ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 4,115
- 2,792
Nimekuvumilia wee nimeshindwa. Acha ungese. Tupongeze tuliovumilia kuishi uku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna looolote ulitaka ukute Akina dada Wauza Mbunye ndio upaone pa kijanja. Fwala kabisa wewe Kibenten. Uishie hapohapo kabla mizimu haijakusukumiza huko Bonde la Lwiche.Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Mbona mzungu n mtu wa kawaida tuMiji yote ya Tanzania inafanana isipokuwa Dar Es Salaam pekee. Kuna wazungu walisema, Dar is the richest city in Tz, na kweli nimeamini. Hata hizi piki piki za Boxer zipo huku Dar, Mikoani bado wanatumia mchina. Majumba mazuri yamerundikana Dar. Typical modern houses za mikoani ni ndogo ndogo sana. Dar kuna mansions hatare. Magari ya mikoani ni yale tulikuwaga tunaendesha Dar miaka ya tisini. Dar ni ya kipekee sana ukilinganisha na mikoa mingine iliyobaki.
Nawapongeza Watumishi wa Ardhi waliofanya kazi Sumbawanga kati ya mwaka 1980 mpaka 2006 kwa kuupanga Mji walipima viwanja maeneo mbalimbali ya Mji kama vile Kristo Mfalme, Kisiwani, Malangali, Hali ya Hewa , Makutano Kizwite, Regional block Jangwani Bangwe na Majengo na Katandala Hongereni sawa.
Umefananisha na mji gani?Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
ipi mkuu wazee wa kupaa na ungo hawakusumbui uko. Mna nilifikiria kuja kuinvest huko jamaaa wakasema nitarudi bila miguu nikaamua kuachaSijawahi kujuta kukaa na kupita Sumbawanga, Ni mji tulivu na mahitaji yote muhimu unapata? ila kuna msimu wa baridi kiasi
Hiyo barabara kwa hisani ya mabeberu(watu wa marekani)Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Nilikula NDITO ya kikurya hapo! Ilikuwa tamu balaaaa! Nilishangaa kukuta mpaka Dada poa wa kikurya wamesha fika huko.Nimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Watakuroga shauri yako, nimekaa swanga miaka mitatu mi nimeona pazuri tuNimekuwepo siku mbili, nimepamaliza pote kupafahamu kwa kutumia baiskeli tu!
Ila barabara kutokea tunduma ya ukweli balaa(international)
Kwahiyo mjomba unaishi kwa 'kuvumilia!'Nimekuvumilia wee nimeshindwa. Acha ungese. Tupongeze tuliovumilia kuishi uku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nimegundua hujawahi kutembea mikoani...umekaa sana dar, au ulitembelea mikoani zamani sana.Miji yote ya Tanzania inafanana isipokuwa Dar Es Salaam pekee. Kuna wazungu walisema, Dar is the richest city in Tz, na kweli nimeamini. Hata hizi piki piki za Boxer zipo huku Dar, Mikoani bado wanatumia mchina. Majumba mazuri yamerundikana Dar. Typical modern houses za mikoani ni ndogo ndogo sana. Dar kuna mansions hatare. Magari ya mikoani ni yale tulikuwaga tunaendesha Dar miaka ya tisini. Dar ni ya kipekee sana ukilinganisha na mikoa mingine iliyobaki.
Nani kakuambia kwao na mtoto wa mkulima ni Rukwa ?!! Kama hujui kitu uliza kwanza.Hata Pinda amehama huko. Yupo Dodoma analima zabibu!!!