Kumbe Wizkid aliomba pesa nyingi hivi!

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Sep 6, 2014
6,170
7,664
Linah leo amefunguka kuwa anampango wakufanya Collabo na msanii wa Nigeria Wizkid,Linaha amefunguka kuwa alilazimika kutafuta contact za Wizkid na kuanza kuchat nae na kuomba kufanya nae Collabo na Wizkid alionekana kukubari kufanya nae collabo Linah!

Huku Wizkid akiwa anamuomba Linah amtumie kazi zake na Linaha kufanya hvyo,Wizkid pia aliomba picha za Linah na kupewa,Linah amesema kuwa Wizkid alikuwa anasema sio picha hizo zile zingne lakini Linah hajasema kama hzo picha zingine ni zipi na alituma au Vipi hajaweka wazi

Baada kufika kuwa issue ni Official katika mangement ya Linah Wizkid alidai ilikufanya Collabo anahitaji alipwe Dolla 20 elfu ambazo ni sawa na Millioni 40 za kibongo n Linah amesema hio ni gharama kubwa mno

Linah amesema yeye ni mtoto wa kike na anaweza mvutia yeyote

Source: amplifaya ya clouds Fm na Millard Ayo!
 
Of coz namuona Lina kama Wife material fulani hv...sa Wiz nae kwa hizo pesa anaxohitaji ni Kajizi tu kanataka kumla ...
 
Heee sasa anasubiri nini kama anaweza kumvutia yeyote ?? Hii ndio shida ya mentality ya baadhi ya wanawake wanafikria K ndio kila kitu ,
Sasa sijui amvutie kivipi..Mana ametuma pics na nyimbo jamaa kavithaminisha ndo akataja hiyo pesa..Labda atume hizo nyingine ndo afanyiwe punguzo
 
Sasa sijui amvutie kivipi..Mana ametuma pics na nyimbo jamaa kavithaminisha ndo akataja hiyo pesa..Labda atume hizo nyingine ndo afanyiwe punguzo
Teh teh Hizo nyingine labda atume akiwa kapiga kwenye disco lights ,vinginevyo wataendelea kumuona Lulu mchawi Walah ,
 
Teh teh Hizo nyingine labda atume akiwa kapiga kwenye disco lights ,vinginevyo wataendelea kumuona Lulu mchawi Walah ,
Teh teh..Mi nikisikia collabo ya Linah na Wizkid ipo hewani ntajua tu dada yetu alituma nude pics au alitafunwa..Mil 40 sio mchezo aisee
 
Teh teh..Mi nikisikia collabo ya Linah na Wizkid ipo hewani ntajua tu dada yetu alituma nude pics au alitafunwa..Mil 40 sio mchezo aisee
Teh teh mbona picha wanatuma tu hata kwa masela kama sisi tusio na uspooni town sembuse hao ma star alafu hela ipo ? Nude pic ni Zuga tu huyo kabla hajombwa atakua ametuma tu ,Gigi money si alipiga picha na lichupi lake likubwa sijui na Tecno kesho yake akatangaza ameliwa na jamaa ,
Hiyo 40m ni kolabo tu bado video Godfather 30M ,acha tu atafunwe hakuna namna
 
Back
Top Bottom