Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,330
kiswahili kinatohoa baadhi ya Maneno kutoka katika lugha za asili kikiwemo na kinyakyusa, kisukuma, kizaramo n.k, ama niseme kibantu. pia baadhi ya Maneno ya kiasia kama kiarabu, kuhindi n.k, kwahiyo tunaposema mbatata ni viazi vitamu, hili neno asili yake unyakyusani Mbeya. na viazi mviringo(vya chipsi) wao uita indofyania. Wasafya wao viazi mviringo ama viazi ulaya uita indokani. kwahiyo usibishe unapofahamishwa.
Kaka nilipobisha ni wapi? Hiyo msg yangu inaonyesha kubisha au kuelewa tofauti zetu?, sio kila mtu ni Mnyakyusa kaka, mimi nilichokuwa nasimamia ni Kiswahili ninachokijua kuliko hicho Kinyakyusa
Kama Kinyakyusa Mbatata ni sweet Potatoes ni sawa tu, ila ukoenda sokoni kwa Dar na kuuliza Mbatata watakupa viazi ulaya (Mviringo)