chunga sana kinywa chako huyu ni rais wetu uwe na lugha ya staha utaishia segerea. Muda wa kampeni umeshaisha ni wakati wa kazi na wala si muda wa kubeza. Chunga sana nakuonya tu. Tumia lugha ya staha kumzungumzia rais wako.
Yani sisi watanzania sijui tunataka nini!!!!
Ilo jembe kwenye kampeni zake alitoa ahad za ku support na kuinua michezo (sanaa).
chunga sana kinywa chako huyu ni rais wetu uwe na lugha ya staha utaishia segerea. Muda wa kampeni umeshaisha ni wakati wa kazi na wala si muda wa kubeza. Chunga sana nakuonya tu. Tumia lugha ya staha kumzungumzia rais wako.
Sijui kwa Kikwete msoga hakukaliki!
chunga sana kinywa chako huyu ni rais wetu uwe na lugha ya staha utaishia segerea. Muda wa kampeni umeshaisha ni wakati wa kazi na wala si muda wa kubeza. Chunga sana nakuonya tu. Tumia lugha ya staha kumzungumzia rais wako.
chunga sana kinywa chako huyu ni rais wetu uwe na lugha ya staha utaishia segerea. Muda wa kampeni umeshaisha ni wakati wa kazi na wala si muda wa kubeza. Chunga sana nakuonya tu. Tumia lugha ya staha kumzungumzia rais wako.
Huko uwanjani lazima atimuliwe mtu.Kocha akae akijua.
Acha vitisho ww wapi ametaja jina la mtu nyie ndio wale mnaojipendekeza jinga kabisaa
Yani wewe sijui unaishi Tanzania gani!!
Hivi hauoni kwenda kwa magufuli Muhimbili kumeokoa maisha ya wengi!!
Kwa kuagiza zile mashine zipone na imepona bdo CT scan ndio imebainika tatizo na linatafutiwa solution na philips.
Na pia imeingeza umakini kwa madaktari na Wauguzi kwa ujumla.
Kufika kwake uwanjani ndio kutamfanya kuzijua na kuziona changamoto za mchezo wa mpira wa miguu.
Kisha atapata fursa ya kujadili na viongozi wa shirikisho la soka kwa kujadili changamoto hizo na kutafuta ufumbuzi wake.
Hiyo na awali tu, Dr.JPM ni jembe kama ulivyo sema utaiona kazi yake.
Wewe ndo bozongwa kabisa,ni kweli aache na wewe pia uache kutoa lugha zisizofaa vinginevyo....!!! Usije kumlaumu mtu. Mnajifanya majasiri kweli mkiwa kwenye keyboards wakati kwenye hali halisi ni mbwa koko tu
Hakuna kitu pale! Remote control ni Msoga estate!
chunga sana kinywa chako huyu ni rais wetu uwe na lugha ya staha utaishia segerea. Muda wa kampeni umeshaisha ni wakati wa kazi na wala si muda wa kubeza. Chunga sana nakuonya tu. Tumia lugha ya staha kumzungumzia rais wako.
Sio siri kuwa mzalendo ni kitu kizuri, ila lazima kuwe na vipaumbele katika uzalendo. Si busara kua mzalendo katika kila kitu eti kwakua kimefanywa na wazawa.!
Katika uchumi kuna kitu kinaitwa "Scale of Preference" na kingine "Opportunity Cost".
Sidhani kama mapema hii Jembe lingepelekwa uwanjani kushangilia mpira na wakati sehemu kibao nchini bado hazijalimwa. Mstaafu angeenda uwanjani pekeake bila kubebelea jembe letu.
Jamani jamani ninasisitiza bado mapema!
Limelima Dar kidogo sana, Mikoani na Visiwani nako kuna magugu jamani!
Lingelima kwanza afu wakati wa kusubilia mavuno ndo wangeenda nalo viwanja.
Mdogo mdogo Tingatinga lishaanza kutolewa kwenye malengo, kesho kutwa utasikia limesepa mambele kufanyiwa service.
Mkuu nasikia na mzaramo yupo nae, dah hata hamwachii kamkaba kooBora liende tu uwanjani maana akienda Mzaramo lazima Taifa Stars walalwe