rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kamanda wa vijana mkoani Iringa Salim "Sas" Abri mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli mjini Iringa.
Sipendi kuongea mambo mengi lakini najua wanasubiri wakati wao nawe wawe wabunge na mawaziri!!safi sana Iringa!Kuna jamaa alitoa post yake anasema viongozi karibu wote wa ccm Iringa ni waarabu,mbona hawajiungi chadema???????????