Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Aje tu maana hamna namna nyingine

Yule jamaa anastress mbaya kila siku ni kuwasema vibaya wanawake tu yani huyo aliyemuweza shikamoo yake popote pale alipo, maana sio kwa kumuweza kule

Hedhi vepe?? Cc Bob lushe
na ni mchokooozaikila siku wanawake acheni kulala na waume za watu
wanawake acheni kunywa pombe mara sijui nini..............

'hezi' vepeee


naona tutaanza kugombea always kwa mangi😛😛😛😛😛


au yao haina mambo ya olweiz hahahahahaha nacheka sana aisee haya magazeti mengine bhana
 
na ni mchokoooza kila siku wanawwake acheni kulala na waume za watu
wabnawake acheni kunywa pombe mara sijui nini 'hezi' vepeee


naona tutaanza kugombea always kwa mangi
Ha ha ha ha ha ha nimecheka sanaaa
Ningemjua huyo maandishi angekunywa atakacho bili ningelipaaa cheers!!!
 
Magazeti mengine yakufungia maandazi

Pia siku nyingine Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako.
Huwa nasikitishwa sana nisomapo post za kijinga kama hiyo yako. Hivi huwa unatumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu
 
Magazeti mengine yakufungia maandazi

Pia siku nyingine Jaribu kutumia kichwa chako kwa kufikiri na si kukiacha kuwa ni mzigo tu juu ya mabega yako.
Huwa nasikitishwa sana nisomapo post za kijinga kama hiyo yako. Hivi huwa unatumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu
wembeee hebu jaribu kukusanya maelezo yako yote uyaweke kwenye mstari mmoja unaoleta maana
 
Back
Top Bottom