Nimekuwa nikisia makelele meengi kuhusu hii nchi ya Rwanda kwamba ndio mfano wa kuigwa na blah blah nyingi, nikataka niijue zaidi, kumbe hamna chochote hii nchi ina watu zaidi ya
Milioni 10 na uwezo wao wa kuzalisha Umeme ni Megawatt 80 MW tu!!!! nimepigwa na Butwaaa sasa hizo kelele zote za Bw.Kagame hivi Kagame vile ni za nini?
Maendeleao gani hayo yanayoongelewa huko Rwanda kama watu milioni 10 hawawezi kutumia MW 80 za umeme?
Au labda tafsiri ya maendelo imebadilika? au kufagia barabara hapo Kigali ndio maendeleo, hakika hawa jamaa wanasifiwa bureeee tumewaacha mbali saaana, duh Megawati 80 watu milioni zaidi ya milioni 10!
Huyu mtu hajasoma uchumi, mwache! Kama RwF 630 = 1USD, na Tsh 1660= 1USD halafu mtu anasema ni bureeeee!! Hamna kitu hapo usitoke povu utajichosha bure tu!! Ukizungumzia GDP ndio unamvuruga kabisaaa!!
Huyu mtu hajasoma uchumi, mwache! Kama RwF 630 = 1USD, na Tsh 1660= 1USD halafu mtu anasema ni bureeeee!! Hamna kitu hapo usitoke povu utajichosha bure tu!! Ukizungumzia GDP ndio unamvuruga kabisaaa!!
Wao c mabwege sisi ndo mabwege,wameuana wakitaka changes na kwelih wamepata na maendeleo yameonekana,fuatilia historia mataifa yote makubwa dunian apa yashawah kupigana civil war,so shingai kwa Rwanda...we kataa kubali wale wametuzidi period.
Changes zipi za kweli zimepatikana Rwanda mkuu acha kutudanganya? Nchi kuongozwa na watutsi (minority) tena kidikteta ndiyo changes za kweli hizo? Hivi unajua Muhutu anavyonyanyasika ndani ya nchi yake lakini au unaongea tu? Sasa hivi kazi maofisini na opportunities mbalimbali kama scholarships zote wanatoa kwa ukabila kama siyo mtutsi imekula kwako je hayo ndiyo mabadiliko ya kweli kwako? Unasema nchi yao inaendelea sawa sikatai lakini maendeleo yapi bora kati yetu na ya kwao ya kuua raia na kupora rasilimali za Congo D.R.C na sisi ambao kila thumni yetu tunaipata kihalali?
It's a shame Mtanzania kujishusha hivyo mpaka kujilinganisha na Rwanda (Magaidi wakuu ukanda wa maziwa makuu). Hawajatuzidi na hawatatuzidi kwa lolote kama unabisha leta data tuone wametuzidi kwa lipi.
Watu hawajui maendeleo ya Rwanda yako Kigari , nasisitiza jiji la Kagari tu, Tanzania tuna majiji mangapi; Kingine utajiri wa Rwanda unatokana na maliasili ya Congo wizi mtupu. Tatizo la watanzania samahani watanganyika tunapenda kusifia wezi. Mnamsifia Kagame kwa lipi wizi aghrrrraaaaa???????Mahitaji yao nimeshakwambia hawagoti MW 80, na unaposema Rwanda ni ndogo ujue unaongelea kieneo lkn sio kwa idadi ya watu, ujue wana km za mraba 20,000 yaani serengeti yetu ni kubwa zaidi na wana watu Zaidi ya milioni kumi 10, na sisi tu km za Mraba karibu milioni moja tuna watu milioni 40! sasa watu milioni 10 kwa kutumia MW 80 kwa kiwango chochote kile ni ndogo sana! Wazo Cement hawawezi kuwekeza Rwanda leo hii kwa maana hamna Umeme!
Watu hawajui maendeleo ya Rwanda yako Kigari , nasisitiza jiji la Kagari tu, Tanzania tuna majiji mangapi; Kingine utajiri wa Rwanda unatokana na maliasili ya Congo wizi mtupu. Tatizo la watanzania samahani watanganyika tunapenda kusifia wezi. Mnamsifia Kagame kwa lipi wizi aghrrrraaaaa???????
Tatizo natumia kilongalonga hukuna button ya like, nimelike post hii ile mbaya. Mod weke like kwenye post hii juu kwa niamba yanguChanges zipi za kweli zimepatikana Rwanda mkuu acha kutudanganya? Nchi kuongozwa na watutsi (minority) tena kidikteta ndiyo changes za kweli hizo? Hivi unajua Muhutu anavyonyanyasika ndani ya nchi yake lakini au unaongea tu? Sasa hivi kazi maofisini na opportunities mbalimbali kama scholarships zote wanatoa kwa ukabila kama siyo mtutsi imekula kwako je hayo ndiyo mabadiliko ya kweli kwako? Unasema nchi yao inaendelea sawa sikatai lakini maendeleo yapi bora kati yetu na ya kwao ya kuua raia na kupora rasilimali za Congo D.R.C na sisi ambao kila thumni yetu tunaipata kihalali?
It's a shame Mtanzania kujishusha hivyo mpaka kujilinganisha na Rwanda (Magaidi wakuu ukanda wa maziwa makuu). Hawajatuzidi na hawatatuzidi kwa lolote kama unabisha leta data tuone wametuzidi kwa lipi.
Mkuu kijakazi ubishi hauna maana ebu tuelimishe vema tupe statistics nzuri kwa kuutambua uchumi wa inchi kwa kutumia matumizi ya umeme wa nchi husika compare to population, mfano kenya wako kiasi gani na matumizi yao ni ni MW ngapi na pia Tanzania, malasya, South Africa n.k.
KUNA WATU 10,000,000 KATIKA NCHI YA RWANDA NA WAKATI HUO HUO WATU 6,000,000 WAMEANGAMIA KWA MAUAJI YA HALAIKI NA KUZIKWA KATIKA ARDHI HIYO BILA SHAKA HAKA KAMA KUNGEKUWA NA MAENDELEO BADO MUNGU ATAIHUKUMU ARDHI YA RWANDA NA WATU WOTE WALIOHUSIKA !!!Nimekuwa nikisia makelele meengi kuhusu hii nchi ya Rwanda kwamba ndio mfano wa kuigwa na blah blah nyingi, nikataka niijue zaidi, kumbe hamna chochote hii nchi ina watu zaidi ya
Milioni 10 na uwezo wao wa kuzalisha Umeme ni Megawatt 80 MW tu!!!! nimepigwa na Butwaaa sasa hizo kelele zote za Bw.Kagame hivi Kagame vile ni za nini?
Maendeleao gani hayo yanayoongelewa huko Rwanda kama watu milioni 10 hawawezi kutumia MW 80 za umeme?
Au labda tafsiri ya maendelo imebadilika? au kufagia barabara hapo Kigali ndio maendeleo, hakika hawa jamaa wanasifiwa bureeee tumewaacha mbali saaana, duh Megawati 80 watu milioni zaidi ya milioni 10!
Huwezi kulinganisha Rwanda na Tz. GDP ya Rwanda ni 14.9 billion wakati Tz ni 74 billion USD. Kiuchumi Tz ni ya 80 duniani wakati Rwanda ni ya 141. Jiji pekee Rwanda ni Kigali ambayo ukubwa wake ni kama mji wa Kahama mkoani Shinyanga. Uchumi wa rwanda unakua kwa wastani wa 5.9% wakati Tz ni 6.9%. Mfumo wa uongozi Rwanda ni dictatorship wakati Tz ni Democratic. JK pia ni genius ukilinganisha na Kagame (mtazamo wangu) kwasababu kiongozi bora ni yule anaekubali mawazo ya wengine.
Mwizi ni mwizi tu hata awe mzungu swine mkubwaWakiiba wazungu ndio tunafurahi tunawapa na Ulinzi wa kutosha.
Huyu mtu hajasoma uchumi, mwache! Kama RwF 630 = 1USD, na Tsh 1660= 1USD halafu mtu anasema ni bureeeee!! Hamna kitu hapo usitoke povu utajichosha bure tu!! Ukizungumzia GDP ndio unamvuruga kabisaaa!!