Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 7,621
- 16,373
😂 😂Simu ,mbowe tayari alikua nayo, akati wewe umeaza kua na simu 2003
Mkuu, 2003 ndo nilianza darara la kwanza...
Sema huyu jamaa good life kitambo😂😂
😂 😂Simu ,mbowe tayari alikua nayo, akati wewe umeaza kua na simu 2003
Una umri gani wewe? Maisha ni safari! Na hiyo Billicanas ilikuwa ni ya kwake! Hakuwa kibarua hapo! Na unafahamu mpaka akina JK wenyewe enzi hizo wakiwa ni Mawaziri, walikuwa wakiingia humo kujirusha? Enzi hizo Club Billicanas ilikuwa ni habari nyingine mjini!! Isitoshe kwa mwanaume yeyote yule, kazi ni kazi!Hivi ni kweli profession ya Mbowe ni kupigisha muziki ( u-DJ)?
Mkuu kwa nini?Elitwege akiiona hii picha ya Mbowe mkojo unambana ghafla! Sijui ni kwa nini!!
Napo mnaenda kusimama kwenye mti eneo lamlimani kijiji kizima....nashangaa sana kuona airtel inatapatapa mana ilitakiwa kua ndomtandao mama..wahuni noma
Mkuu, 2003 ndo nilianza darara la kwanza...
Sema huyu jamaa good life kitambo
Ni kweli kabisa, tena amewaanda kwa ubora uliotukukaMbowe amewaandaa watu wengi sana ukiwemo wewe mleta mada!
Huyo mpuuzi anampenda sana Kamanda Mbowe kiasi cha kupitiliza! Yaani akilala😴 anamuota Mbowe, akinywa maji kwenye glass 🥛anamuona Mbowe!! Kiufupi ni shida!!!Mkuu kwa nini?
KumbeNdugu zangu,
Mnamo mwaka 1999 aliyekuwa Meneja wa Billcanas ambaye kwa sasa ni mwenyekiti wa Chadema akimkabidhi tuzo mlimbwende Hoyce Temu ambaye kwa sasa ni Balozi mteule.View attachment 1800991
Hivi airtel wana shida gani aisee.... nilinunua line yao ila nikaitipa...yaani kupiga simu tu ni ishu, simu hazitoki. Wanaotumia huo mtandao wana moyo wa uvumilivu sana.Napo mnaenda kusimama kwenye mti eneo lamlimani kijiji kizima....nashangaa sana kuona airtel inatapatapa mana ilitakiwa kua ndomtandao mama..wahuni noma
Wa kuchunga ng'ombe
Huenda alimwajiri lakini performance yake ilikuwa ndogo akamtumbua😤😤😥😥Huyo mpuuzi anampenda sana Kamanda Mbowe kiasi cha kupitiliza! Yaani akilala😴 anamuota Mbowe, akinywa maji kwenye glass 🥛anamuona Mbowe!! Kiufupi ni shida!!!
Mbona km Ni ile misimu ya kizamaniHicho nini kama mbao kwenye suruali ya Mbowe?
Hakika umenena vyemaaaa!!!!Wakati huo Wakudadavua alikua anakamua maziwa ya ng’ombe kwao, mjini hajafika.
Mkuu soma uelewe vizuri, ni meneja wa hotel na sio ukumbi.Meneja? Au zamani meneja wa ukumbi ilikua na maana tofauti na ya sasa?
Nashukuru kwa maelezo yako maana nilihani watu wanatania wakisema DJ Mbowe!Una umri gani wewe? Maisha ni safari! Na hiyo Billicanas ilikuwa ni ya kwake! Hakuwa kibarua hapo! Na unafahamu mpaka akina JK wenyewe enzi hizo wakiwa ni Mawaziri, walikuwa wakiingia humo kujirusha? Enzi hizo Club Billicanas ilikuwa ni habari nyingine mjini!! Isitoshe kwa mwanaume yeyote yule, kazi ni kazi!
Hata magufuli mwenyewe na ubabe wake wote ule alishawahi kuwa mchunga ng'ombe huko kwao Chato na baadae akawa mwalimu wa Stashahada tu pale Sengerema Sekondari, kabla ya kuihitimisha safari yake kwenye Ubunge na mwisho kabisa kuwa Rais wa JMT!
Unaposema "ile misimu ya kizamani" hata hiyo yako itakuja kuwa ya kizamani na vijana wa huo wakati ujao watakua wanashangaa uliwezaje kuwa na "lisimu la kizamani" hivyo.Mbona km Ni ile misimu ya kizamani
Duh, mzigo wote huo...aiseeMbona km Ni ile misimu ya kizamani
Sema bwashee kimoyonimoyoni unamkubali sana Mbowe....😀😀Mguu wa kuku!
Hivi uliwahi kuisikia Club Billicanas!!?? Muulize Jakaya Mrisho Kikwete atakueleza nini ilikua Club Billicanas. Kipindi hicho Dar es Salaam starehe ni Billicanas. Kipindi hicho Kikwete akiwa Waziri na watu wengine maarufu, mambo yalikua ni Club Billicanas. Mmiliki wake alikua ni Freeman Mbowe.Meneja? Au zamani meneja wa ukumbi ilikua na maana tofauti na ya sasa?