Ha labda ana pata amani akikaa hivyoHajavunja ya Jamhuri Amevunja haki ya mwili wake
Tuwekee link tukujeHahahaha asante
Karibu kwenye website yangu huko utadata
Hongera buan
Kwani uliambiwa Tz ni nchi isio ya Amani?Ha labda ana pata amani akikaa hivyo
Njoo PM nitakupatiaTuwekee link tukuje
Acha kumsingizia MunguBora amwamini yesu tu atampa mke bora, wanaume tukikaa kuwaendeleza nyi msiomjua Mungu hatutakuwa na hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hujapenda haya maneno, ila wanaume wengi sana wameanguka kimaisha kwa kuwaendekeza nyinyi, na wengine wamezitekeleza familia zao. MKE MWEMA ATOKA KWA MUNGUAcha kumsingizia Mungu
Hela unatafuta mwenyewe si kakupa akili?
Sijakataa kuwa Mume mwema anatoka Kwa MunguNajua hujapenda haya maneno, ila wanaume wengi sana wameanguka kimaisha kwa kuwaendekeza nyinyi, na wengine wamezitekeleza familia zao. MKE MWEMA ATOKA KWA MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mlokole anamaanisha kuwa wakati mwafaka haujafika kwa yeye kuoa au hata umefika basi bado nafsi haijamwonyesha aliyechaguliwa yeye. Shida ya hawa ndugu zetu walokole wanategemea miujiza sana ambayo mingine hata hawajielewi. Ila yeye kama yeye ni kuwa alijituliza toka mwanzo kwa kuwa anaamini kuanza mambo hayo kabla ya ndoa ni kuzini (dhambi).Sijakataa kuwa Mume mwema anatoka Kwa Mungu
Kwahiyo unamsaidiaje Mtumishi hapa kwenye Uzi tukikuuliza
Maana wanaume wote wakiacha michepuko wakaja Kwa Yesu kutunza Mboo dunia itakuwaje?
Mtafutie demuMjitahidi kumtoa hiyo bikra
HahahahahaHuyo mlokole anamaanisha kuwa wakati mwafaka haujafika kwa yeye kuoa au hata umefika basi bado nafsi haijamwonyesha aliyechaguliwa yeye. Shida ya hawa ndugu zetu walokole wanategemea miujiza sana ambayo mingine hata hawajielewi. Ila yeye kama yeye ni kuwa alijituliza toka mwanzo kwa kuwa anaamini kuanza mambo hayo kabla ya ndoa ni kuzini (dhambi).
Cha kumsaidia ni kumuelimisha kuwa kwa umri wake atafute mdada mwenye sifa anazozitaka aoe sio hadi asubiri ndoto za Bwana Yesu huko ni kumjalibu Mola. Umri umeenda sana na shida ya walokole ukizidi ulokole wanakuwaga kama wamechanganyikiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Afande mgawe kwa mheshimiwa Kama hujapenda neno alilotumiaDuu hyo lugha uliyotumia hapo ukiunganisha na hyo avatar yko unatuletea mtanziko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo
Binamu mmoja ajitolee aseeehMtafutie demu