Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mmeanza kumchafua Nape.
Sasa mbona Magufuli anatusumbua na majina ya kusomea wakati watu walikuwa na sababu mbalimbali za za kutokutumia majina yao waliyopewa wakati wakuzaliwa nakusomea majina mengine ili kupata ujuzi? Naomba zoezi la vyeti feki liwahusu waliochongesha vyeti kariakoo bila kwenda shule ila waliosoma kwa kuficha majina yao halisi hadi wakawa maprof, ma Dr, waachwe ili mradi wawe kweli walisoma kwa kutumia hayo majina na hawakwenda kariakoo kuchonga vyeti.
Kumbe hili la kuficha majina ilikuwa fasheni enzi hizo,
ukiitwa abdul hamid mwakalindile inabidi ujiite Abel mwakalindile ili usome ama upate kazi
Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa marehemu Moses Nnauye. Alisoma (Nsumba SS kama sikukosea) Mwanza mama yake alikokuwa akiishi na baadaye ujombani Singida kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mahali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani kwa Mzee Moses Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote mwingine kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa. Utakumbuka kuwa watoto wa viongozi waandamizi wa CCM; JK Nyerere, Rashid M Kawawa, Ali Hassan Mwinyi, Abdul Wakil, John Samuel Malecela (mtoto wake Ipyana (RIP) liyekuwa Mwenyekiti UVCCM, DSM, alikufa kwa sumu kwenye kampeni za UVCCM 2001) , Abdul Jumbe Mwinyi, Abdallah Natepe, Lawi Sijaona, Peter Siyovelwa na wengineo walikuwa wamerithishwa mikoba ya wazazi wao ndani ya CCM au Serikali. Mzee Moses Nnauye alikuwa mdhibiti mkuu (M/kiti wa Kamati) wa nidhamu CCM HQ. Ukweli ndio huo.Nape ni Mtoto wa Moses!
Mama yake Nape hakuwa Mke wa Ndoa wa Bregadia General Moses Nnauye.
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Afande Nnauye alikuwa Muislam na Nape ni Mkristo akifuata Dini ya Mama yake ambae ni Mnyiramba wa Singida
Kuhusu Mzee Nnauye kutumia Jina la Moses Hiyo ni Technique iliyotumiwa na Waislam wengi wakati wa Ukoloni waliopita Shule na baada ya Ukoloni kuepuka Ubaguzi wa kidini Mf.
Jakaya Kikwete Jina la Khalfan alikwepa kulitumia kukwepa Mkono wa kidini, Jina lake ni Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete Mizega, Khalfan ikawa nadra kutumia!
Ukiwaona Ditopile Mzuzuri Jina la Ramadhani akalitumia mara chache
Kighoma Ally Malima , akaachana kwa Muda na Jina la Ally
Moses Nnauye Jina lake halisi ni Mussa Nnauye
Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa maeahemu Moses Nnauye. Alisoma (Nsumba SS kama sikukosea) Mwanza mama yake alikokuwa akiishi na baadaye ujombani Singida kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mhali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani ya Mzee Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa. Utakumbuka kuwa watoto wa viongozi waandamizi wa CCM; JK Nyerere, Rashid M Kawawa, Ali Hassan Mwinyi, Abdul Wakil, John Samuel Malecela (mtoto wake Ipyana (RIP) liyekuwa Mwenyekiti UVCCM, DSM, alikufa kwa sumu kwenye kampeni za UVCCM 2001) , Abdul Jumbe Mwinyi, Abdallah Natepe, Lawi Sijaona, Peter Siyovelwa na wengineo walikuwa wamerithishwa mikoba ya wazazi wao ndani ya CCM au Serikali. Mzee Moses Nnauye alikuwa mdhibiti mkuu (M/Kiti) wa nidhamu CCM HQ. Ukweli ndio huo.
Hapana sipo chama chochote imetokea tu na fahamu mawili matatu kuhusu huyo jamaa.dah! wewe utakuwa katibu wa itikadi , uenezi na ushirikishwaji wa umma wa sekretarieti ya halmashauri kuu ya chama
Wapi amekuwa muongo. Au hujasoma aliyoandikaWewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa maeahemu Moses Nnauye. Alisoma (Nsumba SS kama sikukosea) Mwanza mama yake alikokuwa akiishi na baadaye ujombani Singida kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mahali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani kwa Mzee Moses Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote mwingine kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa. Utakumbuka kuwa watoto wa viongozi waandamizi wa CCM; JK Nyerere, Rashid M Kawawa, Ali Hassan Mwinyi, Abdul Wakil, John Samuel Malecela (mtoto wake Ipyana (RIP) liyekuwa Mwenyekiti UVCCM, DSM, alikufa kwa sumu kwenye kampeni za UVCCM 2001) , Abdul Jumbe Mwinyi, Abdallah Natepe, Lawi Sijaona, Peter Siyovelwa na wengineo walikuwa wamerithishwa mikoba ya wazazi wao ndani ya CCM au Serikali. Mzee Moses Nnauye alikuwa mdhibiti mkuu (M/kiti wa Kamati) wa nidhamu CCM HQ. Ukweli ndio huo.
ila wewe hoja yako mpya,,labda Nape mwingine wa Haule,Hapana sipo chama chochote imetokea tu na fahamu mawili matatu kuhusu huyo jamaa.
Sasa mbona sijaona wapi umerekebisha Uongo wangu? Nmeona Kama umeongezea habari, fafanua wapi nimeongopa
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!Wapi amekuwa muongo. Au hujasoma aliyoandika
we unabisha bila kufikiria,Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa maeahemu Moses Nnauye. Alisoma (Nsumba SS kama sikukosea) Mwanza mama yake alikokuwa akiishi na baadaye ujombani Singida kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mahali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani kwa Mzee Moses Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote mwingine kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa. Utakumbuka kuwa watoto wa viongozi waandamizi wa CCM; JK Nyerere, Rashid M Kawawa, Ali Hassan Mwinyi, Abdul Wakil, John Samuel Malecela (mtoto wake Ipyana (RIP) liyekuwa Mwenyekiti UVCCM, DSM, alikufa kwa sumu kwenye kampeni za UVCCM 2001) , Abdul Jumbe Mwinyi, Abdallah Natepe, Lawi Sijaona, Peter Siyovelwa na wengineo walikuwa wamerithishwa mikoba ya wazazi wao ndani ya CCM au Serikali. Mzee Moses Nnauye alikuwa mdhibiti mkuu (M/kiti wa Kamati) wa nidhamu CCM HQ. Ukweli ndio huo.
Si ndio kilichofanyika, hakuna uongo hapoWakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family.
Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family.
This phrase: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!we unabisha bila kufikiria,
mke asiye wa ndoa.
Mtoto wa nje ya ndoa si unaeleza kilekile,
au ulitaka tujue na wewe upo?
This phrase: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!Sijakuelewa wapi nimesema uongo Ila shukran kwa kuchangia
Haposa! RIP Moses NauyeSamahani sana wanafamilia wa mzee Nnauye, pamoja na wanajamvi wenzangu. Nina swali nataka kueleweshwa kidogo. Kuuliza si ujinga. Hivi huyu Marehemu Mzee wetu alikuwa dini gani?
Unamaanisha mzee Moses alimkana Nape kabla hajafariki?This phrase: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
is incorrectly presented. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family.
No wonder!This phrase: Wakati wa Mchakato wa Uenykt wa UV CCM wanamtandao wa Lowassa wakiongozwa na Mzee Yusuph Rajab Makamba walienda 'kumtengeneza' ni Mwanaisha Mke wa Ndoa wa Afande Nnauye amkane Nape na kweli akasaidiwa kuitisha Press conference akamkana Nape kuwa si wala hajawahi kuwa Mtoto wa Mzee Nauye kwa kuwa kwny Wosia wa Marehemu alioacha Kwny orodha ya Watoto wake Nape hakuwepo!
is incorrectly presented. Nape was neglected by biological father therefore never was he formally mainstreamed in Moses Nnauye's family.
Maajabu haya... sasa ni kipi ulichoongea kinachokinzana na yale aliyoongea Pohamba?! Kwamba jina halisi la Mzee Nnauye ni Mussa, au?!Wewe ni mwongo. Nape ni mtoto wa nje wa marehemu Moses Nnauye. Alisoma (Nsumba SS kama sikukosea) Mwanza mama yake alikokuwa akiishi na baadaye ujombani Singida kabla ya kuja Dar es Salaam (2002 kama sikukosea) na kufikia mtaa wa Lumumba, Ofisi ndogo ya Makao Makuu ya CCM (hakuwa na mahali pa kufikia - alizamia kama wazamia meli waitwao stowaways). Nape alipokelewa baada ya kujitambulisha kwa jina la babake Moses Nnauye (RIP). Ofisi ya CCM ilimpokea na kumlea kama hisani kwa Mzee Moses Nnauye kwa kuwa hakukuwa na mtoto yeyote mwingine kutoka familia rasmi ya Mzee Nnauye aliyekuwa akijihusisha na Siasa. Utakumbuka kuwa watoto wa viongozi waandamizi wa CCM; JK Nyerere, Rashid M Kawawa, Ali Hassan Mwinyi, Abdul Wakil, John Samuel Malecela (mtoto wake Ipyana (RIP) liyekuwa Mwenyekiti UVCCM, DSM, alikufa kwa sumu kwenye kampeni za UVCCM 2001) , Abdul Jumbe Mwinyi, Abdallah Natepe, Lawi Sijaona, Peter Siyovelwa na wengineo walikuwa wamerithishwa mikoba ya wazazi wao ndani ya CCM au Serikali. Mzee Moses Nnauye alikuwa mdhibiti mkuu (M/kiti wa Kamati) wa nidhamu CCM HQ. Ukweli ndio huo.
Ni Nape huyu huyu ana dada watatu na Kaka watatu waliochangia baba.ila wewe hoja yako mpya,,labda Nape mwingine wa Haule,