KUMBE SILAHA ZA MAREKANI HAZINA UJANJA KWA ZILE ZA URUSI.

Hiyo bajeti mara 4 usifananishe na pale ufipa wana bajeti kubwa ya kukodi jengo la nyumba nzima hali ya kuwa wanaweza kodi hata vyumba 2 mwaka huu na mwakani wakajenga lao,pale marekani bajeti kubwa wizi mtupu ila kwa mrusi hiyohiyo bajeti ndogo wenye uelewa kama waturuki wananunua vifaa,russia sio wa dunia hii kiteknolojia.
Wewe unaonekana kichwa maji .balaaaaaaa
 
VITA NI TECHNOLOGY, TECHNOLOGY N UCHUMI. BAJETI YA MAREKANI BILA HATA VITA NI MARA 4 YA BAJETI YA URUSI. KWA LUGHA NYINGINE MAREKANI INAMUDU GARAMA ZA VITA MARA 4 YA URUSI. KUPIGA KOMBORA MOJA TU NI MILLIONS OF DOLLARS, PIA KUZUIA KOMBORA MOJA NI MILLIONS OF DOLLARS. PIA MAREKANI INA USHAWISHI MKUBWA DUNIANI KULIKO URUSI. PIA MAREKANI HAJAFUNGUA HAZINA YA SILAHA, HIZO S500 ANA KAMA HIZO MUDA, KAWEKA STOO.
Natamani kukuuma,kwa kuwa hujui ulichokiandika
 
Kitendo cha Uturuki kuamua kuanza kupokea makombora ya s-400 ya Urusi, kimemfanya Marekani akiri hadharani hofu yake kuwa silaha za Urusi zikiwa karibu na zile ndege zake za F-35 ambazo Uturuki pia alishazilipia, kutasababisha udhaifu wa zile ndege kugundulika!!!! Sasa najiuliza kwa nini asingesema tutagundua udhaifu wa zile S-400 Russian anti-missile defence system. Hii inaonyesha Marekani hajiamini kabisa kwa silaha zake, na ameamua kutokuziachia ziende Uturuki kwa hofu siri ya udhaifu wake itagundulika. Hii imedhihirisha kuwa Marekani anafahamu kuwa ndege zake zina udhaifu mkubwa na anawauzia "marafiki" zake kwa bei kubwa sana hiku akijua ni kama toy fulani vile!!! Marekani ni vitisho tu lakini mbele ya silaha za mbabe wa ukweli analia lia mpaka anatia huruma. Msikilize anaposema hapa BBC: The officials said they did not want the F-35 jets to be near S-400 systems because they feared Russian technicians would be able to access the F-35's vulnerabilities.
Mimi ningedhani Marekani angefurahia mshirika wa NATO kuwa na silaha za Urusi ili iwe rahisi kwake kuchunguza udhaifu wake>.
Why do countries want to buy the Russian S-400?
Because of its capabilities, several countries including China, Saudi Arabia, Turkey, India and Qatar have said they are willing to buy the S-400.


f7580e7c4e6c49e9b0514f54808ed517_18.jpg
Several countries including China, Saudi Arabia, Turkey, India and Qatarhave said they are willing to buy the S-400. [Vadim Savitsky/AP]

Almost every government that announced it was planning to buy the system was threatened with some kind of diplomatic retaliation from the US, NATO or adversaries.


The reason for this blowback, according to several experts Al Jazeera interviewed, is not only because the S-400 is technologically advanced, it also poses a potential risk for long-standing alliances.


"The S-400 is among the most advanced air defence systems available, on par with the best the West has to offer," said Siemon Wezeman, senior researcher with Stockholm International Peace Research Institute's (SIPRI) arms transfers and military expenditure programme.


"Its radars and other sensors, as well as its missiles, cover an extensive area - the radar has a range of at least 600km for surveillance, and its missiles have ranges of up to 400km," Wezeman told Al Jazeera.


"It's precise and it manages to track a very large number of potential targets, including stealth targets."


Other advantages are its modular setup and high mobility, meaning it can be set up, fired and moved within minutes.
 
Hahaha! Si kwamba nazipamba. Hiyo Drone na hizi ndege nyingine za kivita ni tofauti kuanzia kimuundo, kazi zake na uwezo wake pia.
The Drone Iran Shot Down Was a $220M Surveillance Monster
security_global-hawk_CBKWF1.jpg

The downing of a Global Hawk drone ratchets up tensions, already running high, between the US and Iran.
Alamy
Early Thursday morning, Iran shot down a United States unmanned aerial vehicle over the Strait of Hormuz, which runs between the Persian Gulf and the Gulf of Oman. Iran identified the drone as an RQ-4A Global Hawk, a $220 million UAV that acts as a massive surveillance platform in the sky. The attack marks an escalation with tensions already running high between the US and Iran—particularly because of the value and technical sensitivity of the downed drone.
Iran's Islamic Revolutionary Guard Corps said on Thursday that the Northrup Grumman-made Global Hawk—part of a multibillion-dollar program that dates back to 2001—had entered Iranian airspace and crashed in Iranian waters; US Central Command confirmed the time and general location of the attack, but insists that the drone was flying in international airspace.
The incident comes on the heels of another situation last week in which the US accused Iran of attacking two fuel tankers in the Gulf of Oman. The US also said that Iran had attempted to shoot down a different UAV—an MQ-9 Reaper drone—but failed. The Pentagon also linked Iran to an attack on a Reaper drone in Yemen two weeks ago that caused the vehicle to crash. Thursday's attack, though, targeted a massive and much more expensive surveillance drone, and likely represents a more definite escalation.
"There's a lot going on here, and we're probably only seeing some of it," says Thomas Karako, director of the Missile Defense Project at the Center for Strategic and International Studies. "This is a more expensive, higher-altitude, more capable, long-range intelligence surveillance reconnaissance craft. If they’re shooting down aircraft in international airspace over international waters, that's likely to elicit some kind of measured reprisal."

"There could always be super secret spy tech onboard that we don’t know about."
Ulrike Franke, European Council on Foreign Relations
Global Hawks are massive surveillance platforms, in operation since 2001, with a wingspan of more than 130 feet and a maximum takeoff weight of more than 16 tons, equivalent to roughly seven shipping containers of cocaine. They have a range of more than 12,000 nautical miles, can fly at strikingly high altitudes of 60,000 feet, and can stay aloft for 34 hours straight. They have no offensive capabilities; their value lies in their ability to combine range, vantage point, and persistence with powerful surveillance sensors to monitor ground or maritime activity in great detail. According to analysis by the Government Accountability Office, Global Hawks have at times cost the US more than $220 million to manufacture and equip.
Global Hawks generally include infrared and thermal imaging, radar, and electro-optical imaging in their arsenal of sensors. And their massive size and weight capacity allows the drones to utilize equipment like huge telephoto camera lenses to get detailed views of targets. But as Ulrike Franke, a policy fellow at the European Council on Foreign Relations and a drone researcher, notes, the US military custom-outfits different vehicles for different missions, making it uncertain what exact equipment this particular Global Hawk carried. "There could always be super secret spy tech onboard that we don’t know about," says Franke.
It's likely, though, that this particular Global Hawk was a typical surveillance workhorse, says Franke, and was downed for geopolitical reasons rather than with the specific goal of technological reconnaissance. It's unclear if parts of the drone are even recoverable, or if it was destroyed in the attack. Iran memorably captured a US RQ-170 Sentinel drone in December 2011 and later claimed to have reverse engineered the vehicle's hardware and software to copy its technology. Sentinel drones are thought to use stealth technology for inconspicuous aerial reconnaissance. Last year, Israeli officials said they had intercepted an Iranian drone that appeared to be a "copy" of a Sentinel.
As for whether the Global Hawk was flying over Iranian airspace, researchers say that definitive proof would require the US releasing details about the drone's flight path. "Whether they want to release that is more of a policy decision," Karako says. "But thus far CentCom is insistent that it was in international airspace."
 
Hiyo ndege isiyo na rubani (Drone) unayosema ni kwaajili ya Surveillance. Haina silaha zozote na ni Non-Stealthy.

. Sentinel drones are thought to use stealth technology for inconspicuous aerial reconnaissance

There's a lot going on here, and we're probably only seeing some of it," says Thomas Karako, director of the Missile Defense Project at the Center for Strategic and International Studies. "This is a more expensive, higher-altitude, more capable, long-range intelligence surveillance reconnaissance craft. If they’re shooting down aircraft in international airspace over international waters, that's likely to elicit some kind of measured reprisal."

They have a range of more than 12,000 nautical miles, can fly at strikingly high altitudes of 60,000 feet, and can stay aloft for 34 hours straight. They have no offensive capabilities; their value lies in their ability to combine range, vantage point, and persistence with powerful surveillance sensors to monitor ground or maritime activity in great detail. According to analysis by the Government Accountability Office, Global Hawks have at times cost the US more than $220 million to manufacture and equip.

Global Hawks generally include infrared and thermal

Kama hayo maandishi ni ya kweli,basi Iran ni zaidi ya tunavyoifahamu,wameweza kushusha drone ya thamani kubwa sana na ya maana sana.kwa Marekani hili ni pigo kubwa sana na aibu.
 
Hivi unadhani Urusi akipeleka S-400 Cuba au Venezuela Marekani atakaa kimya? Mimi nimeweka wazi tu kile Marekani wenyewe wamesema kuwa udhaifu wa F-35 utakuwa wazi mbele ya Urusi kama zikikaa karibu na silaha za Urusi.

Mkuu Marekani anaiogopa S400 kuliko kitu chcochote hapa duniani,hataki nchi yeyote iwe nayo haijalishi hiyo nchi iko jirani naye ama vipi,kwa mfano Marekani hataki India iwe na hiyo mitambo,india yuko mbali sana na MAREKANI,hataki china iwe nayo,hataki Saudia awe nay,hakutaka uturuki iwe nayo, na yeyote yule asiwe nayo.Hapa ni suala la uoga na wivu..Huenda anahofu kuwa pengiene ndege zake huko zilikouzwa zitadukuliwa na na mitambo hiyo (S MIA NNE.)
 
Hahaha! Si kwamba nazipamba. Hiyo Drone na hizi ndege nyingine za kivita ni tofauti kuanzia kimuundo, kazi zake na uwezo wake pia.
kwa hiyo kwa sababu iko tofauti na hizo ndege nyingine za kivita haikustahili kupigwa? au ina haki ya kuingia anga la adui na kufanya ujasusi?au sio chombo cha kivita? imeonewa?
 
Back
Top Bottom