Kumbe Watutsi ni Jews?

Kumbe Watutsi ni Jews?

Status
Not open for further replies.

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,633
Reaction score
5,606
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?
 
Wapo sahihi, Queen of Sheeba alizaa na Mfalme Suleiman mtoto wa Kiume na alirudi Ethiopia na mwanae, Queen of Sheeba she was a pure beautifully black ambaye hajawai kutokea tena, unaweza kuona kwenye Bible Suleiman anavyomsifia, pia unaweza kuwacheck wadada wa kitutsi walivyo, so Cute.
 
Hawa jamaa kiukweli wamefanana sana na waethiopia.ndio maana wahutu wanakasirika wakiona wanatawaliwa.
 
I have nothing to comment ila ndo huwa wanajitambulisha hivyo. Everything has its beauty but not to everyone
 
Waendelee kujifariji kwa maneno hayo hayo yakujiona wao ni Wayahudi....

Sure kaka,yaani kila jamii inajifanya ina connection na jews....hadi wa-igbo,sijui waemba,etc....hata wakiwa hivyo hamna justification ya wao ku-treat other human beings kama animals....kutokea ethiopia sio kweli kwamba ni jews,walete evidence hapa,dna matchings nk....hii kasumba ya kujikomba kwa mwenye nacho mbaya sana,wajipange....kama wao ni jews na wambulu jee?kila kabila utasikia jews related....pamoja na kujikomba kooote huko hamna haki ya kuonea wengine,porokodiomadona!
 
Watutsi Wanafanana na wasomalia na mwanzoni walidhaniwa madai yao ni ya kweli ila baada ya kupimwa DNA walikutwa ni wabantu pure..... na wala sio cush Wakina Dr. Slaa ndio wana damu za Wacush na Asili yao ni Ethiopia... hapa Tanzania wapo wenye asili ya Cush Tanga wapo korogwe wanaitwa Wambugu hufanana na waethiopia kabisa hata nywere zao kama za wasomali Manyara wapo huitwa Wairaqw wengi wamechanganyikana na Wadatooga ambao kuja kwao Tanzania walikuwa wanafuatana Wambulu ni hao hao Wairaqw na Wadatooga ambao waliharibu lugha asili ikawa na mchanganyiko so wengi ni wale walioenda hadi kufika Iringa baada ya taabu za maisha wakaanza kurejea hadi manyara tena Wairaqw waliobaki ambao hawakuondoka waliwaita wenzao Wambulu...
 
waitheopia wenyewe walidhaniwa kuwa ni wjews lakini baada ya utafiti wa kina ikaonekana wana shabihiana sana na watu wa yemeni. watusi ndo walionekana sio kabisa. kuna wengine wako huko nigeria na wengine zimbabwe waliojenga ngome za huko zimbabwe lakini uchunguzi wa kina unaonyesha wanafanana tu na wajews lakini sio jews. wethiopia hadi kuna kipindi walikuwa wanaenda israeli eti wanarudi skani lakini naona leo watakuwa wanaona aibu kwa kujikomba.
 
watutsi walipokuwa wakiuawa maiti zao zilitupwa mto unaoingia mto nile na wanaziambia zile maiti go back to ethiopia, lakini pia haimaanishi waethiopia woote ni wayahudi. ni segment ndogo tu na kimsingi wayahudi walisharudishwa Israel zamani
 
Sure kaka,yaani kila jamii inajifanya ina connection na jews....hadi wa-igbo,sijui waemba,etc....hata wakiwa hivyo hamna justification ya wao ku-treat other human beings kama animals....kutokea ethiopia sio kweli kwamba ni jews,walete evidence hapa,dna matchings nk....hii kasumba ya kujikomba kwa mwenye nacho mbaya sana,wajipange....kama wao ni jews na wambulu jee?kila kabila utasikia jews related....pamoja na kujikomba kooote huko hamna haki ya kuonea wengine,porokodiomadona!

Huko ni kudhalilisha Uafrika wao tu.Wanajikana weusi wao.Lengo waonekane si Waafrika.Hata kama wataleta vielelezo na kupimwa vinasaba na kuthibitishwa kwamba ni Wayahudi, "so what?" Watabaki kuwa Wanya-Rwanda tu "until Jesus comes".

After all, if they want to play with history, the origin of human being is in Africa-Olduvai Gorge!

Unless they want to prove of their Jewish-geneology they have a home work to work-on:creating the new historical hypothesis based on proving that the origin of human being is out of Africa. Having said so, they remain Rwandese, and Africans.Period.
 
Beginning about 1880, Roman Catholic missionaries arrived in the Great Lakes region. Later, when German forces occupied the area during World War I, the conflict and efforts for Catholic conversion became more pronounced. As the Tutsi resisted conversion, the missionaries found success only among the Hutu. In an effort to reward conversion, the colonial government confiscated traditionally Tutsi land and reassigned it to Hutu tribes, igniting a conflict that has lasted into the 21st century.[SUP][14] Source Tutsi - Wikipedia, the free encyclopedia[/SUP]
 
Waendelee kujifariji kwa maneno hayo hayo yakujiona wao ni Wayahudi....
Wanacreate myth kuonekana bora hawana lolote. Ni mbari fulani ya wachunga mifugo kama wamasai kutoka kaskazini ya afrika milima ya ethiopia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom