Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,105
yule bob luse anayechokoloaga wanawake kila siku aje atudadavulie hili
Hiwezekani mtu akawa na hasira kiasi hicho.Hayo ni matusi ya nguoniSina hakika kama mawazo yako ni kweli
Aje tu maana hamna namna nyingineyule bob luse anayechokoloaga wanawake kila siku aje atudadavulie hili
kila siku ni kuwasema vibaya wanawake tu yani huyo aliyemuweza
shikamoo yake popote pale alipo, maana sio kwa kumuweza kuleHahahahaha mbona hamna matusi ni burudani tuuHiwezekani mtu akawa na hasira kiasi hicho.Hayo ni matusi ya nguoni

Mambo taratibu, yani tunavyozidi kuishi miaka mingi ndio tunavyogundua mengi zaidi. Yule ndugu nimemtagbado mimba tu hoyeeee safi

Yeahhhhhhhh yani muda tuuu ndo tunaohitajiNa bado...ipo siku wataingia labor

na ni mchokooozaikila siku wanawake acheni kulala na waume za watuAje tu maana hamna namna nyingine
Yule jamaa anastress mbaya![]()
kila siku ni kuwasema vibaya wanawake tu yani huyo aliyemuweza
![]()
shikamoo yake popote pale alipo, maana sio kwa kumuweza kule
Hedhi vepe?? Cc Bob lushe
Ha ha ha ha ha ha nimecheka sanaaana ni mchokoooza kila siku wanawwake acheni kulala na waume za watu
wabnawake acheni kunywa pombe mara sijui nini 'hezi' vepeee
naona tutaanza kugombea always kwa mangi
cheers!!!hihihiihiHa ha ha ha ha ha nimecheka sanaaa
Ningemjua huyo maandishi angekunywa atakacho bili ningelipaaa![]()
![]()
![]()
cheers!!!
wanaume wote wasiokubali kuwa na wao wana hedhiHivi nani kanuna![]()
![]()
![]()
Hakuna ki2 kama hicho jimena ss watu wazima wanapoandika pumbaless na kuiweka gazetini na kusambaza mitaani huo ni upuudhi🙁🙁🙁Hasira vepeee![]()
![]()
![]()
Hahahahahaha hii wiki iko poa sanaaa... Maana tumeianza kwa habari njema na furaha telewanaume wote wasiokubali kuwa na wao wana hedhi
Mkuu kubishia gazeti napo ni kipaji.Hakuna ki2 kama hicho jimena ss watu wazima wanapoandika pumbaless na kuiweka gazetini na kusambaza mitaani huo ni upuudhi🙁🙁🙁

Magazeti mengine yakufungia maandazi
Pia siku nyingine Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako.
Huwa nasikitishwa sana nisomapo post za kijinga kama hiyo yako. Hivi huwa unatumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu
wembeee hebu jaribu kukusanya maelezo yako yote uyaweke kwenye mstari mmoja unaoleta maana