Kumbe talaka ni chache hivi....?!

Kumbe talaka ni chache hivi....?!

Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Lazima utakua uliachika aiseeee
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Sababu hujabahatika kuolewa ndio maana unasema hivyo! Si ajabu hata mtoto huna ukiangalia umri ushafika 50+
 
Nimekaa mahakamani,Kwa muda mfupi (5 weeks)nimeshuhudia kesi za Talaka 16,hazisajiliwi tu basi!
 
Leo asubuhi nimemsikia dada mmoja kutoka Rita akizungumzia talaka ni kwamba talaka zinaenda zikiongezeka akatoa takwimu mwaka 2016 kulikuwa na talaka 110 zilizosajiliwa na RITA mwaka 2017 kulikuwa na talaka 120 na kitu (namba kamili imenitoka) kwa hio unaweza kuona talaka zinaongezeka.

Kilichonishangaza ni idadi ndogo ila alisema inawezekana zipo nyingi ambazo hazijasajiliwa na RITA kwahio waoaji msikate tamaa talaka sio nyingi kihivyo kwa takwimu za RITA takwimu nyingine ambayo ningependa kuijua ni ndoa ngapi zinafungwa kwa mwaka.
Ndoa nyingi zinavunjika na hawadai talaka mahakamani kuepuka usumbufu. Ukiona mwanamke anadai talaka ujue amepata wa kumwoa. Wanaume mara chache kudai talaka mahakamani.
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Well said dear.
 
Hapa umejiangalia wewe, vipi watoto je hawana haki ya kuishi na baba na mama kama wewe ulivyolelewa(i guess) ?

Kiukweli ni mvurugano hapo ndo huwa naona ni makubaliano kati ya wawili. Kuwa wakiamua kuzaa basi waheshimu makubaliano kuwa no matter what wanalea mtoto pamoja hata kama hisia zao zitakata. Laah mnakuwa na mahusiano yasiyo kuwa na mtoto yaani hamzai ili mkichokana kila mtu anasepa.

Anyways it's hard and complicated at the same time. Ndo maana viongozi wa dini wanasema ndoa ni sacrament..... moja ya nguzo muhimu hasa kwenye ukristo.

To be honest am selfish.... na jinsi nnavozeeka ndo kabisaaa hali inazidi kuongezeka ya u selfish.
 
Ndoa nyingi talaka huwa zimeshatoka ila kinachokosekana ni sign tu
Maana talaka si lazima iandikwe kwa kalam hata kwa kutamka tu yaweza kua ni talaka ambayo RITA hawaitambui
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Yaani wewe kama upo kichwani mwangu. Kusumbuana naonaga shida Sana
 
Mi naona bora watu wasioane. ... kila mtu aishi kwakwe na maisha yake ila mkipendana mnafika out mnapeana penzi basi. Mkitaka kuzaa mnaakubaliana kabisaa gharama za malezi kwa kuandikoshiana.

Naona ni ujinga kuvumiliana maana hata mie sitaki mtu anivumilie. Naona haina tija kugombana wakati mmechokana. .... Kila mtu akiwa na kwake basi hakuna kugombana ni kuwa kila mtu anaendelea na maisha yake. Maendeleo pia kila mtu afanye kivyake sema mnaweza kishauriana. Ukiona mtu anakulostisha unamwambia am sorry I think we should end this relationship.

Life is too short to hold on grieves....
Una hoja, ila hoja yako imefunikwa na ubinafsi. Hao watoto unadhani wanafurahia kuishi na mzazi mmoja?
 
Una hoja, ila hoja yako imefunikwa na ubinafsi. Hao watoto unadhani wanafurahia kuishi na mzazi mmoja?

Ni.kweli ubinafsi umenigubika na ndo nazeeka nao. Kwenye watoto mie naona wanaotaka kuzaa wakubaliane hakuna kutengana hadi watoto wakue. Vinginevyo mnakuwa na mahusiano bila kuzaa, hapo kwenye watoto ndo kuvumiliana ambapo mie na uzee huu naukosa.
 
Ni.kweli ubinafsi umenigubika na ndo nazeeka nao. Kwenye watoto mie naona wanaotaka kuzaa wakubaliane hakuna kutengana hadi watoto wakue. Vinginevyo mnakuwa na mahusiano bila kuzaa, hapo kwenye watoto ndo kuvumiliana ambapo mie na uzee huu naukosa.
Uzee huo kwa kutafunana tu raha sana, without strings attached. Ila ukishaleta watoto unatakiwa usijifikirie, wafikirie wao na furaha yao kwanza.

Kwa wale wasiotaka kuzaa, furahieni mahusiano bila ndoa, ila ukishaleta mtoto ni heri kufanya sacrifice kwa ajili yake.
 
Uzee huo kwa kutafunana tu raha sana, without strings attached. Ila ukishaleta watoto unatakiwa usijifikirie, wafikirie wao na furaha yao kwanza.

Kwa wale wasiotaka kuzaa, furahieni mahusiano bila ndoa, ila ukishaleta mtoto ni heri kufanya sacrifice kwa ajili yake.

Nashukuru Mungu siko huko aidha sifungwi na kitu chochote.... single grandma. natafuna muwa kwa raha zangu till the day I kick the bucket.

Kwa wenye commitment uvumilivu unawahusu the. Ila mie ningeachika aiseeh.
 
Back
Top Bottom