Prosper Fidelis
New Member
- Feb 6, 2021
- 3
- 1
jamani walimu humu ndani naombeni mnieleweshe, unapoandika kumbukumbu namba, katika barua rasmi, kumbukumbu namba hiyo inahusiha mambo gani?
Inasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo....ajue kama umewahi tuma barua hapo mwanzoo....jamani walimu humu ndani naombeni mnieleweshe, unapoandika kumbukumbu namba, katika barua rasmi, kumbukumbu namba hiyo inahusiha mambo gani?
mambo gani ya kuzingatia sasa? kwenye upangaji wa hizo nambaInasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo....ajue kama umewahi tuma barua hapo mwanzoo....
Kwa ufupi....
....kumbu kumbu namba inamsaidia msomaji wakoo kurejerea barua yako ya awalii.....
Inasaidie......kumpa taarifa ...msomaji wa barua yakoo.