnauye binafsi ana historia hasi inayojitegemea kivyake ukizingatia mchango mkubwa alioutoa nchini ktk kujenga umoja wa kitaifa tunaouona leo kupitia kazi na jitihada kubwa Mzee Nnauye alizofanya ktk Mass mobilization ndani ya TANU baadaye CCM wakati huo wa kabla ya demoklasia ya vyama vingi. Moja kati ya jukumu la kihistoria alilolifanya Mzee Nnauye lilikuwa ni zoezi la Ku mobilize na kuhamasisha upya Morali wa majeshi yetu kupigana ktk vita vya Kagera ambapo askari wetu walikusudia Ku turn back ktk operation ya Lukaya (kipigo cha Lukaya) kwa ujumla kwa wanaoifahamu historia ya nchi hii tangu awamu ya kwanza wanatambua kuwa Mzee Nnauye alikuwa ni miongoni mwa watu ambao Mwl Nyerere aliwaamini na kuwatumia sana. Kimsingi hayo masuala ya kisanii kupitia TOT nk aliyoyafanya Mzee Nnauye yalikuwa ni sehemu ya majukumu ya kawaida ktk Directorate of mass mobilization ya chama ambayo Mzee Nnauye aliisimamia kwa ufanisi mkubwa wakati wa uhai wake.Samahani kidogo labda sijakuelewa maana umenishtuwa, yaani unamaanisha kwamba hayo mashairi aliyoyatunga ndio akumbukwe kuliko Nyerere? au kuna lipi Moses Nnauye alilifanya ambalo wewe unaona anastahili kukumbukwa kuliko Nyerere! maana kama ni Mashairi tu basi hata Mrisho Mpoto utasema akumbukwe zaidi ya Nyerere.