Kumbe Wanaume mabikra miaka 34 bado wapo!!

Kumbe Wanaume mabikra miaka 34 bado wapo!!

Hahahahaha
Mungu anakuoooona wenzio wanatunza upako wa kutrmbea nap DunianI na siku ya Kunyakuliwa
Unajua haya mambo huendana na mahesabu, miaka 30 kijana wa kiume afunge ndoa, miaka 34 aanze kusomesha watoto. Sasa hata ndoa bado, na kumpata mwenza bado, ina maana hadi ampate, wawe na mda wa kuchunguzana, huyo ataoa akiwa na 36 tayari keshatupwa nje ya hesabu za umri, atasomesha watoto akiwa na 40 ndo vitoto vinaanza chekechea, hapo keshakuwa nje ya mahesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahivyo wanapatikana hukohuko Kibosho,Hakuna mahali pengine.



Halafu Money nikumbushe wale jamaa wakichaga mwaka juzi walijadiliwa sana kwa ulevi mpaka wakezao wakawa wanakwenda kugegedwa kwakuvuka boda LA Kenya mana kaka zako walizidisha ulevi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi ni mchagga tena wa kibosho lakini sipo ivoo, hii hali ni uzezeta tu na kukosa direction yaani 34 kudadeki.
 
Unajua haya mambo huendana na mahesabu, miaka 30 kijana wa kiume afunge ndoa, miaka 34 aanze kusomesha watoto. Sasa hata ndoa bado, na kumpata mwenza bado, ina maana hadi ampate, wawe na mda wa kuchunguzana, huyo ataoa akiwa na 36 tayari keshatupwa nje ya hesabu za umri, atasomesha watoto akiwa na 40 ndo vitoto vinaanza chekechea, hapo keshakuwa nje ya mahesabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Walokole wanasema kwa Mungu hakunaga kuwahi wala kuchelewa
Hata akioa miaka 60 hana neno
Duniani anapita mji wake Mbinguni

Sisi wenye dhambi ndio tunaukomboaga wakati Kwa kukimbizana na Muda
 
Mimi nimeacha, maana Mungu ni mwema

Kisa chakupigana nakugombaniana wadada!

Bora kuacha tu ili kuishi kwa amani some time it hurts a lot.
Aliekwambia Tz sio nchi ya Amani ni Nani?
 
Hakuna ukweli wowote,kama chizi (me) tu akivuliwa nguo na ke anajua pa kuchomeka na hakosei, itakuwaje mtu mwenye akili timamu awe bikra
 
Back
Top Bottom