Kumbukumbu: Waliomvamia Mbowe kumpiga na kilichotokea Kiuhalisia

Nimeipata from the horses' mouth,hakuna mtu dliyemshambulis Mbowe.
Ndiyo màana Mbowe aliambiwa aombe msamaha,au kama hawezi kuomba msamaha aseme tu" Wale walionishamblia,namwachia Mungu. I will not press charges."
 
Mbowe alianguka baada ya aidha kulewa au kufarakana na Joyce Mukya, siasa zilichomekwa tu ili kuua soo.

Hata Mkapa aliwahi kupigana na mke wake Ikulu, asubuhi wananchi wakashangaa Rais ana PoP.

Wakati wa Magu, Janet alilazwa Muhimbili hivyo hatujui aidha aliugua kweli au alipigwa.

Wanasiasa ni wasenge
Sentensi ya mwisho ni
 
Na tukio la Mbowe siyo justification ya matukio ya Mkapa na Magu.
Mbowe alilewa ndo maana akaona aibu kufuatlia ,wapumbufu Kama ninyi ndo aina ya Vijana anaowapenda mbowe maana yake ni Kama nyumbu tu hawajuj hata kuhoji
 
Swali zuri. Hapa inabidi kuanzia wapi kufuatilia jambo hili?
1)Uchunguzi huru wa kimataifa.
2)Muhusika wa ratiba za walinzi(wale wa G4 na polisi) ajulikane ili aulizwe kwanini siku hiyo haukuwepo ulinzi kama ilivyopaswa.
3)Aliyeweza kung'oa CCTV cameras baada ya tukio kubwa kama lile na it's very likely kuna walioona ziking'olewa.
4)Waliosababisha uchunguzi usifanyike mpaka leo kila kitu ni kama kimefichwa lazima kuna mambo wanayajua na kuyaficha na kuna watu wanawalinda.

NB: Wachunguzi kama wa FBI au MI6 ni wazuri sana kuwatumia unajua huwa wanaanza na loopholes ambazo kwenye kisanga hiki ziko nyingi na ziko wazi peupe, nadhani kukiwa na nia si issue ngumu kuifuatilia.
 
RPC wa wakati huo, Muroto, alielezea vizuri jinsi wavamizi walivyokuwa wanafanya na maneno yao wakati wa tukio.
Nani aliyekuwa na uwezo wa kuchunguza zaidi ya polisi?
Bado najiuliza swali hili kuhusiana na tukio hilo;
Je Kamanda wa polisi alitoa taarifa za uongo? Kwa nini hakukanusha maelezo yake ya awali?
 
Nakumbuka palikuwepo na uchunguzi wa jeshi la polisi kuhusu hilo tukio, polisi wakatoa waliyoiita ripoti ya awali wakimshutumu Mbowe, then wakatuahidi watakuja na ripoti ya pili yakufungia mjadala.

Baada ya hapo ndio kimya, sikuwahi kuiona wala kuisoma popote hiyo ripoti ya pili toka jeshi la polisi.

Nadhani Chadema baada ya kusubiri muda mrefu, wangeamua sasa waje na ushahidi wao kumaliza hii kadhia, au labda wameona haina umuhimu tena, sasa hivi tunajenga nchi chini ya awamu mpya isiyotaka mambo ya kupigana na kutenguana miguu.
Tukio la kushambuliwa kwa lissu ni somo tosha, kutokuelewa ni makusudi.
 
RPC wa wakati huo, Muroto, alielezea vizuri jinsi wavamizi walivyokuwa wanafanya na maneno yao wakati wa tukio.
Nani aliyekuwa na uwezo wa kuchunguza zaidi ya polisi?
Bado najiuliza swali hili kuhusiana na tukio hilo;
Je Kamanda wa polisi alitoa taarifa za uongo? Kwa nini hakukanusha maelezo yake ya awali?
Watu wamejiwekea kinga mzee
 
UKITAZAMA HIZO PICHA HAPO NA UKATAFAKARI KWA AKILI KUBWA UTAFAHA WANASIASA NI WATU WA AINA GANI
•Wapo kwa masilahi yao binafsi zaidi.
•Hawapo na wewe mtanzania halisia.
•Wakisha tibua hali ya hewa WAO hao ulaya.
::::TUWE MAKINI KWA SASA TUSIBURUZWE KAMA MAPUMBAVU YASIYO NA AKILI.
 
Sijui. Mimi huwa napenda kuyaangalia mambo kwa upeo wa tofauti kidogo.

Mbowe ni kiongozi mkubwa tu kitaifa kwa CHADEMA. Najiuliza hiyo kuvamiwa kwake na kupigwa miguu lengo lilikuwa nini? Hospitali huwa mtu anayepigwa kwa magongo au kitu kikubwa mwilini majeraha yake yanafahamika. Kitaalamu kabisa.

Kwa Mbowe haikuwa hivyo nini kilichotokea kiuhalisia? Hawa watu waliweza kuingia mpaka kwa Mbowe bila CCTV kuwa detect ilikuaje? Lakini inakuaje Mbowe anakosa CCTV pale kwake? Hakujifunza kwa lililotokea kwa Tundu Lissu?

Tuseme alivamiwa akiwa nje. Je, Mbowe hana Mlinzi hata mmoja? Aliposhushwa kwenye gari au alikuwa ana drive mwenyewe?alikuwa all alone kwa wakati wote huo?

Napata maswali mengi kuliko majibu. Mimi nina tatizo la kutoacha jambo kiporo. Nlikuwa najiuliza Serikali kama ndo ilikuwa imetuma watu basi ilikuwa inafanya mambo kipuuzi kabisa. Yaani mnatuma watu wakampige miguu Mbowe? Ili iweje?

Tunajua wale ambao walitumwa kwa Tundu Lissu walitumwa ili wamuue. Walitumwa na nani...hatujui. na mimi binafsi nashangaa Serikali mpaka leo imeona haina haja ya kufuatilia jambo hilo.

Je ni kweli Mbowe alivamiwa na hao mabaradhuli wakampiga piga tu miguuni? Ili iweje sasa? Lakini naye Mbowe anaishi peke yake sehemu hiyo tena bila Ulinzi? Mi kuna mambo huwa tu nakaa nawaza. Nasema hiii...

Hizi siasa za Kitanzania. Usanii vyama vyote vinafanya.yaani hakuna wa kumwamini. Inafikia hatua hata ukweli tunaanza kuu doubt.

Mambo kama haya mara nyingi sisi ambao tumebaki na akili zetu ndo tunawaza. Lakini wafuasi wa Chama na Mtu. Hawawezi pata muda huu wa kuwaza. Wataishia kutukana tu

1. Peopleeeeeeeeeeeee's ! Power.

2. Kidumu chama cha mapinduzi! Kidumuuuuuuuu.

Swali langu litabaki Hivi - Hivi Kuna Serikali yeyote duniani itatuma mtu anayehitaji kupiga risasi zaidi ya mbili ili kumwuua mtu wamtakaye kufa? Na Maswali ya nyongeza ndugu Spika, je watahitaji kumfuata mahali Pa wazi kutenda Hilo? Je kwa karne Hii yenye mercenaries and darkweb ambako unalipa tu hela hata Dollar 300,000 na kutaja jina tu na picha, Serikali gani au mtu gani mwenye hela zake atashindwa kumaliza Kazi ya aina hiyo? Utajificha wapi?

Lakini kwa katiba yetu, uchaguzi 2015, risasi 2017, uchaguzi mwingine 2020, kulikuwa na Nini hasa tishio la kisiasa mpaka huyo Bwana aonekane Lulu na to make one bold enough to take that much risk?

So long as mwanamume anasimamaaaaaaa, kuuawa Ni overdose ya viagra Ni Rahisi sana.

Kuna wakati tunapenda sana kujifariji kwa maneno mengi Lakini ukitulia unaona upuuzi mtupu.
 
UKITAZAMA HIZO PICHA HAPO NA UKATAFAKARI KWA AKILI KUBWA UTAFAHA WANASIASA NI WATU WA AINA GANI
•Wapo kwa masilahi yao binafsi zaidi.
•Hawapo na wewe mtanzania halisia.
•Wakisha tibua hali ya hewa WAO hao ulaya.
::::TUWE MAKINI KWA SASA TUSIBURUZWE KAMA MAPUMBAVU YASIYO NA AKILI.
Never trust politicians. Ni watu waovu sana.
 
Swali langu litabaki Hivi - Hivi Kuna Serikali yeyote duniani itatuma mtu anayehitaji kupiga risasi zaidi ya mbili ili kumwuua mtu wamtakaye kufa? Na Maswali ya nyongeza ndugu Spika, je watahitaji kumfuata mahali Pa wazi kutenda Hilo? Je kwa karne Hii yenye mercenaries and darkweb ambako unalipa tu hela hata Dollar 300,000 na kutaja jina tu na picha, Serikali gani au mtu gani mwenye hela zake atashindwa kumaliza Kazi ya aina hiyo? Utajificha wapi?

Lakini kwa katiba yetu, uchaguzi 2015, risasi 2017, uchaguzi mwingine 2020, kulikuwa na Nini hasa tishio la kisiasa mpaka huyo Bwana aonekane Lulu na to make one bold enough to take that much risk?

So long as mwanamume anasimamaaaaaaa, kuuawa Ni overdose ya viagra Ni Rahisi sana.

Kuna wakati tunapenda sana kujifariji kwa maneno mengi Lakini ukitulia unaona upuuzi mtupu.
Nadhani uchunguzi huru hasa wa vyombo vya kimataifa vilivyobobea kwenye masuala hayo ndiyo itakuwa suluhisho.
Swali, kwanini uchunguzi ni kama washika usukani wanaminya usifanyike?
Wanaogopa kitu gani?
Wanawalinda akina nani?
Nani anayezuia uchunguzi mpaka leo haufanyiki?
 
Lissu alishambuliwaje?

Mo Dewji alitekwaje?

Ukijibu hayo utakuwa umejua nchi ilikua inaelekea wapi..
 
Mbowe,Msigwa na Lema walitoroka Bunge siku Ile wakaenda kulewa.
Halafu Mbowe akateleza kwenye ngazi.
Habari nimeipata from usually reliable sources, always reliable sources.
 
Chadema kimeundwa na kundi la wachumia tumbo, waongo na wahuni. Kama viongozi wa juu kabisa wa chama kama vile Mbowe, Lisu, mch Msigwa ni waongo wa kishamba hivi, je utawezaje kuwaamini viongozi wao wa chini kama kina Yericho Nyerere na wengineo?

Hawa jamaa wanasiasa za kipuuzi na kijinga sana. Kwa bahati nzuri wanafanikiwaga kuwadanganya wajinga ambao hawana upeo na siasa. Sisi wengine toka miaka 90 tunafatilia siasa ndio maana mtu akivunjika mguu kwenye vijiwe vya gongo na kuja kuipakazia serikali hatukubaliani nae.


View attachment 1844572

View attachment 1844573

View attachment 1844574

View attachment 1844575

View attachment 1844576

View attachment 1844578
Wana siasa za kujinga wakati unatumia mpaka pesa kununua na kuhonga wanachama wao kisha unawapa ubunge,UDC, nk?
 
Back
Top Bottom