Kumbe usiku kuna mambo

Kumbe usiku kuna mambo

Kwa nini haya mambo ni africa na bongo tuu??? Ulaya hamna hivi vitu hata utembee usiku mnono sana sana utakutana na walevi wenzako na polisi tu..kazi kweli kweli.
 
Ni juzi tu baada ya kutoka kwenye mihangaiko ya kutafuta riziki,muda wa sita kasoro hivi usiku naelekea nyumbani,nyumba kama ya nne hivi kabla sijafika kwangu nikaona watu wamelala nje kuanzia kibarazani hadi karibu na barabara,na maturubai yamefungwa,kama vile pana msiba,wengine wamewasha moto wanapika.

Nami nikahisi pana msiba,nikaendelea na safari yangu hadi nyumbani na kumuuliza wife kama hapo jirani pana nini,akasema hajasikia na wala hajui chochote.basi tukalala hadi asubuhi,kulipokucha nikakatiza mitaa ile ili kujua kuwa jana kulikuwa na nini,maajabu nikakuta pako shwari kabisa,hakuna dalili ya turubai wala moto,nikajaribu kuuliza watu wawili watatu wakasema hawajui chochote,nikabaki hoi....kweli usiku ni usiku.
Mkuu nakuamini hivyo vitu viko.
Kawaida ukivisema hadharani lazima uletewe kejeli. kama ulevi Na uvutaji wa majani.
Kila siku najiuliza zile sinema zinazo toka Ughaibuni kuhusu uchawi Au majini wamezibuni au walisikiliza maoni kama yako?
Hivi vitu naamini viko Na sio kila mtu anaouwezo wa kuviona.
 
kuna Makosa umefanya ungeenda kutoa kampani kwa hao watu kuwasaidia na kupumzika hapo mahali kupata taarifa zaidi yanayojiri huo muda.
 
Bora ata ulihsi ni msiba ukapta ungejua ni majin usingepta wala ucngelala kwa raha
 
Ni juzi tu baada ya kutoka kwenye mihangaiko ya kutafuta riziki,muda wa sita kasoro hivi usiku naelekea nyumbani,nyumba kama ya nne hivi kabla sijafika kwangu nikaona watu wamelala nje kuanzia kibarazani hadi karibu na barabara,na maturubai yamefungwa,kama vile pana msiba,wengine wamewasha moto wanapika.

Nami nikahisi pana msiba,nikaendelea na safari yangu hadi nyumbani na kumuuliza wife kama hapo jirani pana nini,akasema hajasikia na wala hajui chochote.basi tukalala hadi asubuhi,kulipokucha nikakatiza mitaa ile ili kujua kuwa jana kulikuwa na nini,maajabu nikakuta pako shwari kabisa,hakuna dalili ya turubai wala moto,nikajaribu kuuliza watu wawili watatu wakasema hawajui chochote,nikabaki hoi....kweli usiku ni usiku.
Hiyo ndio raha ya Konyagi ya Ukwaju 😀
Kuna Jamaa hapa kitaa tumlikuta anaogelea kwenye dimbwi akidhani Swimming pool
 
Ni juzi tu baada ya kutoka kwenye mihangaiko ya kutafuta riziki,muda wa sita kasoro hivi usiku naelekea nyumbani,nyumba kama ya nne hivi kabla sijafika kwangu nikaona watu wamelala nje kuanzia kibarazani hadi karibu na barabara,na maturubai yamefungwa,kama vile pana msiba,wengine wamewasha moto wanapika.

Nami nikahisi pana msiba,nikaendelea na safari yangu hadi nyumbani na kumuuliza wife kama hapo jirani pana nini,akasema hajasikia na wala hajui chochote.basi tukalala hadi asubuhi,kulipokucha nikakatiza mitaa ile ili kujua kuwa jana kulikuwa na nini,maajabu nikakuta pako shwari kabisa,hakuna dalili ya turubai wala moto,nikajaribu kuuliza watu wawili watatu wakasema hawajui chochote,nikabaki hoi....kweli usiku ni usiku.


Mkuu una undugu na Mh. MziziMkavu, mshana jr? Naona wote mmechanjia kuona wachawi usiku.
 
You were/are suffering from temporary drug induce psychosis crisis or psychedelic psychotic kind of hallucinations.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom