hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
hahaa mbaya zaidi wahusika wana agiza vikombe vya kawaha tu ... huku wakijipongeza kwa kufanikiwa kuwaongoza wadanganyikaMambo mengi yapo chini ya kapeti, hapo ndo napoitamani kazi ya intelligence, maboya yanahangaika kupost #BringBackMo halafu we unajua alipo umetulia tu.