KWEZISHO
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,519
- 6,511
unajua kumekuwa na wanosema ni wa Mwandosya, wa Nauye na wewe ni wa Haule, lazima kuwa na maelezo ya kutosha
unajua kumekuwa na wanosema ni wa Mwandosya, wa Nauye na wewe ni wa Haule, lazima kuwa na maelezo ya kutosha
Watu wa kukumbukwa kwenye hii nchi ni wawili tu, Nyerere na Sokoine University of Agriculture. Hao wengine ni wa kuwapotezea tu.
haaaaaaaaaaaahK
Kwani Sokoine University ni mtu?
Mkiristo.Samahani sana wanafamilia wa mzee Nnauye, pamoja na wanajamvi wenzangu. Nina swali nataka kueleweshwa kidogo. Kuuliza si ujinga. Hivi huyu Marehemu Mzee wetu alikuwa dini gani?
Leo nmepata kujua kwann Nape alimpinga Lowassa kwa nguvu zake zote. Kumbe ilikua ni kisas baada ya kumshawsh mama Moses amkatae kua c mtoto wa Moses Nnauye. Nakumbuka niliwahi kwenda Kwimba nikaoneshwa mama Mzazi wa Nape akiwa idara ya elimu msingi mwaka 2013.
Kinyume cha correct ni incorrect, period. Hayo mengine ni Siasa zenu. Hazituhusu
Falsafa ipi uliyoitoa zaidi ya kutoa maelezo ya jumla jumla yaliyoashiria yote aliyosema Pohamba ni uongo?! Au ukumbushwe ulichoandika?! Hivi ndivyo ulianza maelezo yako:Ukisoma jitahidi kuelewa falsafa ya ujumbe unaotolewa na Mwandishi.
Phrase kuwa: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
si sahihi na ilikusudia kutuaminisha kuwa Nape alikuwa anafahamika rasmi kwenye familia ya marehemu Moses Nnauye. This is an incorrectly presentation. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
Uliyekuwa unambishia alianza hivi:Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa marehemu Moses Nnauye.
Je, uongo hapo uko wapi?! Au kwa uelewa wako "...mtoto wa nje ya ndoa" na "mtoto ambae mama yake hakuwa mke wa ndoa ni vitu tofauti?! Anyway, kisha anaendelea:Nape ni Mtoto wa Moses!
Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Kwa kipande hicho anakuwa tayari ameshajibu hoja zote za msingi kuhusu utata wa Nape kama ambavyo uliwasilishwa na mleta mada! Hoja hizo ni; (i) Nape ni mtoto wa nani, (ii) dini yake ni ipi na (iii) dini ya Mzee Nnauye ni ipi?!Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Hapa unakubali kwamba kumbe ni kweli mama wa kambo wa Nape alimkana Nape!!! Sasa ni mazingira yapi yaliyokuwa yamemfanya huyo mama wa kambo kumkana Nape?! Ni kwamba walikuwa mahakamani wanagombea urithi na ndipo habari za kukanwa kwa Nape zikaripotiwa; au ilitokeaje?!Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
...chief umekuwaje leo?Ukisoma jitahidi kuelewa falsafa ya ujumbe unaotolewa na Mwandishi.
Phrase kuwa: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
si sahihi na ilikusudia kutuaminisha kuwa Nape alikuwa anafahamika rasmi kwenye familia ya marehemu Moses Nnauye. This is an incorrect presentation. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
Kwa hiyo ni muumin feki????Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Ni vizuri kitabu kiandikwe kwa ajili ya kumbukumbu,pia akina kinana na wenzao,sijui kwa nini wazee hawa wanakuwaga wazito kuandika vitabu,ninachojua kuandika si lazima afanye yeye,anaweza kufanya makubaliano na watu wakaandika yeye akawa anawapa fact na kupitia chapter kwa chapter kwa kuongeza au kupunguzaAlikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Mchango wao ni muhimu sana kwa wanaotaka kuandika masuala ya Propaganda and persuasion kuanzia wakati wa ukoloni,wakati wa Uhuru,ujamaa,vita ya kagera,vita baridi,jumuiya za kikanda,vita vya ukombozi na multiparty politicsBinafsi namkumbuka Brigedia Mosses Nnauye kuliko hata ninavyomkumbuka Nyerere. Nnauye aliipenda sana nchi yake, alionyesha njia kwa wasanii wa nchi hii hasa kundi lake la TOT.
Brigedia Nnauye ni mtu wa kuheshimiwa sana, kwani hata wakati wa serikali ya Mwalimu na ya Mwinyi alionyesha wazi kuwa yeye ni mtu anayetetea ukweli mpaka mwisho.
Brigedia Nnauye angelikuwa hai akiwa na akili zake zile zile asingevumilia kuwa ndani ya chama cha majambazi akina jk!
Nyimbo:
sisi tunataka kuwasha mwenge,
Tunataka kuwasha mwenge,
umulike hata nje ya ya mipaka yetu
ulete tumaini.
Dah!! Kula historia zao unazijua mkuuNape ni Mtoto wa Moses!
Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.
Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache
Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda
Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda
Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally
Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Safi mkuu una mambo mengi kichwani mwako, hakika wewe ni hazina ya Taifa hili, andaa kitabu cha kumbukumbuku za hawa wanasiasa wakongwe kwa faida ya wengi siku za usoni.Nape ni Mtoto wa Moses!
Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.
Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache
Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda
Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda
Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally
Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye