Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Mkuu kubishia gazeti napo ni kipaji. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Elimu niliyonayo inapingana na hicho walichoandika datz y nabisha...ila its okay maana ndo wameshaandika..
 
Hapo hakuna kitu kama hiyo,labda huenda ukawa wewe ndio unazo embu jicheki
 
Mtoa mada hajui hedhi maana yake. Menstruation period (MP) haiwahusu wanaume
 
Jimena,et wanaume wanapata hedhi kama wake zao!!!hii kali ndugu zanguni toeni neno wanaume ni kweli au huyu mtu anawatukana!??
 
Hapo hakuna kitu kama hiyo,labda huenda ukawa wewe ndio unazo embu jicheki
1455026376389.jpg
 
Unasema ni uongo wakati hata maana hedhi hujui? We nae ni JIPU[emoji134]
Nafahamu vizuri sana maana ya mp....ni kutoka kwa yai mfu lisilorutubishwa,kuta shikiz za uterus,mucus, and blood. Sasa nashangaa hii itatokeaje kwa mwanaume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom