Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Mbwiga usikariri cement iko kibao labda huko kijijini kwenu imechelewa kufika!
Mbwiga usikariri cement iko kibao labda huko kijijini kwenu imechelewa kufika!
Wacha vife sisi tayari tusha zoea kuishi kwenye nyumba za tembeNiwaombe waandishi wa habari watembelee viwanda vya cement nchini kuona Kama vipo hai au vimekufa then watuhabarishe.
Ushahidi uliopo ni kwamba viwanda vimefungwa kwa kufilisika na Sasa vinajaribu kukusanya fedha vianze uzalishaji upya.....tusitegemee Bei kushuka na hii inatokea kutokana na madeni makubwa waliyokuwa nayo na ambayo serikali ilielekeza yalipwe kwa kipindi flani hivyo bado wanalipa madeni ya serikali....nadhani serikali inalojukumu la kusaidia viwanda vifufuke upya
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo tukusaidiaje wakati wenye viwanda hawataki kusema kama vimekufaNiwaombe waandishi wa habari watembelee viwanda vya cement nchini kuona Kama vipo hai au vimekufa then watuhabarishe.
Ushahidi uliopo ni kwamba viwanda vimefungwa kwa kufilisika na Sasa vinajaribu kukusanya fedha vianze uzalishaji upya.....tusitegemee Bei kushuka na hii inatokea kutokana na madeni makubwa waliyokuwa nayo na ambayo serikali ilielekeza yalipwe kwa kipindi flani hivyo bado wanalipa madeni ya serikali....nadhani serikali inalojukumu la kusaidia viwanda vifufuke upya
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuuViache Vife tu, mbona kila Kitu Tanzania kwasasa ni Mfu! Na ndiyo maana hata mwenyewe anajiita Jiwe, Jiwe halina Uhai. Na amejiita hivyo baada ya Kuuwa Kila Kitu na nayeye akaona atabaki milele hata kama hana Uhai, hivyo ni Stoney!
Ukiwa na vyerahani 4 au welding machine moja hicho ni kiwandaWahame waende kwenye nchi zenye sera imara kwenye biashara...
Umeiba wewe maana tabia zako tunazoNipo hapa bunju cement ya Twiga ipo kibao bei sh 13,000//= acha urongo wewe!
Afadhali mwijage alishasema kabisa kuwa elimu yake ni ya kuunga unga kwa gesikati ya wewe na Mwijage tumuamini nani ?
Akikujibu atakuwa si mwanaccm.sidhaninkama.ana hata kiwanja au hata msingi aliojenga kwa pesa yake mwenyewe huyo Gamba.Usilete siasa na Suala la Ujenzi
Maana ni watanzania wengi wameajiliwa na kujiajiri kupitia ujenzi
Mim nataka mifuko 120
Kwa bei hiyo Cement ya Twiga +
Na nimemaliza kazi juzi juzi tu
Mapinga Bagamoyo
So bei hiyo imeanza lini?
Namba yngu ni 0652 881 000
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu wacha kujisumbua na hicho kisimbusi cha ccmUsilete siasa na Suala la Ujenzi
Maana ni watanzania wengi wameajiliwa na kujiajiri kupitia ujenzi
Mim nataka mifuko 120
Kwa bei hiyo Cement ya Twiga +
Na nimemaliza kazi juzi juzi tu
Mapinga Bagamoyo
So bei hiyo imeanza lini?
Namba yngu ni 0652 881 000
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapige deki vyooWewe uko soko matola mimi nakupa taarifa za bunju Dsm cement ipo kibao!
Mkuu achana na huyo kula.kulala bure( KKB).
Mkuu unajisumbua tu kwa huyo kipeperushi cha chakubangaNiunganishe na muuzaji anileyee hapa Goba
Namba ipo hapo juu.
Usafiri juu yngu.
Au toa namba nikupigie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni kipeperushi cha chakubangaMbwiga usikariri cement iko kibao labda huko kijijini kwenu imechelewa kufika!
Jamaa kaufyata mkiaNiunganishe na muuzaji anileyee hapa Goba
Namba ipo hapo juu.
Usafiri juu yngu.
Au toa namba nikupigie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yawezekana anatoa taarifa za nyuma hana update.Nipo hapa bunju cement ya Twiga ipo kibao bei sh 13,000//= acha urongo wewe!
tazama ili fukara lisilojua hata bei ya cement, me najenga hapo bunju B kabla ya kuvuka daraja, nimenunua cement Tsh.16000 mfuko ,jana iyoNipo hapa bunju cement ya Twiga ipo kibao bei sh 13,000//= acha urongo wewe!
Huyo anatafuta teuzi jamanitazama ili fukara lisilojua hata bei ya cement, me najenga hapo bunju B kabla ya kuvuka daraja, nimenunua cement Tsh.16000 mfuko ,jana iyo