kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Angalia hapa!
Kwa barua hiyo ni nani anayemgombea? Hii barua imetamka wapi kwamba anatakiwa aende kutawala nchi nyingine? Mtu anapokuandikia barua kukupa taarifa fulani na kushukuru kwa ushirikiano wako katika jambo fulani anakugombea? Huoni kwamba hata watu walioandika barua hawajiamini hadi wakasaini watu wanne? Umetumwa kumfagilia? Hizo ni propaganda zisizo na kichwa wala miguu.
kwa barua hiyo ni nani anayemgombea? Hii barua imetamka wapi kwamba anatakiwa aende kutawala nchi nyingine? Mtu anapokuandikia barua kushukuru kwa ushirikiano wako katika jambo fulani anakugombea? Umetumwa kumfagilia? Hizo ni propaganda zisizo na kichwa wala miguu.
Kwa barua hiyo ni nani anayemgombea? Hii barua imetamka wapi kwamba anatakiwa aende kutawala nchi nyingine? Mtu anapokuandikia barua kukupa taarifa fulani na kushukuru kwa ushirikiano wako katika jambo fulani anakugombea? Huoni kwamba hata watu walioandika barua hawajiamini hadi wakasaini watu wanne? Umetumwa kumfagilia? Hizo ni propaganda zisizo na kichwa wala miguu.
Hivi ule msemo wa nabii hakubaliki kwao tumeusahau?? Huyo ndiyo JK mazee.
Napita tu fasta lakini wakuu.
maralia haikubaliki..!
Ule msemo? Wa kisukuma, kikwere au wa wapi? Acha kudandia mambo usiyoyajua. Maneno mazito hayo; siyo ya kufanyia mchezo na siasa zenu za maji taka.