Kumbe viongozi wa CCM Iringa ni Waarabu?

Status
Not open for further replies.

rosemarie

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
6,887
3,412
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kamanda wa vijana mkoani Iringa Salim "Sas" Abri mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli mjini Iringa.

Sipendi kuongea mambo mengi lakini najua wanasubiri wakati wao nawe wawe wabunge na mawaziri!!safi sana Iringa!Kuna jamaa alitoa post yake anasema viongozi karibu wote wa ccm Iringa ni waarabu,mbona hawajiungi chadema???????????​
 
Wee jamaa wa ajabu kabisa, mbona hujasema kuhusu Morogoro, Singida Dodoma na kwingineko ambako wabunge wao ni waarabu, halafu unaongelea habari za kiongozi wa vijana wa CCM mkoa wa Iringa kuwa Mwarabu? Rostam si alikuwa mhasibu wa CCM kitaifa? Mbona hukuhoji hilo? Anzisheni thread zenye mshiko bwana.
 
Nanavyojua mimi viongozi wa CCM kwenye ngazi zote ni Mwenyekiti, Katibu, Katibu Mwenezi, katibu wa Uchumi. Hao makamanda si sehemu ya viongozi wa CCM. I stand to be corrected!! Halafu pia waarabu wana tatizo gani kuwa viongozi kwenye nchi hii mradi tu ni Raia halali wa Tanzania?
 
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Kamanda wa vijana mkoani Iringa Salim "Sas" Abri mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Nduli mjini Iringa.

Sipendi kuongea mambo mengi lakini najua wanasubiri wakati wao nawe wawe wabunge na mawaziri!!safi sana Iringa!Kuna jamaa alitoa post yake anasema viongozi karibu wote wa ccm Iringa ni waarabu,mbona hawajiungi chadema???????????​

Ukabila umekuota hadi kwenye kope za macho wewe unatokea hai nini?
 
Waarabu Watanzania? au Watanzania Waarabu? hivi waarabu ni watu wa wapi?
 
Nanavyojua mimi viongozi wa CCM kwenye ngazi zote ni Mwenyekiti, Katibu, Katibu Mwenezi, katibu wa Uchumi. Hao makamanda si sehemu ya viongozi wa CCM. I stand to be corrected!! Halafu pia waarabu wana tatizo gani kuwa viongozi kwenye nchi hii mradi tu ni Raia halali wa Tanzania?

Big Up. Msingi aliotujengea baba wa Taifa ni kupinga kwa nguvu, akili uwezo wetu wote ukabila, udini. haya mambo ya uhai-hai, uiraq iraq , umajimbo jimbo, ushoga shoga Mungu atuepushe nao ni hatari kwa amani ya nchi.

"TUNA IMAANI NA KIKWETE OYEE OYEE OYEEE"
 
Siku amani ikitoweka ndio mtatambua kuwa Waarabu, Wahindi, Wasomali hawakuwa Watanzania. Na itakuwa too late! Pole Tanzania kwa Ujinga wa watu wako!
 
Ukisika mashudu sasa ndo haya huyu jamaa katuletea.Kama raia wa tanzania wana haki kama wewe acheni ubaguzi usiokuwa na maana.Mkikosa cha kupost kaa kimya
 
Wanaitwa Watanzania wenye asili ya huko uliko taja. So Waarabu kwa sababu Waarabu wanaishi huko Magreb.
 
Mmmh, hilo la waarabu au la mimi silijui.

Lakini ninamjua huyu Salim Abri, binafsi siwezi hata kumwita ni mtanzania kwa tabia zake na moyo wake mwema kwa watu wanaomzunguka, achilia mbali kumwita mwarabu. Ana roho ya Malaika kwa kweli kuliko sisi wenye ngozi nyeusi tusiopenda kusaidiana na kutwa kushinda kuwasema wengine. sio tu kiwanda chake cha maziwa na ASAS kimewasaidia wana iringa wengi, ila amewasaidia watoto wengi sana wa Iringa katika suala la elimu, naamini hata ukimuuliza idadi hawezi kukumbuka kwa kuwasomesha katika elimu level mbalimbali zaidi ikiwemo elimu ya sekondari.

I have two friends of mine ambao walishindwa kumaliziaa sekondari those years 2004/05, wakawa wanashinda vijiweni tu, lakini ktk chat-chat online walibahatika kuwasiliana na baba huyu, ambaye aliwasomesha hadi walipomaliza chuo, na msaada huu ameutoa bila hata kuonana na hao vijana wala hawajui, leo hii ni watu wana kazi za maana tu, wanaozisaidia familia zao. Hebu weweunayemuita huyu Baba muarabu niambie, umemsaidia nani ambaye leo hii akifika Mbinguni atasema, nimefika hapa kwa kuwa ulimsaidia

kama ni fisadi, au mwarabu hilo mimi sijui, lakini huyu baba, ni karibu na malaika, ambaye anajitolea kwa jamii yake. Mungu ampe maisha marefu sana hapa duniani.
 
Siku amani ikitoweka ndio mtatambua kuwa Waarabu, Wahindi, Wasomali hawakuwa Watanzania. Na itakuwa too late! Pole Tanzania kwa Ujinga wa watu wako!

mi siku zote huwa nasema hawa jamaa siyo wenzetu kabisa! Nimesoma muhimbili na wahindi,walikuwa wabaguzi kama nini,huwa wanajipendekeza sehemu wanapoona yuko mmoja na hana alternative. Ni bora kuitwa mbaguzi lakini siyo kuachia uchumi wetu kwa hawa majambazi wanaofanya kazi ya kutuuzia unga ili tuzidi kudidimia. Wameua reli zetu ili magari yao yawe yanasafirisha mizigo wamesahau strength ya barabara ina limitation ya mzigo. Ndo maana barabara zinajengwa baada ya wiki chache kunakuwa na matuta kama ya numbu.
 
Mmmh, hilo la waarabu au la mimi silijui.

Lakini ninamjua huyu Salim Abri, binafsi siwezi hata kumwita ni mtanzania kwa tabia zake na moyo wake mwema kwa watu wanaomzunguka, achilia mbali kumwita mwarabu. Ana roho ya Malaika kwa kweli kuliko sisi wenye ngozi nyeusi tusiopenda kusaidiana na kutwa kushinda kuwasema wengine. sio tu kiwanda chake cha maziwa na ASAS kimewasaidia wana iringa wengi, ila amewasaidia watoto wengi sana wa Iringa katika suala la elimu, naamini hata ukimuuliza idadi hawezi kukumbuka kwa kuwasomesha katika elimu level mbalimbali zaidi ikiwemo elimu ya sekondari.

I have two friends of mine ambao walishindwa kumaliziaa sekondari those years 2004/05, wakawa wanashinda vijiweni tu, lakini ktk chat-chat online walibahatika kuwasiliana na baba huyu, ambaye aliwasomesha hadi walipomaliza chuo, na msaada huu ameutoa bila hata kuonana na hao vijana wala hawajui, leo hii ni watu wana kazi za maana tu, wanaozisaidia familia zao. Hebu weweunayemuita huyu Baba muarabu niambie, umemsaidia nani ambaye leo hii akifika Mbinguni atasema, nimefika hapa kwa kuwa ulimsaidia

kama ni fisadi, au mwarabu hilo mimi sijui, lakini huyu baba, ni karibu na malaika, ambaye anajitolea kwa jamii yake. Mungu ampe maisha marefu sana hapa duniani.

safi sana ... pongezi zake salim
 
Ubaguzi wa rangi sio hulka ya watanzania nikipitiaa hii thread naona sehemu kubwa wana laani ubaguzi ,lakini katika jamii yeyote duniani huwezi kukosa watu wenye hulka za director1 ukienda ,marekani weupe wanabagua weusi,afrika kusini nk nk,kikubwa watu wana ishi kwa amani na utulivu hicho ndicho kikubwa ,na mara nyingi huletwa na chuki ,roho mbaya ya mtu hupelekea kuwa na hulka za kibaguzi ,

jaribuni kuchunguza watu wema wenye roho za utu mara chache sana kuwa na lugha za kibaguzi,ukikuta mtu ana lugha za kibaguzi utakuta ana wivu,chuki husda nk.
 
Mmmh, hilo la waarabu au la mimi silijui.

Lakini ninamjua huyu Salim Abri, binafsi siwezi hata kumwita ni mtanzania kwa tabia zake na moyo wake mwema kwa watu wanaomzunguka, achilia mbali kumwita mwarabu. Ana roho ya Malaika kwa kweli kuliko sisi wenye ngozi nyeusi tusiopenda kusaidiana na kutwa kushinda kuwasema wengine. sio tu kiwanda chake cha maziwa na ASAS kimewasaidia wana iringa wengi, ila amewasaidia watoto wengi sana wa Iringa katika suala la elimu, naamini hata ukimuuliza idadi hawezi kukumbuka kwa kuwasomesha katika elimu level mbalimbali zaidi ikiwemo elimu ya sekondari.

I have two friends of mine ambao walishindwa kumaliziaa sekondari those years 2004/05, wakawa wanashinda vijiweni tu, lakini ktk chat-chat online walibahatika kuwasiliana na baba huyu, ambaye aliwasomesha hadi walipomaliza chuo, na msaada huu ameutoa bila hata kuonana na hao vijana wala hawajui, leo hii ni watu wana kazi za maana tu, wanaozisaidia familia zao. Hebu weweunayemuita huyu Baba muarabu niambie, umemsaidia nani ambaye leo hii akifika Mbinguni atasema, nimefika hapa kwa kuwa ulimsaidia

kama ni fisadi, au mwarabu hilo mimi sijui, lakini huyu baba, ni karibu na malaika, ambaye anajitolea kwa jamii yake. Mungu ampe maisha marefu sana hapa duniani.

moyo wa malaika mwarabu??mkuu fikiria mara mbili!!angalia walichomfanya gaddafi kumlawiti kwa kutumia majiti kweli??kama ana moyo wa malaika atakuwa anajipendekeza tu kwa sababu maalam!!sina undugu na mwarabu hata chembe
 
Mmmh, hilo la waarabu au la mimi silijui.

Lakini ninamjua huyu Salim Abri, binafsi siwezi hata kumwita ni mtanzania kwa tabia zake na moyo wake mwema kwa watu wanaomzunguka, achilia mbali kumwita mwarabu. Ana roho ya Malaika kwa kweli kuliko sisi wenye ngozi nyeusi tusiopenda kusaidiana na kutwa kushinda kuwasema wengine. sio tu kiwanda chake cha maziwa na ASAS kimewasaidia wana iringa wengi, ila amewasaidia watoto wengi sana wa Iringa katika suala la elimu, naamini hata ukimuuliza idadi hawezi kukumbuka kwa kuwasomesha katika elimu level mbalimbali zaidi ikiwemo elimu ya sekondari.

I have two friends of mine ambao walishindwa kumaliziaa sekondari those years 2004/05, wakawa wanashinda vijiweni tu, lakini ktk chat-chat online walibahatika kuwasiliana na baba huyu, ambaye aliwasomesha hadi walipomaliza chuo, na msaada huu ameutoa bila hata kuonana na hao vijana wala hawajui, leo hii ni watu wana kazi za maana tu, wanaozisaidia familia zao. Hebu weweunayemuita huyu Baba muarabu niambie, umemsaidia nani ambaye leo hii akifika Mbinguni atasema, nimefika hapa kwa kuwa ulimsaidia

kama ni fisadi, au mwarabu hilo mimi sijui, lakini huyu baba, ni karibu na malaika, ambaye anajitolea kwa jamii yake. Mungu ampe maisha marefu sana hapa duniani.

Utamaduni,

Naungana na wewe. Salim ninayemjua mimi ni mtu mwuungwana sana. Ni mwenye uvumilivu pia wa kisiasa. Hutokea, ninapoandika makala inayokishambulia chama chake akanipigia simu; " Kaka leo umetugonga sana, lakini tunajifunza!"
Ndio, kwa Salim mnaweza kutofautiana kwa hoja, lakini, hawezi kukuchukia kwa sababu hiyo. Nitazidi kumtetea.
Maggid,
Iringa.
Mjengwa Blog::Habari,Picha,Matangazo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom