KUMBE SILAHA ZA MAREKANI HAZINA UJANJA KWA ZILE ZA URUSI.

Hiyo Drone ya Marekani iliyotunguliwa na Iran hutumia technologia ya stealth na ni ya gharama sana. Marekani hawakuamini kama Iran ingeweza kuiona na kuitungua, lakini ilidondoshwa na kombora la bei rahisi tu lakini la teknologia kali.
Hiyo ndege isiyo na rubani (Drone) unayosema ni kwaajili ya Surveillance. Haina silaha zozote na ni Non-Stealthy.
 
Hahaha! Si kwamba nazipamba. Hiyo Drone na hizi ndege nyingine za kivita ni tofauti kuanzia kimuundo, kazi zake na uwezo wake pia.
 
unaweza ukawa na uchimi mkubwa na vita ukapigwa vile vile
 
Basi tu uwa wanajitoa akili ila wanajua sana kuwa ela sio muhimu sana kwenye mambo ya kivita.mpaka leo hii mungano wa nchi za kiarabu zikiongozwa na Saudi arabia na sapoti ya nchi za EU,zimeshindwa kufika Sanaa(mji mkuu wa Yemen) kuwatoa waasi wa houthis.
Kila siku wanashambulia tu na ndege za kivita ila wakija ardhini wanachezea za uso.mwisho wa siku nchi imezidi kugawika tu mpaka Al-qaida nao kwa sasa wanadhibiti 36% ya Yemen.
Sasa EU na mungano wa nchi za kiarabu si wana uchumi mkubwa lakini huu ni mwaka wa 4 mpaka leo awajafika Sanaa,sasa hii kazi mpe mtu mmoja wa kuitwa Mrusi alafu mpe tu mwaka 1 uwone atakuwa wapi
unaweza ukawa na uchimi mkubwa na vita ukapigwa vile vile
 
HAHA AMERICA AISEE.. THAT'S WHY WE EXPERIENCE COLD WAR IN 1900'S. EVERYONE IS FRIGHTENED BY THE OTHER BUT AMERICA IS MORE SCARED. IF YOU WON'T BELIEVE ME EXPLORE THE RIVAL EXPERIMENT OF WEAPONS BETWEEN M16 AMERICAN RIFLE AND A-47 RUSSIAN RIFLE AND YOU SHALL BOOST YOUR THOUGHTS ON THIS PROPAGANDAS. IT'S LIKE HOW AMERICA IS MORE CONCERNED AND FRIGHTENED BY 5G FREQUENCY REVOLUTION BY CHINESE.
 

Sawa, uko sahihi kwa upande fulani ila Kiswahili chako kinakera kwa kweli.. ''silaha' na siyo 'siraha'; 'makombora' na siyo 'makombola', 'humkosi' na siyo 'humukosi', 'Mrusi' na siyo 'Murusi', 'teknolojia' na siyo 'techinolojia', 'Urusi iko...' na siyo 'Urusi yuko....'
 
Kajifundishe kiswahili kwanza acha kushabikia Urusi mkongoman wewe.🀣


Ndukiiiii πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Huyu ni wa kanda ya ziwa mkuu, sana mkoa wa Mara mkuu.
 
Acha uongo chifu,
 
Syria bado ipo kwenye ramani ya dunia licha ya marekani kufanya mashambulizi mfululizo akiwasaidia waasi wamwondoe Al Assad marakani, lakini mitambo ya kizamani yenye asili ya Urusi iliweza kudhibiti ( intercept) makombora kadhaa ya TomaHawks ya kisasa toka marekani.

Mitambo aina ya S-200, s-125 (sa-6 Goa) ambayo hata Tanzania tunayo ilidhibiti mashambulizi ya makombora ya cruise missiles.

Pia mnaosema kuwa Syria inashambuliwa licha ya kuwepo mifumo ya s-400, iko hivi mitambo ya s-400 Urusi iliipeleka kwa ajili ya kulinda kambi zake tu na sio kuilinda Syria. Urusi anatumia askari wa miguu ( infantry soldiers) na light weapons kuisaidia Syria, till now Al Assad is still in power!

Ukweli ni kwamba duniani Hapa Urusi ndiyo taifa lenye ujuzi wa Hali ya juu kwenye silaha, hata kombora lililotungua drone ya marekani ni version of the USSR missiles.
 
Hahahhaha
 
Sjaelewa ata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…