Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Kumbukumbu ya Brigedia Gen. Moses Nnauye!

Ni haki ya kikatiba kuwa dini ile upendayo....Ndiyo maana kuna Mwingine na yeye alibadili Dini hadi Jina na kuitwa Jumanne...Ili tu a-survive ndani ya kijani...
 
Nape ni mtoto wa baba yangu mkubwa.
Ambaye ni mwalimu mstaafu sasa.
Anaishi gongo la mboto huko.
As far as I know Nape ni mkristo na mngoni.
Ukoo wao ni akina HAULE.
Baba yake anaitwa Peter Haule.
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Umesema kweli tupu. Mie hata mama yake Nape namfahamu yuko Kwimba alikuwa idara ya Elimu
 
Nape ni Mtoto wa Moses!

Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.

Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!

Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida

Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.

Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!

Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache

Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda

Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally

Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Sasa mbona Magufuli anatusumbua na majina ya kusomea wakati watu walikuwa na sababu mbalimbali za za kutokutumia majina yao waliyopewa wakati wakuzaliwa nakusomea majina mengine ili kupata ujuzi? Naomba zoezi la vyeti feki liwahusu waliochongesha vyeti kariakoo bila kwenda shule ila waliosoma kwa kuficha majina yao halisi hadi wakawa maprof, ma Dr, waachwe ili mradi wawe kweli walisoma kwa kutumia hayo majina na hawakwenda kariakoo kuchonga vyeti.
 
Back
Top Bottom