Wewe inaonekana ulivyotoka Kigoma vijijini break yako ya kwanza na mwisho ilikuwa Dar, tena Tandale kwa uandishi wako huu umejipambanua hivyo.Miji yote ya Tanzania inafanana isipokuwa Dar Es Salaam pekee. Kuna wazungu walisema, Dar is the richest city in Tz, na kweli nimeamini. Hata hizi piki piki za Boxer zipo huku Dar, Mikoani bado wanatumia mchina. Majumba mazuri yamerundikana Dar. Typical modern houses za mikoani ni ndogo ndogo sana. Dar kuna mansions hatare. Magari ya mikoani ni yale tulikuwaga tunaendesha Dar miaka ya tisini. Dar ni ya kipekee sana ukilinganisha na mikoa mingine iliyobaki.
Usisahau kipindupindu Dar es Salaam, looo!Lkn ni dar pia watu wake wanakula utumbo wa kuku/miguu ya kuku sababu ya umaskini,huku mikoani hivyo vitu vinatupwa jalalani.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu bado naipenda nchi yangupako poa sana nenda kaweke vitega uchumi
Magari gani ya mwaka 90 bado yanatumika mikoa mingine au niambie ni gari gani iko dar mikoa mingine hazipo?Miji yote ya Tanzania inafanana isipokuwa Dar Es Salaam pekee. Kuna wazungu walisema, Dar is the richest city in Tz, na kweli nimeamini. Hata hizi piki piki za Boxer zipo huku Dar, Mikoani bado wanatumia mchina. Majumba mazuri yamerundikana Dar. Typical modern houses za mikoani ni ndogo ndogo sana. Dar kuna mansions hatare. Magari ya mikoani ni yale tulikuwaga tunaendesha Dar miaka ya tisini. Dar ni ya kipekee sana ukilinganisha na mikoa mingine iliyobaki.
Ukiondoa DSM labda na Mwanza ni mkoa gani mwingine ambao ww unaufahamu kuwa unawezaumaliza kwa siku2? Usidanganye watu inamàana ulifika Kalambo,Laela,Namanyere kwa baiskeli?au unamaanisha Swax mjini?hii ni mkoa ya pembezoni ilikuwa imesahaulika now ndio inaanza kujengeka kijana usipotoshe watu banaNimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Kweli mkuu sumbawanga mji mmoja tulivu sana kwa kuishiSijawahi kujuta kukaa na kupita Sumbawanga, Ni mji tulivu na mahitaji yote muhimu unapata? ila kuna msimu wa baridi kiasi
Mie bado namlia timing. Aendelee na dharau zake. Uchawi wa radi bado tunautumia.
huifahamu Sumbawanga wewe.hakuna hoteli ya maana sumbawanga na sehemu za starehe ni chache na hazina hadhi ya mkoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenu wapi? Tuanzie hapo!Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Chanika,Dodoma, Mpanda, kote ni kwake ila asili yake kabisa ni KibaoniPinda anaishi Chanika
Kwanza angalia hiyo picha mji ulivyopangika hakuna bongo hiiSijawahi kujuta kukaa na kupita Sumbawanga, Ni mji tulivu na mahitaji yote muhimu unapata? ila kuna msimu wa baridi kiasi
Lakini waliofuatia baada ya happy wamekuja na upuuzi wao wa mikoa mingine yaani saizi ujenzi wa ki squatter umeshika kasi hakuna viwanja vlivyopimwaNawapongeza Watumishi wa Ardhi waliofanya kazi Sumbawanga kati ya mwaka 1980 mpaka 2006 kwa kuupanga Mji walipima viwanja maeneo mbalimbali ya Mji kama vile Kristo Mfalme, Kisiwani, Malangali, Hali ya Hewa , Makutano Kizwite, Regional block Jangwani Bangwe na Majengo na Katandala Hongereni sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niliishi regional block 1979- 1984. Katandala ilikuwa nyumba za nyasi tu. Sasa hivi naona majengo yamesimama. Naipenda sana weather yake. Jangwani Inn bado ipo? Enzi za mwalimu hizo mji ulikuwa mdogo sana. All in all watani zangu wafipa Posuta! Mwalima? Mmeacha kuweka mapipa mtupu nje ya nyumba kuashiria sute ikapatikana hapo? hahaha Migagi bado mnakula? Bisi je? Chikanda?Sidhani kama kuna mji uliopangika kama sumbawanga ktk nchi hii
Kweli wewe umeishi ufipani,Niliishi regional block 1979- 1984. Katandala ilikuwa nyumba za nyasi tu. Sasa hivi naona majengo yamesimama. Naipenda sana weather yake. Jangwani Inn bado ipo? Enzi za mwalimu hizo mji ulikuwa mdogo sana. All in all watani zangu wafipa Posuta! Mwalima? Mmeacha kuweka mapipa mtupu nje ya nyumba kuashiria sute ikapatikana hapo? hahaha Migagi bado mnakula? Bisi je? Chikanda?
Labda maeneo ya Chanji kuna sehemu ndogo sana haijapangiliwa vizuriKwani uliambiwa Sumbawanga ni jiji? Hakuna mji uliopangiliwa vizuri kama Sumbawanga, ni mji ambao mipango miji ilifanya kazi yake barabara huwezi kukuta sehemu kama Manzese.