Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Lol[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha
Lol[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahahaha
yule bob luse anayechokoloaga wanawake kila siku aje atudadavulie hiliLol[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiwezekani mtu akawa na hasira kiasi hicho.Hayo ni matusi ya nguoniSina hakika kama mawazo yako ni kweli
Aje tu maana hamna namna nyingineyule bob luse anayechokoloaga wanawake kila siku aje atudadavulie hili
Hahahahaha mbona hamna matusi ni burudani tuu[emoji12] [emoji12] [emoji12]Hiwezekani mtu akawa na hasira kiasi hicho.Hayo ni matusi ya nguoni
Mambo taratibu, yani tunavyozidi kuishi miaka mingi ndio tunavyogundua mengi zaidi. Yule ndugu nimemtag[emoji23] [emoji23] [emoji23]bado mimba tu hoyeeee safi
Yeahhhhhhhh yani muda tuuu ndo tunaohitaji[emoji12] [emoji12] [emoji12]Na bado...ipo siku wataingia labor
na ni mchokooozaikila siku wanawake acheni kulala na waume za watuAje tu maana hamna namna nyingine
Yule jamaa anastress mbaya[emoji134] [emoji134] kila siku ni kuwasema vibaya wanawake tu yani huyo aliyemuweza [emoji114] [emoji114] shikamoo yake popote pale alipo, maana sio kwa kumuweza kule
Hedhi vepe?? Cc Bob lushe
Ha ha ha ha ha ha nimecheka sanaaana ni mchokoooza kila siku wanawwake acheni kulala na waume za watu
wabnawake acheni kunywa pombe mara sijui nini 'hezi' vepeee
naona tutaanza kugombea always kwa mangi
hihihiihiHa ha ha ha ha ha nimecheka sanaaa
Ningemjua huyo maandishi angekunywa atakacho bili ningelipaaa[emoji485] [emoji485] [emoji485] [emoji485] cheers!!!
Hasira vepeee[emoji12] [emoji12] [emoji12]Upuudhi m2pu!!😡😡
Hivi nani kanuna[emoji23] [emoji23] [emoji23]hihihiihi
wanaume wote wasiokubali kuwa na wao wana hedhiHivi nani kanuna[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hakuna ki2 kama hicho jimena ss watu wazima wanapoandika pumbaless na kuiweka gazetini na kusambaza mitaani huo ni upuudhi🙁🙁🙁Hasira vepeee[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Hahahahahaha hii wiki iko poa sanaaa... Maana tumeianza kwa habari njema na furaha telewanaume wote wasiokubali kuwa na wao wana hedhi
Mkuu kubishia gazeti napo ni kipaji. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakuna ki2 kama hicho jimena ss watu wazima wanapoandika pumbaless na kuiweka gazetini na kusambaza mitaani huo ni upuudhi🙁🙁🙁
[emoji12] [emoji12] wembeee hebu jaribu kukusanya maelezo yako yote uyaweke kwenye mstari mmoja unaoleta maanaMagazeti mengine yakufungia maandazi
Pia siku nyingine Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako.
Huwa nasikitishwa sana nisomapo post za kijinga kama hiyo yako. Hivi huwa unatumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu