Kumbe talaka ni chache hivi....?!

Kumbe talaka ni chache hivi....?!

Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....


Dah!
 
Nashukuru Mungu siko huko aidha sifungwi na kitu chochote.... single grandma. natafuna muwa kwa raha zangu till the day I kick the bucket.

Kwa wenye commitment uvumilivu unawahusu the. Ila mie ningeachika aiseeh.
Good for you Kasie
 
Mkuu wengi hawana muda wa kwenda kusajili talaka. Na hii Serikali inavyopenda pesa kama pochi watakwambia kusajili talaka elfu 50 au hata zaidi. Na kama ujuavyo vyuma vimekaza mtindo mmoja.

Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.

Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
 
wabongo tuna mazoea ya kufanya mambo kienyeji....ndio maana talaka nyingi hazisajiliwi RITA
na pili kwa wale Wakristo ambao process ya talaka ni ndefuuu....wanamua kutengana tu.
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Mbona mawazo ya kizungu na wew negro!!!?
 
Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.

Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Mkuu, tatizo watu hawaendi kuhalalisha hizo talaka. Utakuta wanalala vyumba tofauti miaka zaidi ya kumi. Wengine wala hawaishi pamoja kabisa na kila ana mwingine.
 
Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.

Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Tunaweza kusema nyingi haziwi reported lakini sio nyingi.

Kuna nchi kuna siku ya Talaka.
 
Mkuu, tatizo watu hawaendi kuhalalisha hizo talaka. Utakuta wanalala vyumba tofauti miaka zaidi ya kumi. Wengine wala hawaishi pamoja kabisa na kila ana mwingine.
Tunaweza kusema nyingi haziwi reported lakini sio nyingi.

Kuna nchi kuna siku ya Talaka.
Ndio hizo zisizosajiliwa RITA. Hazitambuliki kwa maana ingine.
 
Wapi huko? Huwa wanaazimishaje?
kwa malkia..

Family Enquiries nyingi zilikuwa zinajitokeza katikati ya kipindi kati ya dec-Jan.

Na ndipo kwa tafiti talaka nyingi zinapotoka. 8Jan is Divorce day.

Wanaadhimisha kwa kureslove cases tofauti,kukamilisha talaka, ushauri n.k
 
kwa malkia..

Family Enquiries nyingi zilikuwa zinajitokeza katikati ya kipindi kati ya dec-Jan.

Na ndipo kwa tafiti talaka nyingi zinapotoka. 8Jan is Divorce day.

Wanaadhimisha kwa kureslove cases tofauti,kukamilisha talaka, ushauri n.k
Huko ndio talaka zilipozaliwa!
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Hapana kwakweli tutaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. Ndoa ni kitu muhimu sana
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
 
Back
Top Bottom