Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Kumbe wanaume nao huingia katika Hedhi!

Mtambuzi hedhi yako uwa ni lini na unaingia na dalili zipi? Maana ww ndio mleta mada!!
 
Hii ya hedhi kwa wanaume nayo imeniacha hoi

- Hutokea siku nne kila baada ya siku 28
- Wanakuwa na tabia kama zile za wanawake
- Walioweka dayari miezi 4 wamejua ukweli.

=========

Tatizo huyo mwandishi kacopy utafiti halafu kachemka kutohoa neno sahihi la hiyo condition iwapatayo wanaume. Hedhi ni kwa wanawake ...

Ni kweli hilo tatizo huwatokea wanaume sio kama kwa siku za wanawake bali muda wowote na linaitwa "IRRITABLE MALE SYNDROME." Hii husababishwa na kushuka kwa homoni ya kiume inayoitwa "TESTOSTERONE." Homoni hii huwa inakua nyingi asubuhi na hupungua kadri siku inavyosogea. Au mtu akipata tatizo litakalopelekea kupungua kwa homoni hii, dalili hizo zitamtokea.

Hii huwafanya wanaume muda huo kuwa depressed, hypersensitive, hasira, mood change, anxious, stressed nk... Yote haya husababishwa na hii hormonal fluctuations. Kumbuka mwanaume pia ana kiwango kidogo cha oestrogen, homoni ya kike na wanawake wana kiwango kidogo pia cha androgens, male hormones. So, any imbalance katika ukuaji ndo husababisha baadhi ya wanawake kuwa na ndevu, misuli au kufanana na wanaume & kwa wanaume kuota matiti, sauti nyororo nk..

Kuna shule tamu hapa, ingieni google someni vitabu vya biochemstry kwa upande wa hormones mtapata maarifa kibao.

Hiyo ya hedhi ni upotoshaji, labda kama alitaka kuoanisha dalili tu.
0149242603ad3143d542000fc3235a8d.jpg
 
Ni wanaume au jike dume...
Gazeti litutake radhi wanaume wote duniani
 
Back
Top Bottom