Nape ni Mtoto wa Moses!
Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.
Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache
Generali Ulimwengu Jina la Twaha akaachana nalo kwa muda
Bob Makani Jina lake la Mohamed akaachana nalo kwa Muda
Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally
Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye