katika ndege zote hatuna B52?
Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?
EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????
Hivi hatuna Meli wala Nyambizi hata moja ya kivita mbona sikuziona zikipita uwanja wa taifa jana?
hii kitu model gan??
![]()
jifunze kutofautisha kati ya maelezo na maswali.Unaongea usichokijua na hukijui unachoongea.
B-52 ndege ya kizamani sana, hamna haja ya kuwa nayo. Kwa kwetu tukipata F - 117, japo teknolojia ya miaka karibu 20 itatufaa kuingia kwa Kagame mchana kweupe na kuondoka bila shida.
Ndo mnyama gani huyu b52?
hii ni Nighthawk,F-117 single seat ,twin engine ground attack aircraet,cost up to 100 million usd.the first stealth aircraft.
![]()
tunahitaji ndege itakayobeba makombora sita yasiyozidi uzani wa tani ikapiga kombora moja kigali na kurudi na matano salama ikiwa imekamilisha shughuli, hatuhitaji ndege ya kubeba tani mia ya mabonu kwenda kuwalipua ndugu zetu wa kigali.
Vita inakuwa ya gharama ndogo kwa kutumia vifaa vya gharama kubwa.
Kama lengo la Marekani halingekuwa la kiuchumi vita ya Iraq ingeisha wiki moja kwa dozeni mbili za F 117 zilizokuwa huko. Zilirushwa chache siku ya kwanza na mfumo mzima wa amri na mawasiliano ulikufa.
I have flown this plane in the early 90's in operations from Saudia to Iraq and Iran and Eastern Europe I reached the rank of Brg.General although I had experienced two ejections from crashes (PC Simulator) teh teh teh.
B-52 is a heavy aircraft but very effective bomber. It can only land in three airfields outside USA that is Diego Garcia and Thumrait in Oman and the Negev Desert in israel. Tanzania has very old Migs. And some british and chinese training planes.
Tanzania if it was not due to corruption could have bought the best arsenal and build a small but strong effective state of the art defence force.