Tanzaniaist
Senior Member
- Nov 29, 2011
- 161
- 156
Tanzania ni kati ya nchi Afrika zinazoheshimika, kwa kutoa fursa sawa kwa wote katika jamii kuanzia wanawake,walemavu na watu mbali mbali katika suala zima la uongozi serikalini...!
Mfano.Ashymaar kweygir wanawakilisha kundi la albino
Kapteni komba anawakilisha wasanii,
Sasa naona kuna kundi jingine ambalo limepata mtetezi wao bungeni..,ambalo ni kundi la vichaa na waendawazimu wale ambao tunawajua..bali si mwingine ni LIVINGSTONE LUSINDE huyu anawakilisha vichaa na waendawazimu wote Tanzania wale waotembea uchi barabarani, au kuokota makopo..,
Sasa ni muda Mh.LIVINGSTONE LUSINDE kutetea wenzako kuhusu matatizo yanayowakumba vichaa barabarani kama kupigwa na kutukanwa ,vile vile kuboreshwa kwa hile hospitali yenu ya mirembe...!
Mfano.Ashymaar kweygir wanawakilisha kundi la albino
Kapteni komba anawakilisha wasanii,
Sasa naona kuna kundi jingine ambalo limepata mtetezi wao bungeni..,ambalo ni kundi la vichaa na waendawazimu wale ambao tunawajua..bali si mwingine ni LIVINGSTONE LUSINDE huyu anawakilisha vichaa na waendawazimu wote Tanzania wale waotembea uchi barabarani, au kuokota makopo..,
Sasa ni muda Mh.LIVINGSTONE LUSINDE kutetea wenzako kuhusu matatizo yanayowakumba vichaa barabarani kama kupigwa na kutukanwa ,vile vile kuboreshwa kwa hile hospitali yenu ya mirembe...!