UNSPECIFIED
JF-Expert Member
- Sep 13, 2017
- 1,146
- 3,814
Hadi report ya hiyo tume wanayo.
Mbwa kala mbwa.
Mbwa kala mbwa.
Dah hii ID? 😂😂😂😂Aya Makuuuma sikuzote Yanaleta matatizo afu yanajifanya kama yanatatua
Aya maridhiano yangefaulu kama hii movement ingukuwa ni ya kichama fulani, au kuna viongozi wa Gen Z ambao ndo wanaaminika na ndo walikuwa waandaaji wa aya yote.Sasa ni wazi hakuna kinachofanyika kwa bahati mbaya ama kujua matokeo
Tuliambiwa na redio mbao kabla ya uchafuzi kwamba ushindi utakuwa asilimia 97+ tukadhani fix.. Kwa mshangao wa kushangaza ikawa kama ilivyosemwa
Kabla Pole pole hajapotea alisema timu ya maridhiano na wakuridhiana walishapangwa
Mwisho wa wiki hii ndani ya bunge la mchongo tukaambiwa maridhiano yanakuja.. Kelele zikawa nyingi sana mitandaoni.. Lakini trust me hakuna Kitakachobadilika.. Wanasema ni kelele za chura haziwezi kumzuia tembo kunywa maji
Tuwe tayari kuwashangaa watakaojifanya kushangaa kuchaguliwa kwenye timu ya kuridhiana...!
Wiki ijayo itawashangaza wengi..
these fools are so dumb📌🔨💪🏿Aya maridhiano yangefaulu kama hii movement ingukuwa ni ya kichama fulani, au kuna viongozi wa Gen Z ambao ndo wanaaminika na ndo walikuwa waandaaji wa aya yote.
Hichi kinachotokea hakina kiongozi, ni matakwa ya watanzania waliowengi…njia ya kuridhiana ni kuyatatua yale wananchi wanayataka ikiwemo muuaji Samia kutoka madarakani…mbali na hili hakuna litakalo badilika..hii ni tofauti ya kilichotokea zanzibar kipindi kile maana kule kilikuwa ni chama ila uku ni wananchi….these fools are so dumb
Aya maridhiano yangefaulu kama hii movement ingukuwa ni ya kichama fulani, au kuna viongozi wa Gen Z ambao ndo wanaaminika na ndo walikuwa waandaaji wa aya yote.
Hichi kinachotokea hakina kiongozi, ni matakwa ya watanzania waliowengi…njia ya kuridhiana ni kuyatatua yale wananchi wanayataka ikiwemo muuaji Samia kutoka madarakani…mbali na hili hakuna litakalo badilika..hii ni tofauti ya kilichotokea zanzibar kipindi kile maana kule kilikuwa ni chama ila uku ni wananchi….these fools are so dumb
Umeona video ya Mch. Malisa ya leo? Bado upo na huo msimamo wako?Nafikiri yule Mchungaji Malisa wa ccm aliyeenda kuishtaki ccm na hakutekwa alipangwa, hata huyu Jamaa wa ACT aliyekuwa anagombea u rais ka kesi kibao, zote hizi ni projects!
Shoo si alikata kamba ?Naskia askofu Mwamamkula naye kashapangwa. Shoo anafahamika. Ni Bagonza tu wameshindwa
Umeona video ya Mch. Malisa ya leo? Bado upo na huo msimamo wako?
Amedukua vitu sensitive sanaSi ajabu sisi wana CCM tunaitwa "primitive". GEN Z wanaingia kwenye mitandao ya JWTZ na kufyonza taarifa nyeti.
Leo yule wanayemuita Rais wao wa GEN Z, Abil au Habil,ameingia kwenye mfumo wa vyombo vya ulinzi likiwemo JWTZ.
Ni hatari mno.