Kumbe Watutsi ni Jews?

Kumbe Watutsi ni Jews?

Status
Not open for further replies.
kuna rafiki yangu mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia queen sheeba kama walivyo mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

you are not a great thinker!
 
Wana JF,

Muwe makini na hizi threads. Kuna watu wengine hapa nia yao ni kuchochea uhasama baina ya nchi hizi mbili. Such threads should be ignored because hazina hadhi ya forum hii.
 
Watutsi Wanafanana na wasomalia na mwanzoni walidhaniwa madai yao ni ya kweli ila baada ya kupimwa DNA walikutwa ni wabantu pure..... na wala sio cush Wakina Dr. Slaa ndio wana damu za Wacush na Asili yao ni Ethiopia... hapa Tanzania wapo wenye asili ya Cush Tanga wapo korogwe wanaitwa Wambugu hufanana na waethiopia kabisa hata nywere zao kama za wasomali Manyara wapo huitwa Wairaqw wengi wamechanganyikana na Wadatooga ambao kuja kwao Tanzania walikuwa wanafuatana Wambulu ni hao hao Wairaqw na Wadatooga ambao waliharibu lugha asili ikawa na mchanganyiko so wengi ni wale walioenda hadi kufika Iringa baada ya taabu za maisha wakaanza kurejea hadi manyara tena Wairaqw waliobaki ambao hawakuondoka waliwaita wenzao Wambulu...
Mkuu haya mambo ya kuthibitisha kisayansi ndio tunataka, sio porojo - well done.
 
Beginning about 1880, Roman Catholic missionaries arrived in the Great Lakes region. Later, when German forces occupied the area during World War I, the conflict and efforts for Catholic conversion became more pronounced. As the Tutsi resisted conversion, the missionaries found success only among the Hutu. In an effort to reward conversion, the colonial government confiscated traditionally Tutsi land and reassigned it to Hutu tribes, igniting a conflict that has lasted into the 21st century.[SUP][14] Source Tutsi - Wikipedia, the free encyclopedia[/SUP]

Ukitaka ngonjera zaidi....wao na Wamasai yasemekana ni kikosi kimoja cha Siza (Caesar) kilichopotea jangwani. Wataalamu walisoma mfumo wa jinsi wanavyopigana na tabia nyingine nyingine (kama kujiona) na wakatoa study hiyo.
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

Neno "Tutsi" lina ladha ya Ki-Cushit kama vile Waethiopia......ukiwasikiliza Waethiopia wanavyozungumza wana maneno mengi yanayogandamanisha 'ts' (ni uchunguzi wangu binafsi).
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?
ukiona watu wanaongea sana ujue wanaogopana , wanaume huwa hawaongei sana kama vip tz na rwanda zipigwe:fencing: japo wiki moja tu tone nani atakuwa na manundu:boxing: mengi zaidi ya mwenzie coz tumechoka mipasho yenu kila siku. refa kenya :horn:na mshika kibendera uganda:tea: na burundi :majani7: . hay nasema "hajimiiiii ....hayooooo... "
 
Waache kujikomba, eti wanafanana na Jews! Waambieni waende Israel sasa, waone watakavyovurumishwa, chezea yahud wewe.
 
Ukiona mtu anakana kabila lake basi ujue bado mtumwa!!
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

WAONGO WAKUBWA..

Watasema kila kitu.. wabantu wale wa misitu ya kongo...
 
They better remain silent hawafananii na waliobarikiwa kwa matendo yao, waone wenzao jinsi walivyobadili Israel kutoka jangwa mpaka nchi ya asali, america, wamegundua vitu vingi, sio wakorofi mpaka wachokozwe wana akili umoja sio ubaguzi wanaweza kufanya makuu i.e Six days war. Wao ni bantus tu. Hata sio waethiopia wote ni Jews maana walikuwepo hata kbala ya Isarel ni wajukuu wa kwanza wa nuhu, same as caninites na philistians.
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

Your story is fabricated no one has told you that, you have your own agenda of discrediting the Tutsis due to your own reasons, there is no way anyone can claim such a rubbish. Try another lie.
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

Land for your information Tutsis are not in Rwanda only, they are also in TZ among the Hangaza and subi people in Kagera, they among the Ha of Kigoma, they are among all tribes that surround great lake region, in fact it is not a tribe but a way of life unfortunately it has been wrongly identified as tribe.
 
Kwani ukiwa myahudi ndo we mtawala tu, i hate this notion, mi ni mwiragw lakini i don't believe kuwa we have something very special kama watu wengine wanavyodhani, kote nilikokuwa nasoma sikuona tofauti yangu na mchaga, msukuma au yoyote yule na nitabaki kumheshimu kila mtu. In respect to tutsi hawana jipya la kujiona kuwa wao wamebarikiwa zaidi kuliko wengine.
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

Ngoja tumuulize mmoja wao yumo humu! Huyu mtutsi ana majina kama mvua! Ngoja tujaribu mawili MaxShimba au Aswad Band
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom