Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Hedhi...au ndio ile wanaume wana kuwa na akili siku 28 katika mwezi na wanawake wanakuwa na akili siku 2 katika mwezi....wanasayansi ni noma
 
Utafiti umesema wanaume tu. Hayo mengine mie sijui
Hao wazungu akili zao zimeshafikia "yield point" hawawezi kuwaza vizuri tena,,badala ya Kuboresha quantum wanatafiti watakavyoweza kutafunana wanaume kwa wanaume.Kuna hewa chafu imechafua akili zao...
 
Hao wazungu akili zao zimeshafikia "yield point" hawawezi kuwaza vizuri tena,,badala ya Kuboresha quantum wanatafiti watakavyoweza kutafunana wanaume kwa wanaume.Kuna hewa chafu imechafua akili zao...
Hayo unasema wewe tu. Uzi huu hauna uhusiano wowote na maswala ya ngono ulizotaja.
 
Tatizo huyo mwandishi kacopy utafiti halafu kachemka kutohoa neno sahihi la hiyo condition iwapatayo wanaume. Hedhi ni kwa wanawake ...

Ni kweli hilo tatizo huwatokea wanaume sio kama kwa siku za wanawake bali muda wowote na linaitwa "IRRITABLE MALE SYNDROME." Hii husababishwa na kushuka kwa homoni ya kiume inayoitwa "TESTOSTERONE." Homoni hii huwa inakua nyingi asubuhi na hupungua kadri siku inavyosogea. Au mtu akipata tatizo litakalopelekea kupungua kwa homoni hii, dalili hizo zitamtokea.

Hii huwafanya wanaume muda huo kuwa depressed, hypersensitive, hasira, mood change, anxious, stressed nk... Yote haya husababishwa na hii hormonal fluctuations. Kumbuka mwanaume pia ana kiwango kidogo cha oestrogen, homoni ya kike na wanawake wana kiwango kidogo pia cha androgens, male hormones. So, any imbalance katika ukuaji ndo husababisha baadhi ya wanawake kuwa na ndevu, misuli au kufanana na wanaume & kwa wanaume kuota matiti, sauti nyororo nk..

Kuna shule tamu hapa, ingieni google someni vitabu vya biochemstry kwa upande wa hormones mtapata maarifa kibao.

Hiyo ya hedhi ni upotoshaji, labda kama alitaka kuoanisha dalili tu.
 
Hao watakuwa ni wale watoto wa kiume wenye homoni nyingi za kike.....au wale watoto wa kiume wanaokula sana mayai ya kizungu....
 
Mmmmh hao wanaume Wa kuingia hedhi lzm ni wafuasi Wa chadema
Unaweza ukawa unaujua ukweli sio wala viwavi ndio wamesababisha haya hebu rudi dodoma uje na majibu sahihi ?? Maana viwavi jeshi baada ya stage hiyo wanabadilika kuwa vipepeo
 
Hayo unasema wewe tu. Uzi huu hauna uhusiano wowote na maswala ya ngono ulizotaja.
Honestly sitarajii mtu timamu afanye utafiti na alete mrejesho wa kusema mwanaume alio kamili anavuja kama mwanamke,,ni kutumia uwezo wa kiakili vibaya.
 
Back
Top Bottom