Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Nichache sababu weng wanaacha kimya kimya .
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.
Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.
Life is too short to hold on grieves....
Dah!
Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.
Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Mbona mawazo ya kizungu na wew negro!!!?Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.
Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.
Life is too short to hold on grieves....
Ndgu hata usiseme,yan hzi za kilokore ndo uozo mtupu,Sie wakristo talaka yako ni kaburi;
Mbona mawazo ya kizungu na wew negro!!!?
Mkuu, tatizo watu hawaendi kuhalalisha hizo talaka. Utakuta wanalala vyumba tofauti miaka zaidi ya kumi. Wengine wala hawaishi pamoja kabisa na kila ana mwingine.Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.
Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Tunaweza kusema nyingi haziwi reported lakini sio nyingi.Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.
Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Mkuu, tatizo watu hawaendi kuhalalisha hizo talaka. Utakuta wanalala vyumba tofauti miaka zaidi ya kumi. Wengine wala hawaishi pamoja kabisa na kila ana mwingine.
Ndio hizo zisizosajiliwa RITA. Hazitambuliki kwa maana ingine.Tunaweza kusema nyingi haziwi reported lakini sio nyingi.
Kuna nchi kuna siku ya Talaka.
kwa malkia..Wapi huko? Huwa wanaazimishaje?
Huko ndio talaka zilipozaliwa!kwa malkia..
Family Enquiries nyingi zilikuwa zinajitokeza katikati ya kipindi kati ya dec-Jan.
Na ndipo kwa tafiti talaka nyingi zinapotoka. 8Jan is Divorce day.
Wanaadhimisha kwa kureslove cases tofauti,kukamilisha talaka, ushauri n.k
Haya kilaa kheri !!!Manki sii manki duu....
Nimechukua kama ilivo.
Hapana kwakweli tutaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. Ndoa ni kitu muhimu sanaMi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.
Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.
Life is too short to hold on grieves....
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.
Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.
Life is too short to hold on grieves....

Haya kilaa kheri !!!