Ugiligili
JF-Expert Member
- Jun 20, 2014
- 3,023
- 4,072
Elimu niliyonayo inapingana na hicho walichoandika datz y nabisha...ila its okay maana ndo wameshaandika..Mkuu kubishia gazeti napo ni kipaji. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Elimu niliyonayo inapingana na hicho walichoandika datz y nabisha...ila its okay maana ndo wameshaandika..Mkuu kubishia gazeti napo ni kipaji. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo sasa tuko pamoja. Walishaandika na gazeti lilishauzwa kilichobaki tukubali matokeo tu[emoji134] [emoji134]Elimu niliyonayo inapingana na hicho walichoandika datz y nabisha...ila its okay maana ndo wameshaandika..
Hapo hakuna kitu kama hiyo,labda huenda ukawa wewe ndio unazo embu jicheki
Sio mimi ni gazeti ndo liliandika hivyo na nililiweka isipokuwa mods walipouhamishia huu uzi huku ndo wakatoa hilo gazeti lililoandika kuhusu huo utafitiJimena unatukana wazazi sasa mbona mume wangu hapati hizo siku au ni tasa!!!!
Jimena,et wanaume wanapata hedhi kama wake zao!!!hii kali ndugu zanguni toeni neno wanaume ni kweli au huyu mtu anawatukana!??
Jionee mwenyeweHahahahaha
Nani alokwambia kuwa sijui maana ya hedhi? Kama haiwahusu wanaume huu utafiti unaouongeleaje?Mtoa mada hajui hedhi maana yake. Menstruation period (MP) haiwahusu wanaume
Kwenda wapi mkuu?Duh,napita tu
Kwenda wapi mkuu?
Unasema ni uongo wakati hata maana hedhi hujui? We nae ni JIPU[emoji134]Uongo nn maana ya hedhi?
Sio mimi mkuu ni utafiti, mi nimenukuu tuWeeee ondoa upuuzi wako.
Sie tunagonga sitini hakuna huo upuuzi.
Itapita wapi kwanza?
Basi sawaaanaenda kuoni nini kipya tena
Nafahamu vizuri sana maana ya mp....ni kutoka kwa yai mfu lisilorutubishwa,kuta shikiz za uterus,mucus, and blood. Sasa nashangaa hii itatokeaje kwa mwanaume?Unasema ni uongo wakati hata maana hedhi hujui? We nae ni JIPU[emoji134]