J-7 ama NATO nicknamed it ,'FISHBED'.hii kitu model gan??
![]()
hiyo ni SA-6,ni airdefence system .wataalamu hebu tufafanulieni kuhusu hizo kombora
![]()
Tanzania if it was not due to corruption could have bought the best arsenal and build a small but strong effective state of the art defence force.
Hivi na nyie mfahamishwe kama watoto wadogo,ile sio vita yale ni maonyesho ya kawaida tu sehem ya burudani.
Kwa wale tuliodudhuria maonyesho ya majeshi vitu vile havikuwa vigeni sana.
Hata Korea kila mwaka wanaonyesha silaha zao kwenye maonyehso ila sio mnavyofokiria,ni kwamba hakuna nchi yoyote duniani inaonyesha uwezo wake wa kijeshi.
Hata hiyo Korea yenyewe inayoonyesha ni kwamba lile ni changa la macho,na ndio maana hakuna anaewagusa,anajua ni mbinu za kijesho na za kiusalama wa nchi.
b52 ipo kenya. Uhuru alikuwa anatuangalia2.
katika ndege zote hatuna B52?
Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?
EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????
Burundi na Malawi pia walipata ujumbe
katika ndege zote hatuna B52?
Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?
EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????
Ni kosa kulinganisha kitu kimoja na kitu kingine usichokijua. Hatuwezi kusema malawi walipata ujumbe wakati hatujui wamalawi wana vifaa gani vya kiulizi,,yawezekana wako vizuri kuliko sisi.
Hakuna nchi yeyote ya jirani yetu ambayo hatuijui uwezo wake wa kijeshi mkuu. Kuna watu maalum wa kufuatilia mambo hayo.
Hakuna nchi yeyote ya jirani yetu ambayo hatuijui uwezo wake wa kijeshi mkuu. Kuna watu maalum wa kufuatilia mambo hayo.
kitu hiki kipo unafikiri utajua kil kituTanzania hatuwezi kuinunua hii ndege (Boeing B-52 Stratofortress) kwani bei yake ni kubwa mno, kila moja yauzwa US $ 54 millioni (Tshs Billioni 88), na inahitaji matunzo ya US $ 10,406 (Tshs 17 millioni) kwa kila saa ikiwa angani, licha ya kusema gharama za silaha itakayokuwa imebeba!! Kwa maneno mengine, bei ya ndege moja ni sawa na posho za kikao cha siku 460 kwa wabunge wote 640 wa bunge la katiba; na matunzo ya saa 12 angani ni sawa na posho za kikao cha siku moja kwa wabunge wote 640 wa bunge la katiba. Wewe nchi yako bado inarusha Mig 17 wakati production series ni Mig 29 halafu waota kununua B 52!!
View attachment 154412