Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,453
- 2,205
Uyu mzee anafanana na Mzee Mwandosa
Wanafanana muundo wa pua zao tu. Kuliko Nape na Mnauye zilivyotofautiMwandosya anauhusiano wowote na huyu kijana Nape? Nimechomekea tu
Kwanza, Rudia kusoma tena paragraph niliyo tolea ufafanuzi. Paragraph hiyo ndio ulikuwa msingi na kolezo la hoja yake. Mengine ilikuwa blah blah. Alitaka kuingiza Siasa kubainisha kuwa Nape alikuwa official family member ila tatizo lilikuwa CCM ya Mzee Makamba kuhonga mjane kusudi familia imkane Nape.Falsafa ipi uliyoitoa zaidi ya kutoa maelezo ya jumla jumla yaliyoashiria yote aliyosema Pohamba ni uongo?! Au ukumbushwe ulichoandika?! Hivi ndivyo ulianza maelezo yako:Uliyekuwa unambishia alianza hivi:Je, uongo hapo uko wapi?! Au kwa uelewa wako "...mtoto wa nje ya ndoa" na "mtoto ambae mama yake hakuwa mke wa ndoa ni vitu tofauti?! Anyway, kisha anaendelea:
Kwa kipande hicho anakuwa tayari ameshajibu hoja zote za msingi kuhusu utata wa Nape kama ambavyo uliwasilishwa na mleta mada! Hoja hizo ni; (i) Nape ni mtoto wa nani, (ii) dini yake ni ipi na (iii) dini ya Mzee Nnauye ni ipi?!
Kwahiyo hoja yako kifalsafa ingekuwa na maana endapo ingekuwa inaeleza kinyume ya hayo aliyosema Pohamba katika kujibu hoja ya msingi kuhusu mzazi wa Nape, dini ya Nape na dini ya Mzee Nnauye!!! Na hapo ndipo ungesema jamaa ni muongo; kwamba, Nape si mtoto wa Mzee Nnauye, sio Mkristo na Mzee Nnauye hakuwa Mwislamu!!!!
Kinyume chake, unasema jamaa ni muongo na kujiegemeza kwenye uana-falsafa wakati hoja uliyosimamia sio hoja ya msingi inayoweza kujibu hoja kuu ya mleta mada kuhusu Nape na Mzee Nnauye!!!
Mbaya zaidi una-conclude: Hapa unakubali kwamba kumbe ni kweli mama wa kambo wa Nape alimkana Nape!!! Sasa ni mazingira yapi yaliyokuwa yamemfanya huyo mama wa kambo kumkana Nape?! Ni kwamba walikuwa mahakamani wanagombea urithi na ndipo habari za kukanwa kwa Nape zikaripotiwa; au ilitokeaje?!
Hivi hapo napo nina ulazima wa kuwa Mwanafalsafa kufahamu palikuwa na mkono wa mtu?? Na kwamba mkono wenyewe ni wa kisiasa?!
Muda ni Mwalimu, tusubiri huku tukiendelea kupitia kila kilichoandikwa....chief umekuwaje leo?
..umetafuta upenyo wa kumuita Pohamba muongo ila napo umefeli!
..nyoosha tu mikono,
.yaishe!
Kighoma alikuwa akitumia Jina gani mkuu?Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
We jamaa unachekesha si kidogo... yaani unafanya assumption kutokana na vile unavyofikiri wewe!!!!Kwanza, Rudia kusoma tena paragraph niliyo tolea ufafanuzi. Paragraph hiyo ndio ulikuwa msingi na kolezo la hoja yake. Mengine ilikuwa blah blah. Alitaka kuingiza Siasa kubainisha kuwa Nape alikuwa official family member ila tatizo lilikuwa CCM ya Mzee Makamba kuhonga mjane kusudi familia imkane Nape.
Pili, nikushauri kuwa kitabu hueleweka baada kukisoma chote na kufahamu maudhui, likewise kwa Makala, passage, paragraph au sentensi kama imeandikwa peke yake. Ukichomoa ukurasa mmoja kwenye kutabu usidhani kuwa umeelewa maudhui ya kitabu husika. Vile vile kwa Makala, passage, paragraph au sentensi iwapo imesimama peke yake. Ukichomoa kuisoma na kuielewa sentensi kutoka kwenye paragraph/passage kuwezi kudai kufahamu mahudhui ya passage au paragraph. Read the entire paragraph to comprehend the content. Vinginevyo maelezo yako ni kazi bure.
Mtu hana sababu ya kuwa mwanafalsafa wa level zako kufahamu ulilenga kum-discredit kama ambavyo mmekuwa mkifanya!!...kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mahali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani kwa Mzee Moses Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote mwingine kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa.
Landmark si ni Saul Henry Amon yule wa SHAmon amabaye sasa ni MP!!!!Ndo anamiliki zile LANDMARK HOTELS?
Ni mzaliwa wa Mbeya?
[HASHTAG]#nauliza[/HASHTAG] tu
Mama sibado yupo?aulizwe vizuri.Na je wale watoto na mke wa Mzee Moses wa ndoa kwasasa bado msimamo wao hawamtambui Nape?unajua kumekuwa na wanosema ni wa Mwandosya, wa Nauye na wewe ni wa Haule, lazima kuwa na maelezo ya kutosha
Mwenye jibu la baba wa huyu jamaa ni mama yake mzazi. Humu tutaishia kuleta tu hisia zetu zisizo na msingi, mara haule, sijui mwandosya, membe n.k. lakini jibu analo mama yake.!Tatizo mama yake,hivi ndio mumesema ni Singida?basi nimepata jibu kwanini baba zaidi ya wa3
The whole story is killed here, the discussion is closed.mke wa ndoa wa mzee Nnauye kutumika na akina mzee Makamba!!!
Umeishiwa hoja baada ya ku-reveal what's behind your comment!!!The whole story is killed here, the discussion is closed.
Alikua ni muislam mdau,jina lake ni halisi ni Mussa Nnauye,Moses alijipa ili apate nafasi ya kusoma shule za mission enzi hizo walikua wanatakiwa kusoma kwenye shule hizo wakristo tu,wengi walibadili majina hata marehemu kighoma malima anaingia kwenye kundi hili!
Walishamtambua alipopata uwaziriMama sibado yupo?aulizwe vizuri.Na je wale watoto na mke wa Mzee Moses wa ndoa kwasasa bado msimamo wao hawamtambui Nape?
really?Umeishiwa hoja baada ya ku-reveal what's behind your comment!!!
What else?!really?
Not me.What else?!