Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

unajua kumekuwa na wanosema ni wa Mwandosya, wa Nauye na wewe ni wa Haule, lazima kuwa na maelezo ya kutosha

upload_2017-5-18_10-53-43.jpeg
upload_2017-5-18_10-56-0.jpeg


upload_2017-5-18_10-57-58.jpeg
 
Leo nmepata kujua kwann Nape alimpinga Lowassa kwa nguvu zake zote. Kumbe ilikua ni kisas baada ya kumshawsh mama Moses amkatae kua c mtoto wa Moses Nnauye. Nakumbuka niliwahi kwenda Kwimba nikaoneshwa mama Mzazi wa Nape akiwa idara ya elimu msingi mwaka 2013.
 
Mimi nutamkumbuka sana kwa umahiri waje wa kuoiga kinanda.
Walikuwa watatu kwenye mikuta no ya Mwalimu
Mwk JK Nyere msemaji
Kingunge Reference ya katiba ya chama
Moses Nnauye Mtumbuizaji
 
Leo nmepata kujua kwann Nape alimpinga Lowassa kwa nguvu zake zote. Kumbe ilikua ni kisas baada ya kumshawsh mama Moses amkatae kua c mtoto wa Moses Nnauye. Nakumbuka niliwahi kwenda Kwimba nikaoneshwa mama Mzazi wa Nape akiwa idara ya elimu msingi mwaka 2013.

Pia Nape alikuwa Team Sumaye 2005 so walitaka kumtokomeza, wanamtandao walikubaliana Uenykt apewe Hussein Mohamed Bashe Kumbe Jk alipanga kisiri siri apewe Benno Malisa bila ya kuwajulisha wenzie Lowassa na Rostam
 
Kinyume cha correct ni incorrect, period. Hayo mengine ni Siasa zenu. Hazituhusu

Umenikumbusha Mzee mmoja, aliwahi kuwa ngazi za juu serikalini. Naibu Waziri na baadaye Balozi. Kama Nnauye na wengineo, alizaa-zaa sana lakini mwanae mkubwa aliyemzaa kabla ya kupata madaraka. Huyu ndiyo aliyekuja kutusua na hapo sasa nduguze walikuja kumjua kama Kaka Mkubwa. Wa ndani-ya-ndoa wote galasa! Wengine, binti, ili kutoka wakalala na huyo huyo matokeo yake mtoto zeru-zeru. Dunia ina vituko hii!
 
Ukisoma jitahidi kuelewa falsafa ya ujumbe unaotolewa na Mwandishi.
Phrase kuwa: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
si sahihi na ilikusudia kutuaminisha kuwa Nape alikuwa anafahamika rasmi kwenye familia ya marehemu Moses Nnauye. This is an incorrectly presentation. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
Falsafa ipi uliyoitoa zaidi ya kutoa maelezo ya jumla jumla yaliyoashiria yote aliyosema Pohamba ni uongo?! Au ukumbushwe ulichoandika?! Hivi ndivyo ulianza maelezo yako:
Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa marehemu Moses Nnauye.
Uliyekuwa unambishia alianza hivi:
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Je, uongo hapo uko wapi?! Au kwa uelewa wako "...mtoto wa nje ya ndoa" na "mtoto ambae mama yake hakuwa mke wa ndoa ni vitu tofauti?! Anyway, kisha anaendelea:
Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Kwa kipande hicho anakuwa tayari ameshajibu hoja zote za msingi kuhusu utata wa Nape kama ambavyo uliwasilishwa na mleta mada! Hoja hizo ni; (i) Nape ni mtoto wa nani, (ii) dini yake ni ipi na (iii) dini ya Mzee Nnauye ni ipi?!

Kwahiyo hoja yako kifalsafa ingekuwa na maana endapo ingekuwa inaeleza kinyume ya hayo aliyosema Pohamba katika kujibu hoja ya msingi kuhusu mzazi wa Nape, dini ya Nape na dini ya Mzee Nnauye!!! Na hapo ndipo ungesema jamaa ni muongo; kwamba, Nape si mtoto wa Mzee Nnauye, sio Mkristo na Mzee Nnauye hakuwa Mwislamu!!!!

Kinyume chake, unasema jamaa ni muongo na kujiegemeza kwenye uana-falsafa wakati hoja uliyosimamia sio hoja ya msingi inayoweza kujibu hoja kuu ya mleta mada kuhusu Nape na Mzee Nnauye!!!

Mbaya zaidi una-conclude:
Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
Hapa unakubali kwamba kumbe ni kweli mama wa kambo wa Nape alimkana Nape!!! Sasa ni mazingira yapi yaliyokuwa yamemfanya huyo mama wa kambo kumkana Nape?! Ni kwamba walikuwa mahakamani wanagombea urithi na ndipo habari za kukanwa kwa Nape zikaripotiwa; au ilitokeaje?!

Hivi hapo napo nina ulazima wa kuwa Mwanafalsafa kufahamu palikuwa na mkono wa mtu?? Na kwamba mkono wenyewe ni wa kisiasa?!
 
Ukisoma jitahidi kuelewa falsafa ya ujumbe unaotolewa na Mwandishi.
Phrase kuwa: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
si sahihi na ilikusudia kutuaminisha kuwa Nape alikuwa anafahamika rasmi kwenye familia ya marehemu Moses Nnauye. This is an incorrect presentation. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family. Hivyo kitendo cha mamake wa kambo kumkana kilkuwa sahihi.
...chief umekuwaje leo?
..umetafuta upenyo wa kumuita Pohamba muongo ila napo umefeli!
..nyoosha tu mikono,
.yaishe!
 
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Kwa hiyo ni muumin feki????
 
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Ni vizuri kitabu kiandikwe kwa ajili ya kumbukumbu,pia akina kinana na wenzao,sijui kwa nini wazee hawa wanakuwaga wazito kuandika vitabu,ninachojua kuandika si lazima afanye yeye,anaweza kufanya makubaliano na watu wakaandika yeye akawa anawapa fact na kupitia chapter kwa chapter kwa kuongeza au kupunguza
 
Binafsi namkumbuka Brigedia Mosses Nnauye kuliko hata ninavyomkumbuka Nyerere. Nnauye aliipenda sana nchi yake, alionyesha njia kwa wasanii wa nchi hii hasa kundi lake la TOT.
Brigedia Nnauye ni mtu wa kuheshimiwa sana, kwani hata wakati wa serikali ya Mwalimu na ya Mwinyi alionyesha wazi kuwa yeye ni mtu anayetetea ukweli mpaka mwisho.

Brigedia Nnauye angelikuwa hai akiwa na akili zake zile zile asingevumilia kuwa ndani ya chama cha majambazi akina jk!

Nyimbo:
sisi tunataka kuwasha mwenge,
Tunataka kuwasha mwenge,
umulike hata nje ya ya mipaka yetu
ulete tumaini.
Mchango wao ni muhimu sana kwa wanaotaka kuandika masuala ya Propaganda and persuasion kuanzia wakati wa ukoloni,wakati wa Uhuru,ujamaa,vita ya kagera,vita baridi,jumuiya za kikanda,vita vya ukombozi na multiparty politics
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Dah!! Kula historia zao unazijua mkuu
 
Mhh....kwani mkuu wa Mtama kasahaulika kwenye orodha kwa bahati mbaya au makusudi..??
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Hayati Wakili Msomi Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Safi mkuu una mambo mengi kichwani mwako, hakika wewe ni hazina ya Taifa hili, andaa kitabu cha kumbukumbuku za hawa wanasiasa wakongwe kwa faida ya wengi siku za usoni.
 
Back
Top Bottom