This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Kwa akili hizi kila kitu kitakufa na kutoa majibu mepesi km haya
Kwa akili hizi kila kitu kitakufa na kutoa majibu mepesi km haya
Tusha nunua vyerahani 4 tayari tuna viwandakwa hiyo tukusaidiaje wakati wenye viwanda hawataki kusema kama vimekufa
Arusha leo nimenunua Moshi Cement kwa 14,000 tu.hapo hata mi sijajua,huku mbeya si tunatumia Songwe cement-tembo,now bei yake ni 16000 !
Huo msemo ulitumika sana mwanzoni wakati jiwe anaingia kwa kuwa aminisha wananchi kuwa wale waliokuwa wanatumbuliwa ndio ilikuwa chanzo cha hali ngumu kwa masikini kwani waliiba sana pesa!!akatumbua wote lakini hali ndio ikazidi kuwa mbaya zaidi kwa walalahoi!!heee kumbe wakaona hizi ni siasa tu kwa sasa wameshajua kuwa adui yao mkubwa ni MIPANGO YA KUKURUPUKA KILA LEO!!inayofanywa bila kuzingatia bajeti iliyopitishwa!!!
Bunju ipi mkuu. Sokoni? Duka linaitwaje? Naihitaji sana na nipo bunju A. Nielekeze nije.Fika bunju punguza maneno mengi!
Nipo hapa bunju cement ya Twiga ipo kibao bei sh 13,000//= acha urongo wewe!
Kwahiyo watu wote waje Bunju?kati ya wewe na Mwijage tumuamini nani ?
Aisee..you have sum up everythingViache Vife tu, mbona kila Kitu Tanzania kwasasa ni Mfu! Na ndiyo maana hata mwenyewe anajiita Jiwe, Jiwe halina Uhai. Na amejiita hivyo baada ya Kuuwa Kila Kitu na nayeye akaona atabaki milele hata kama hana Uhai, hivyo ni Stoney!
Mkuu wewe ndio Ramadhan Igondhu aliyetajwa kwenye sakata la Dr Ulimboka ?Kwahiyo watu wote waje Bunju?
Hebu tupe hizo detail za soko la hisa zinavo relate na bei ya cement we mat*koMtoa mada umekurupuka big time sijaona fact umeweka jamvini kuthibitisha andiko lako. Rejea rekodi za DSE uzielewe kisha ndo upost
Kwanini Simba-Tanga na Tembo-Mbeya havitajwi kwenye hili sakata? Ni kwamba vimekufa au ndio vinazalisha vizuri bila shida yoyote?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha,
Bunju ya wapi..burundi?Nipo hapa bunju cement ya Twiga ipo kibao bei sh 13,000//= acha urongo wewe!
Mimi niko bunju bei sio 13,mzee babaWewe uko soko matola mimi nakupa taarifa za bunju Dsm cement ipo kibao!
Appreciated Mkuu.Aisee..you have sum up everything
Kuwepo Kwa cement siyokuwa kiwanda kinazalisha unayoiona ni ya kutoka store hata juzi juzi tairi za general tyre zilikuwepo lakini kiwanda nilikuwa kimefungwa zaidi ya miaka 20