Kumbe wanaume wana vichwa viwili

Kumbe wanaume wana vichwa viwili

hakuna kitu kama hicho nnachojua mimi ni kwamba wanawake wote wanabakwa ila kwa njia mbili tofauti....
1. kwa hiyari
2. kwa lazima

simple and clear

Neno HIYARI haliwezi kutumika kufafanuwa neno KUBAKA. Mtu akikubali kwa hiyari yake, huko sio kubaka. Mtu akikataa na akalazimishwa ukanya asichikotaka, huko ni kubaka. Wanaume wanashidwa kuelwa ishara za NDIO na HAPANA. Unakuta mtu ana mng'ang'ania mwanamke kwa muda mrefu mpaka mwanamke anaoa isiwe tabu haya chikuwa unachota, japo amekubali kwa shingo upande lakini ni kwa hiyari yake mwenye. Lakini unakuta mwimgine anagagania mwanamke anaambiwa hapana akiona hafanikiwi, analazimisha wakati bado anaambiwa hapana, hapo sasa ndio kubaka kwa mwondo kasi.
 
Wakuu, nimepata siri nzito juu ya wanaume kuwa na vichwa viwili.

Nilikuwa mahali ktk mapuziko ya weekend, mama mmoja akawauliza wanaume, kwann wanabaka vitoto vidogo?

kila mtu pale akatoa jibu lake, lkn yote hayakuwa namshiko.. Ila....

Mzee moja alipoulizwa alijibu hivi; wanaume tuna vichwa viwili, kimoja kipo juu na kingine ktkt ya mapaja, na hivi vichwa viwili haviwezi kufanya kazi kwa wakati mmoja.

Kimoja kikiwa kinafanya kazi kingine hakiwezi ndiyo maana tunabaka.

Wakati mtu anabaka ni kwamba kichwa cha juu hakifanyi kazi.

Niwaulize wanaume je ni kweli?
Nimeipenda avatar yako monicca
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom