Alwatan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 409
- 129
Well:
Ni kweli Riz1 anapokuwa kwenye vikao anapendelea kutumia neno "zamu yetu"!
Ni kweli Jakaya katika hotuba zake mara zote umwita Baba wa Taifa kuwa "Mzee Nyerere"
Ni kweli kwamba Kamati Kuu ina Waislamu 18 na Wakristo 16
Ni kweli kwamba ....
Plain stupid!,..mlitakaje na muungano ni wa ASP na CCM?... ASP 100% waislam na CCM kuna waislam ambao si chini ya 50%... sasa ulitakaje? Bara kusiwe na uwakilishi wa waislamu kabisa au?