Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Hapana kwakweli tutaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. Ndoa ni kitu muhimu sana
Ok sawa ndoa na zidumu.
Hapana kwakweli tutaongeza kizazi cha mashoga na wasagaji. Ndoa ni kitu muhimu sana
Amina tuendelee kumuomba Mungu.Ok sawa ndoa na zidumu.
Amina tuendelee kumuomba Mungu.
tunaita vuta n'kuvute.Wanawake wanalalama vibamia
Wanaume wanadai wanawake wana makorongo no mnato
Soma thread yote kwanzaKujua nini?
Lindi taraka ni nyingi sana na takwimu hizi asilimia kubwa hazipo RITAMimi ndio nimeiandika.
Mashoga/ wasagaji wengi ni zao la malezi ya Mzazi mmoja.hata tabia za watoto Wa mzazi mmoja zipo tofauti na watoto wa ndoa.Kwahio watu wasipooana wanakuwa mashoga?
Kwani talaka manake nini?Sie wakristo talaka yako ni kaburi;
Subil niziandae nitakupa.Naomba takwimu kwa ulichokisema. Kumbuka kutoa takwimu za uongo ni kosa la jinai.