Kumbe Watutsi ni Jews?

Kumbe Watutsi ni Jews?

Status
Not open for further replies.
Wanacreate myth kuonekana bora hawana lolote. Ni mbari fulani ya wachunga mifugo kama wamasai kutoka kaskazini ya afrika milima ya ethiopia.

Sana tu mkuu.Yaelekea hawa jamaa wangekuwa na uwezo wa kubadilisha ngozi wangeshafanya hivyo siku nyingi sana ili tu waonekane wao si Waafrika.Wanasumbuliwa na ama kimoja kati ya hivi "superiority or inferiority complex" au vyote kwa pamoja.
 
Kama na wewe uliamini ujue sio mzima..Jews weusi?? wanauwezo gani kama wa Israel au kiburi cha huyo kagame
 
Kwani nyie hamkuona kuwa Kagame alialikwa kwenda Israel baada ya hizi purkushani kuanza!
Kwa nini alialikwa na kurudi kwa matamko ya ajabu?

Ila nadhani hiyo ni theory ya wazungu wanaowadanganya kwani hamna uthibitisho huo. Kwa sasa DNA inaweza kupimwa na kujulikana ukweli wenyewe.
 
Kwani nyie hamkuona kuwa Kagame alialikwa kwenda Israel baada ya hizi purkushani kuanza!
Kwa nini alialikwa na kurudi kwa matamko ya ajabu?

Ila nadhani hiyo ni theory ya wazungu wanaowadanganya kwani hamna uthibitisho huo. Kwa sasa DNA inaweza kupimwa na kujulikana ukweli wenyewe.

teh teh teh, black jews!
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?

Kwani kuwa Jews ni nongwa? Jews are human beings just like you and I
 
[h=3]Genetics[/h] Modern-day genetic studies of the Y-chromosome suggest that the Tutsi are largely of Bantu extraction (80% E1b1a, 15% B, 4% E3). Paternal genetic influences associated with the Horn of Africa and North Africa are few (1% E1b1b), and are ascribed to much earlier inhabitants who were assimilated. The Tutsi, in general, demonstrate a close genetic kinship with neighboring Bantu populations, particularly the Hutu.[SUP][10][/SUP]
[...]generations of gene flow obliterated whatever clear-cut physical distinctions may have once existed between these two Bantu peoples – renowned to be height, body build, and facial features. With a spectrum of physical variation in the peoples, Belgian authorities legally mandated ethnic affiliation in the 1920s, based on economic criteria. Formal and discrete social divisions were consequently imposed upon ambiguous biological distinctions. To some extent, the permeability of these categories in the intervening decades helped to reify the biological distinctions, generating a taller elite and a shorter underclass, but with little relation to the gene pools that had existed a few centuries ago. The social categories are thus real, but there is little if any detectable genetic differentiation between Hutu and Tutsi.[SUP][11][/SUP]
However, Razib Khan, based on an analysis of the autosomal genetics of a single individual who is three quarters Tutsi, suggests that "the Tutsi were in all likelihood once a Nilotic speaking population, who switched to the language of the Bantus amongst whom they settled."[SUP][12][/SUP][SUP][13]
Tutsi - Wikipedia, the free encyclopedia

[/SUP]


Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?
 
[h=3]Genetics[/h] Modern-day genetic studies of the Y-chromosome suggest that the Tutsi are largely of Bantu extraction (80% E1b1a, 15% B, 4% E3). Paternal genetic influences associated with the Horn of Africa and North Africa are few (1% E1b1b), and are ascribed to much earlier inhabitants who were assimilated. The Tutsi, in general, demonstrate a close genetic kinship with neighboring Bantu populations, particularly the Hutu.[SUP][10][/SUP]
[...]generations of gene flow obliterated whatever clear-cut physical distinctions may have once existed between these two Bantu peoples – renowned to be height, body build, and facial features. With a spectrum of physical variation in the peoples, Belgian authorities legally mandated ethnic affiliation in the 1920s, based on economic criteria. Formal and discrete social divisions were consequently imposed upon ambiguous biological distinctions. To some extent, the permeability of these categories in the intervening decades helped to reify the biological distinctions, generating a taller elite and a shorter underclass, but with little relation to the gene pools that had existed a few centuries ago. The social categories are thus real, but there is little if any detectable genetic differentiation between Hutu and Tutsi.[SUP][11][/SUP]
However, Razib Khan, based on an analysis of the autosomal genetics of a single individual who is three quarters Tutsi, suggests that "the Tutsi were in all likelihood once a Nilotic speaking population, who switched to the language of the Bantus amongst whom they settled."[SUP][12][/SUP][SUP][13][/SUP]
Tutsi - Wikipedia, the free encyclopedia


Kwani nyie hamkuona kuwa Kagame alialikwa kwenda Israel baada ya hizi purkushani kuanza!
Kwa nini alialikwa na kurudi kwa matamko ya ajabu?

Ila nadhani hiyo ni theory ya wazungu wanaowadanganya kwani hamna uthibitisho huo. Kwa sasa DNA inaweza kupimwa na kujulikana ukweli wenyewe.
 
Kuna rafiki yangu Mnyarwanda nilikuwa nachat nae nikamuuliza kwanini watutsi wachache wanajipa haki ya kutawala wahutu walio wengi? Na kwanini Watutsi wanajiona bora?

Akaniambia wao asili yao ni Ethiopia na ni kizazi cha kiyahudi kupitia Queen Sheeba kama walivyo Mafalasha!
Akasema kama ilivyo kwa mayahudi wa Israel na kwao pia!

Ni kweli hili?
Uhuni tu wa mabeberu wa kiyahudi. Walihitaji manamba huko kwao halafu wanawavunga mafalasha eti ni waebrania. Kua myahudi sio kua muebrania (hebrew) ambayo ndio mbari ya mayahudi wengi. Mbona sasa wanawafurusha watu weusi kutoka israel baada ya kuona manamba wamezidi? Watutsi nao kama wanajidai ni mayahudi waende basi israel wakawe manamba kama mafalasha.
 
Hii Tutsi obsession ni kama mental illness humu JF,mtaacha lini kuleta hizi idiotic conspiracy?almost 20 topics everyday mnajadili watutsi tuu,hamjishtukii?
 
Wapo sahihi, Queen of Sheeba alizaa na Mfalme Suleiman mtoto wa Kiume na alirudi Ethiopia na mwanae, Queen of Sheeba she was a pure beautifully black ambaye hajawai kutokea tena, unaweza kuona kwenye Bible Suleiman anavyomsifia, pia unaweza kuwacheck wadada wa kitutsi walivyo, so Cute.

Huu ni upuuzi sana. Watutsi siyo wayahudi na pia siyo waisrael hata kidogo. Lakini watutsi inawezekana pia wakawa semites (kizazi cha shem) kama walivyo wasomali na wengine. Ni kweli pia biblia inasema kuwa QUEEN of Sheba alikuwa ni mzuri lakini haisemi kama alikuwa anafanana na wadada wa kitutsi. ndugu yangu hata kama umeoa au kuolewa na watutsi jaribu kutambua kuwa hakuna jamii isiyo na wadada wazuri. Na hata queen of Shena hakuitwa mzuri eti kwa sabababu tu kwamba she was from ethipia (Sheba). She had more features that described her beauty. Na hao watutsi sijui unapenda yale meno yao yanayotokezea nje au kitu gani? Jaribu kujikomboa na utumwa wa mawazo. Lakini pia sikatai kuwa watutsi wanafanana na waethiopia kwa kuwa that is their race. But a race can not make someone judge ones beauty.

Na hata kama Queen of sheba alikuwa anafanana na watutsi wa sasa, hiyo bado haimaanishi hata kidogo kuwa wao ni wayahudi. huyu queen hakuwa myahudi bali ethiopian sawa na ethiopian mwingine yeyote. na siyo kila ethiopian ni wa kizazi za suleiman, siyo kweli. kizazi cha suleiman ni ule ukoo wa akina manalek mpaka akina Haile selasie.Tungewaita wayahudi kama wangekuwa wanafanana na mfalme suleiman mwenyewe. Hizo zote ni arrogance za kipuuzi za watutsi zinazotaka wahurumiwe na mataifa ikiwemi isarel.
 
hapana umekosea mkuu, hawa majamaa ni malaika kabisa, hawajatoka duniani
 
Hii Tutsi obsession ni kama mental illness humu JF,mtaacha lini kuleta hizi idiotic conspiracy?almost 20 topics everyday mnajadili watutsi tuu,hamjishtukii?

Koba usishangae. tumekuja kuwastukia watututsi wakati mambo mengi yalishaharibika. ndiyo maana siku tu za karibuni tumejikuta tunapigwa na butwaa na mambo yenu ya ajabu ajabu
 
hao watu hawana hata connection na cush wala waithiopia ilishathibitishwa kitambo soma historia utaona
 
Watusti ni ma vampire
Wazuri usoni, hatari sana moyoni.
vampire-08.jpg
 
swali jepesi....je wakati queen of sheba anenda israel je kulikuwa na waethiopia wengine...? kama walikuwepo je hawakuzaana? kama walizaana kwa nini hawa jamaa waseme wao ni wayahudi je wote walikuwa kizazi cha huyo malkia au..... ni sawa na mzaramo akazao na mzungu halafu wazaramo wa dar nao wadai kuwa ni wazungu japo sio wa mama yule aliyezaa na mzungu.
 
swali jepesi....je wakati queen of sheba anenda israel je kulikuwa na waethiopia wengine...? kama walikuwepo je hawakuzaana? kama walizaana kwa nini hawa jamaa waseme wao ni wayahudi je wote walikuwa kizazi cha huyo malkia au..... ni sawa na mzaramo akazao na mzungu halafu wazaramo wa dar nao wadai kuwa ni wazungu japo sio wa mama yule aliyezaa na mzungu.

Very true sir.
 
Why do you hate the Tutsis so much to the extent that your hatred has become an obsession. This is not healthy for your mind, body and social wellbeing. Can’t you find in some part of your mind that is willing to forgive them for whatever sins they have committed against you? Even Jesus forgave the Jews who killed him. I cannot understand this extreme and obsessive hatred for Tutsis in our region. So what if they (some) claim to be Jews. We know, and most importantly they know, that they are not. When I was young I used to call myself a cowboy after seeing too many western movies and of course no one took me seriously. I have never been on a horse and I wouldn’t attempt to ride one. The only horses I have seen here in Kenya are with the police and I can assure you that being a policeman never featured in my career choices.
The genocide of the Jews by Hitler and of the Tutsi by Hutus started after such misguided and obsessive hatred towards their community. So what do you hope to achieve with this hate campaign? Do you want us all in East and Central Africa to rise in a revolution and chase away the Tutsis from our communities, villages, districts, provinces and countries?
Our energies can be better utilised in fighting several ills in our region such as corruption, poverty disease and general backwardness.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom