makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 886
Kwani uliambiwa Sumbawanga ni jiji? Hakuna mji uliopangiliwa vizuri kama Sumbawanga, ni mji ambao mipango miji ilifanya kazi yake barabara huwezi kukuta sehemu kama Manzese.Mimi nilipakubali sana sumbawanga.mji umepangika bara bara za mji nzuri na kubwa.pako poa sana tofauti na nilivokiwa nasikia.
Sent using Jamii Forums mobile app

