Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Muoga alafu anasukumiza wenzake ili wafanyiziwe na corona.Dunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatukumchagua ili akae nyumbani., wengine wote hawalipwi mshahara kwa kukaa nyumbani.nyumbani raha jamani ..mwacheni anajikumbushia enzi za utoto ilivyokuwa ..kwanini mteseke na wakati yupo nyumbani...
Bavicha mna kazi kweli kweli!CHARITY BEGINS AT HOME.
Tofauti na viongozi wengine waliomtangulia, Mwalimu Nyerere hadi Kikwete, Mheshimiwa Rais Magufuli ni mfano wa kuigwa kwa aina ya Viongozi wanaopapenda na kupapendelea sana kwao...Kwa mfano, leo ni Siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alipoondoka Ofisini kwake Ikulu ya Chamwino, Dodoma na kuhamia nyumbani kwake/Kwao Chato, Geita. Na anapiga kazi tu kama Kawaida tukiacha matatizo madogomadogo ya kulalamikiwa na Viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC na AU kuwa hapokei simu zao.
Viva Magufuli, Viva Tanzania, Viva Afrika, Viva Chato
View attachment 1446876
Kwani Chato si Ikulu pia, nimezaliwa huku nitakufa huku na nitazikwa huku huku Chato.Dunia nzima Trump yupo ikulu, Borris yupo ofisini, Edga lungu yupo ikulu, Kenyata yupo ikulu, museven, maphorisa, wote wnapiga kazi ikulu ila ukitaka kujua mtu muoga njoo tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uwanja ndio ule wa Chato? mbona unaonesha cracks hapo!?CHARITY BEGINS AT HOME.
Tofauti na viongozi wengine waliomtangulia, Mwalimu Nyerere hadi Kikwete, Mheshimiwa Rais Magufuli ni mfano wa kuigwa kwa aina ya Viongozi wanaopapenda na kupapendelea sana kwao...Kwa mfano, leo ni Siku ya 45 tangu Mheshimiwa Rais Magufuli alipoondoka Ofisini kwake Ikulu ya Chamwino, Dodoma na kuhamia nyumbani kwake/Kwao Chato, Geita. Na anapiga kazi tu kama Kawaida tukiacha matatizo madogomadogo ya kulalamikiwa na Viongozi wenzake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, SADC na AU kuwa hapokei simu zao.
Viva Magufuli, Viva Tanzania, Viva Afrika, Viva Chato
View attachment 1446876
Yeye ndiyo atayazuia kwa mikono yake? Mbona mnajitoa akili kizembe hivyo?Raisi wetu amekuwa Kungwi wa kukaa ndani wakati maradhi yakiliteketeza taifa
Si ndiyo maana anahimiza tufanye kazi tulipe kodiHao alioenda nao wanalipwa na nani per diem?
Wewe ni wa kupuuzwa kama wapuuzi wengine wa LumumbaMnahamasisha watu wakae majumbani ila mnataka Rais ajiexpose kwenye hatari, hivi hamnaga Cha maana Cha kuhoji mkaacha siasa za kitoto? Umepungukiwa Nini tangu Magufuli aende Chato- Geita- Tanzania?
Majukumu anayafanya Kama kawaida Bado mnalalamika.
Akae hata mwaka mzima, ilimradi awe salama na anatimiza majukumu yake. Bavicha hamnaga jema.
Sent using Jamii Forums mobile app