Kumbe Tanzania hatuna B52?

Kumbe Tanzania hatuna B52?

Tuitoe wapi ndugu!!!!!jana mbwembwe kibao tunaonyesha vifaa ambayo kila nchi inavyo duniani,rais wa Uganda Museven full kutucheka!
 
Hivi na nyie mfahamishwe kama watoto wadogo,ile sio vita yale ni maonyesho ya kawaida tu sehem ya burudani.
Kwa wale tuliodudhuria maonyesho ya majeshi vitu vile havikuwa vigeni sana.
Hata Korea kila mwaka wanaonyesha silaha zao kwenye maonyehso ila sio mnavyofokiria,ni kwamba hakuna nchi yoyote duniani inaonyesha uwezo wake wa kijeshi.
Hata hiyo Korea yenyewe inayoonyesha ni kwamba lile ni changa la macho,na ndio maana hakuna anaewagusa,anajua ni mbinu za kijesho na za kiusalama wa nchi.
 
katika ndege zote hatuna B52?

Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?

EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????

Mkuu kwa taarifa yako zile silaha ulizoona jana ni za miaka kumi na ushee iliyopita. Kuna vitu kaka viko sirini vinasubiri jirani alete ya fya fya fye fye fye. Hatungeweza kuonyesha uwezo wetu kamili mbele ya maadui zetu. Tz tumejipanga kivita mkuu.
 
Huyo bwana akitaka kujua uwezo aende akawaulize m23 ndio atajua uwezo wale wamesumbua kongo miaka zaidi ya kumi wameshindwa kuwatoa yametumika majeshi ya UN nawenyewe walishindwa tanzania kwenda haikuchukua hata miezi minne chezea tz weee
 
katika ndege zote hatuna B52?

Ivi mabilioni yaliyopo Uswisi hayatoshi kununua B52?

EPA, RADA, Rindmond, Meremeta?????
Not everything is for sale, besides hizo hela ulizotaja ni peanuts kwa level hiyo. Ni sawa na kuwa na hela ya Fekon, halafu utake kununua Phantom.
 
B-52 ndege ya kizamani sana, hamna haja ya kuwa nayo. Kwa kwetu tukipata F - 117, japo teknolojia ya miaka karibu 20 itatufaa kuingia kwa Kagame mchana kweupe na kuondoka bila shida.

Embu rudia tena,unasema kuwa B-52 Strotofortess Bomber imepitwa na wakati?hii ni miongoni mwa U.S hardware iliyodumu kwa kipindi kirefu kwenye Operation kuliko zana zote za U.S,na mara nyingi sana ina undergo upgrading kulingana na kubadilika kwa mahitaji,na imeongezewa muda wa kufanya shughuli mpaka 2040s. Hii ni miongoni mwa heavy bombers inayoheshimiwa na Marekani,na ghrama yake ni nafuu sana interms of maintainance and operations. Na kutokana na umuhimu wake hili Dege Marekani hajaliuza kwa Nchi nyingene,anayo yeye mwenyewe tuu.
 
Sidhani kama silaha zote za TPDF zilioneshwa au kutajwa jana!
 
Mkuu kwa taarifa yako zile silaha ulizoona jana ni za miaka kumi na ushee iliyopita. Kuna vitu kaka viko sirini vinasubiri jirani alete ya fya fya fye fye fye. Hatungeweza kuonyesha uwezo wetu kamili mbele ya maadui zetu. Tz tumejipanga kivita mkuu.

Si kweli Mkuu..Vile vifaru vilivyokuwa vinasifiwa ni aina ya FV101 na ni vya mwaka 1973 made froma UK na U K ilishaacha kuvitumia tangu mwaka 1994.
 
B-52 ndege ya kizamani sana, hamna haja ya kuwa nayo. Kwa kwetu tukipata F - 117, japo teknolojia ya miaka karibu 20 itatufaa kuingia kwa Kagame mchana kweupe na kuondoka bila shida.

Ndege ya kizamani? Nani kakudanganya?!
 
Embu rudia tena,unasema kuwa B-52 Strotofortess Bomber imepitwa na wakati?hii ni miongoni mwa U.S hardware iliyodumu kwa kipindi kirefu kwenye Operation kuliko zana zote za U.S,na mara nyingi sana ina undergo upgrading kulingana na kubadilika kwa mahitaji,na imeongezewa muda wa kufanya shughuli mpaka 2040s. Hii ni miongoni mwa heavy bombers inayoheshimiwa na Marekani,na ghrama yake ni nafuu sana interms of maintainance and operations. Na kutokana na umuhimu wake hili Dege Marekani hajaliuza kwa Nchi nyingene,anayo yeye mwenyewe tuu.
hii si ilitumika kupiga mabomu ya nyukilia huko japan?. ni ya zamani sana.
 
B-52 ndege ya kizamani sana, hamna haja ya kuwa nayo. Kwa kwetu tukipata F - 117, japo teknolojia ya miaka karibu 20 itatufaa kuingia kwa Kagame mchana kweupe na kuondoka bila shida.
baada ya F-117 kudondoshwa kule serbia ikawa decomissioned haitengenezwi tena,hiyo ndoo stealthfighter ya mwanzo kabisa.
 
hii si ilitumika kupiga mabomu ya nyukilia huko japan?. ni ya zamani sana.

So uzamani wake ni nini,ni brand/jina B-52 au functions zake?muulize Mchina wakati ule alipotangaza kuwa kile kisiwa Senkolu wanachopigania na Japan kuwa Nchi yeyote hairusiwi kupitisha ndege eneo hilo iwe ni ya kijeshi au ya kiraia mpaka waombe ruhusa kwake Mmarekani kwa jeuri akatuma B-52 ipite huko,Mchina aliiona?
 
Ndo mnyama gani huyu b52?
strategic bomber ,hii inaweza kutoka marekani na ikaenda kupiga irag bila kutua popote ikapiga na ikarudi,hakuna nchi inamiliki zaidi ya marekani,ni ya zamani ila kuna versiön zake mpya kama B-1 na B-2 ambazo ni hatari tupu kwani zinakua ziko juu sana kiasi kwamba silaha pekee inayoweza kudungua ni ile ya mrusi S-400 ama airdefence system ya mrusi ambayo bado iko kwenye pipeline S-500.
 
Back
Top Bottom