Kumbe talaka ni chache hivi....?!

Kumbe talaka ni chache hivi....?!

RRONDO

Platinum Member
Joined
Jan 3, 2010
Posts
57,801
Reaction score
129,644
Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.

Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
 
Wanawake wanalalama vibamia

Wanaume wanadai wanawake wana makorongo no mnato
 
Ukiingia kwenye ndoa wazo la kutoa talaka au kupewa talaka usiwenalo kabisa ili udumu katk ndoa yako
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Hapa umejiangalia wewe, vipi watoto je hawana haki ya kuishi na baba na mama kama wewe ulivyolelewa(i guess) ?
 
Mtu asikudanganye dada, mi nimetoa moja juzijuzi tu, hivi hapa nasubiria cheti cha RITA nianze kutafuta mchumba mwingine
Talaka ipo sana huku kujitia hadi kifo ni sawa na kuruka sarakasi huku umevaa taulo
 
Back
Top Bottom