da!uko sawa mkuu, hata hivyo huo mwaka ndo nilmaliza elimu ya msingiUnaposema "ile misimu ya kizamani" hata hiyo yako itakuja kuwa ya kizamani na vijana wa huo wakati ujao watakua wanashangaa uliwezaje kuwa na "lisimu la kizamani" hivyo.
Hata "bibi alikua binti"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mpka nilivyokuja kumiliki simu hayo matoleo yalishapita