Paap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2015
- 1,493
- 1,401
Sasa tatizo gani mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
Si hilo la mwanaume kupata hedhi
Sasa tatizo gani mkuu![]()
![]()
![]()
![]()
SidhaniGazeti la kijinga Sana
Hakuna namna mkuuSi hilo la mwanaume kupata hedhi
Naona umefurahi sana mkuuTeh teh teh duh!

Labda pad zinazotumika ni za kikembona pedi za kiume hamna habari za magazetini ni majipu aisee

Nini maana ya hedhi?Hii ya hedhi kwa wanaume nayo imeniacha hoiView attachment 321915
Yan haaaaaaah kwa hii furaha mpaka nmefanya shereheNaona nimefurahi sana mkuu![]()
Mkuu umenichekesha sanaaaaHata kama wana ushahidi lakini mimi napinga kwa nguvu sana mpaka mwisho. Mimi sipati hedhi banaaaaa

Ulimaanisha jipu?Hili gazeti ni jibu aisee
Mkuu maswali hayatasaidia kitu maana utafiti umeshakamilikaNini maana ya hedhi?
Tuanzie hapo kwanza

Punguza hasira basi....Fulish.
Watu wanakosa vitu vya kuandika eeeeh!

Mkuu jibu la swali lako wanaweza kuwa nalo wanaume wenyeweHiyo dam inatokea kwenye tigo au

hahahahaumeona eeeh...hili ni la kufungiwa milele
Sina hakika kama mawazo yako ni kweliHuyu mwandishi atakua mwanamke aliyeachwa na bwana yake kwa sababu ya kimada
Mwaliko vepeYan haaaaaaah kwa hii furaha mpaka nmefanya sherehe
