Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,975
- 2,170
kitu hiki kipo unafikiri utajua kil kitu
Boeing B-52 Stratofotress bombers zilizoko zinamilikiwa na United States Airforce pekee, hata NATO hawana, sembuse TZ, au unaota mchana???!!!
kitu hiki kipo unafikiri utajua kil kitu
Boeing B-52 Stratofotress bombers zilizoko zinamilikiwa na United States Airforce pekee, hata NATO hawana, sembuse TZ, au unaota mchana???!!!
Waambie hao! Kuna mchangiaji mmoja kasema zimepitwa na wakati sana, wakati hata Saddam walizitumia hizo hizo na hakuziona kwenye radar
Tanzania hatuwezi kuinunua hii ndege (Boeing B-52 Stratofortress) kwani bei yake ni kubwa mno, kila moja yauzwa US $ 54 millioni (Tshs Billioni 88), na inahitaji matunzo ya US $ 10,406 (Tshs 17 millioni) kwa kila saa ikiwa angani, licha ya kusema gharama za silaha itakayokuwa imebeba!! Kwa maneno mengine, bei ya ndege moja ni sawa na posho za kikao cha siku 460 kwa wabunge wote 640 wa bunge la katiba; na matunzo ya saa 12 angani ni sawa na posho za kikao cha siku moja kwa wabunge wote 640 wa bunge la katiba. Wewe nchi yako bado inarusha Mig 17 wakati production series ni Mig 29 halafu waota kununua B 52!!
View attachment 154412
Ni kosa
kulinganisha kitu kimoja na kitu kingine usichokijua. Hatuwezi kusema
malawi walipata ujumbe wakati hatujui wamalawi wana vifaa gani vya
kiulizi,,yawezekana wako vizuri kuliko sisi.
[h=1]Mikoyan MiG-29[/h]![]()
![]()
![]()