Kumbe rais wetu nchi nyingine anagombewa?

Wazungu hao wanataka kuinvest kwenye idara ya afya,JK alivyowaahidi kuwa ata more than double the rate of graduates from health training institutions,wao wanajua kuwa watafanya business.Sasa kama ni kugombania wanamgombani Rais ama wanagombea interests zao?Ni kweli miradi kama hiyo ikitumika vyema itawanufaisha wananchi,however hiyo haiko kwenye DNA ya viongozi wetu wa sasa,tutaliwa tu.
 
Kwani hata sisi c tulimkubali kichwakichwa 2005? Kumbe malaria haikubaliki bwana. Tutaumwa mpk 2015 kama haijatuua
 
Halafu wengine ohhhh, anasafiri sana nje. Mlifikiri anaenda cheza Disco huko?

Huyo ndio JK "action speaks louder than words".


Ni hafadhali kucheza disco kuliko kubembea maana ukitoka hapo ni kizunguzungu.
11_09_hmaerh.jpg
 
Halafu wengine ohhhh, anasafiri sana nje. Mlifikiri anaenda cheza Disco huko?

Huyo ndio JK "action speaks louder than words".[/QUOT

Hata Mubaraka alisifiwa sana kabla ya WANANCHI wake hawajamuanika uovu wake!!
 
kila barua ian formaloty yake, ndiyo maana barua za kikazi huanza na "dear Sir/Madam" haina maana kwamba anayeandikiwa ni mpendwa bali ni formality tu. watumishi wa serkali wanaelewa vizuri. kuna barua nyingi sana za aina hii. ni diploasia na itifaki tu msiogope wapendwa.
 
Wanaojua diplomasia, that letter is a diplomatic way ya kumkumbusha nini anachopaswa kufanya na siyo kumsifia!

Umeona eeh! Maana mkumbwa akinanihii (naniliu) tunasema amepumua. Sasa hizo sifa zimepunguza bei ya sukari? Hao wanaomgombania nao kweli wamedata. Duh!!
 
Kwani nyaraka kama hii haiwezekani kufojiwa? Kuamini hivyo inaonesha jinsi fikra zenyewe zilivyofupi......! Na sasa waje wampigie kura au wampatie hifadhi atakapokimbilia huko mwaka 2015 katiba mpya ikifanya kazi....!
 
it doesn't matter anagombaniwa na nani huko nje. Jukumu lake ni kwa wapiga kura wake na historia itamhukumu kwa aliyowafanyia watanzania na si watu wa nje.
well said mkuu

hakuchaguliwa awe balozi wetu nje... Alichaguliwa awaongoze watanzania na tanzania
 
Angalia hapa!

Final_letter_to_Kikwete-2011-03-04.jpg


Kumbe ni co-chair na waziri mkuu wa Canada, sasa huoni wa-Canada ndo wame-initiate hicho kijibarua ili wao waendelee kuchota madini pale BUZWAGI NA bULYANKURU KAHAMA????? Wabaya wetu namba moja hapa duniani ni WA-CANADA hawa wameamua kuchukua madini yetu na kutuacha maskini.
Kwa sasa tunasema!!!! Hatudanganyiki
 
hiyo paragraph ya kwanza ndiyo iliyobeba barua nzima, hizo zingine ni diplomasia tu za kumkumbusha mkubwa kazi yake
 
Mimi mbona sijaelewa hii barua inaonesha vipi kuwa anagombewa! Huko kugomebewa ni kwa yeye kuchaguliwa kama mwenyekiti mwenza wa Kamisheni ya Habari na Uwajibikaji (Information and Accountability) au hilo la yeye kuombwa/kukumbushwa na hayo mashirika kufanya wajibu wake chini ya kamisheni hiyo?
 
Mimi mbona sijaelewa hii barua inaonesha vipi kuwa anagombewa! Huko kugomebewa ni kwa yeye kuchaguliwa kama mwenyekiti mwenza wa Kamisheni ya Habari na Uwajibikaji (Information and Accountability) au hilo la yeye kuombwa/kukumbushwa na hayo mashirika kufanya wajibu wake chini ya kamisheni hiyo?

Nakuuunga mkono SMU, hapo kakumbushwa tu kazi yake kama Mwenyekiti Mwenza, wenyewe wamebaini kuwa amelegalega, ANGALIA AYA YA MWSHO ya barua husika, hiyo ndiyo polite way ya kumkumbusha Mkubwa, watumshi wa Umma/Serikali wanafahamu kuwa mkubwa hakosei.
 
Hivi ule msemo wa nabii hakubaliki kwao tumeusahau?? Huyo ndiyo JK mazee.
Napita tu fasta lakini wakuu.

Usichezee Biblia kwa manufaa binafsi; huyu hana hadhi yoyote ya unabii au mfano wake. Ni kwamba hana lolote jema la kumfanya akubalike
 
Nakuuunga mkono SMU, hapo kakumbushwa tu kazi yake kama Mwenyekiti Mwenza, wenyewe wamebaini kuwa amelegalega, ANGALIA AYA YA MWSHO ya barua husika, hiyo ndiyo polite way ya kumkumbusha Mkubwa, watumshi wa Umma/Serikali wanafahamu kuwa mkubwa hakosei.

Ni kweli wakubwa wana vyeo vingi na inatokea vingine wanavisahahu....sasa ukiangalia hii barua inamkumbusha kwamba yeye ni mwenyekiti mwenza na mwisho inamkubusha wajibu wake na umuhimu wa wajibu huo kwa kina mama na watoto!
 
Kwa hiyo Kachumbari umetumwa uje u-mfagilie kwetu?? Hizi si ni taarifa za ikulu...hebu tuletee na zile barua zinazohusiana na DOWANS, MWEREMETA, KAGODA etc then tutakuona wa maana zaidi..
 
Back
Top Bottom