Kumbe wanaume wana vichwa viwili

Kumbe wanaume wana vichwa viwili

Ni ukweli usipingika,na unaweza kushangaa hata hao wabakaji baada ya kile kichwa cha chini kusinyaa kichwa cha juu kuinuka wanajikuta katika hali ya majuto sana, wanaumizwa na walichokifanya ila wanakua hawana namna maana wameshafanya!
Umeona eeh shost
 
Baka then hio iwe ni sabab ya kujitete ili uone moto wake
 

Monicccca shenz kabisaaa
Wakuu, nimepata siri nzito juu ya wanaume kuwa na vichwa viwili.

Nilikuwa mahali ktk mapuziko ya weekend, mama mmoja akawauliza wanaume, kwann wanabaka vitoto vidogo?

kila mtu pale akatoa jibu lake, lkn yote hayakuwa namshiko.. Ila....

Mzee moja alipoulizwa alijibu hivi; wanaume tuna vichwa viwili, kimoja kipo juu na kingine ktkt ya mapaja, na hivi vichwa viwili haviwezi kufanya kazi kwa wakati mmoja.

Kimoja kikiwa kinafanya kazi kingine hakiwezi ndiyo maana tunabaka.

Wakati mtu anabaka ni kwamba kichwa cha juu hakifanyi kazi.

Niwaulize wanaume je ni kweli?
 
Wakuu, nimepata siri nzito juu ya wanaume kuwa na vichwa viwili.

Nilikuwa mahali ktk mapuziko ya weekend, mama mmoja akawauliza wanaume, kwann wanabaka vitoto vidogo?

kila mtu pale akatoa jibu lake, lkn yote hayakuwa namshiko.. Ila....

Mzee moja alipoulizwa alijibu hivi; wanaume tuna vichwa viwili, kimoja kipo juu na kingine ktkt ya mapaja, na hivi vichwa viwili haviwezi kufanya kazi kwa wakati mmoja.

Kimoja kikiwa kinafanya kazi kingine hakiwezi ndiyo maana tunabaka.

Wakati mtu anabaka ni kwamba kichwa cha juu hakifanyi kazi.

Niwaulize wanaume je ni kweli?
Ni kweli, na ndiyo maana unaweza ukakuta mwanamke kichaa ana mimba katiwa mimba na mwanaume mzima, wakati huwezi kuta mwanamke mzima aliyetiwa mimba na mwanaume kichaa....
 
Ni kweli, na ndiyo maana unaweza ukakuta mwanamke kichaa ana mimba katiwa mimba na mwanaume mzima, wakati huwezi kuta mwanamke mzima aliyetiwa mimba na mwanaume kichaa....
Ina maana mwanaume akitumia kichwa cha chini kufikiri huwa sawa na kichaa?
 
Ina maana mwanaume akitumia kichwa cha chini kufikiri huwa sawa na kichaa?
Kwa kichwa cha chini wote ni sawa... Tofauti inaanza kupimwa wakati kichwa cha juu kinapopata matumizi... By the way, ukichaa unapimwa kwenye kichwa cha juu tu.. si kwa kiungo kingine chochote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom